Mungu hufanya kazi kupitia watu na hao watu waweza usiwafahamu ila wapo i call them God's messenger.

Mungu hufanya kazi kupitia watu na hao watu waweza usiwafahamu ila wapo i call them God's messenger.

Kuna dada mmoja mtoto wa Balozi Mstaafu wa Tanzania nchini Uingereza alidhania labda mimi ninalazimisha connection na yeye eti kisa ninawasiliana naye mara kwa mara.

Nilimtupilia mbali kama takataka kwa maana yeye sio Mungu.
Mara nyingi watu wanapopata nafasi au fursa fulani, hujiona kama wao pekee ndio wanastahili kustawi, wakisahau kuwa msaada au kuwashika mkono wengine ni njia ya kuongeza baraka katika maisha yao.
 
Nilikumbana na wakati mgumu maishani, hali ilikuwa mbaya. Nilipoteza matumaini kabisa ya kuishi. Watu wangu wa karibu hawakunisaidia kwa vyovyote vile.

Mwisho wa siku, nilipata msaada kutoka kwa mtu ambaye hatufahamiani vizuri. Huyu jamaa alinitoa kwenye shida iliyokuwa inanikabili( connection ya fursa ya ajira)

Nimejifunza wakati mwingine, msaada kuja kutoka sehemu ambazo hatutarajii.
 
Nilikumbana na wakati mgumu maishani, hali ilikuwa mbaya. Nilipoteza matumaini kabisa ya kuishi. Watu wangu wa karibu hawakunisaidia kwa vyovyote vile.

Mwisho wa siku, nilipata msaada kutoka kwa mtu ambaye hatufahamiani vizuri. Huyu jamaa alinitoa kwenye shida iliyokuwa inanikabili( connection ya fursa ya ajira)

Nimejifunza wakati mwingine, msaada kuja kutoka sehemu ambazo hatutarajii.
Watu wa karibu (ndugu) ni watu wa hovyo sana
 
Back
Top Bottom