Ona huyu!!Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Amakambo mabhibhi fijho mweeeHabari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Huko ni kukata tamaa ya maisha kumkufuru mungu tu,hivi wajua mungu waweza kumuomba jambo fulani lakini ye akakupa mbadala?kwa lengo tu kukuepushia hatari anayoiona mbele yako,pia wajua anaweza kukucheleweshea?,,ye ndo anapanga yote hayo,wala hapangiwi!!,,Sio Kila jambo mnasingizia bangi, kwa ambao hawajawai kupitia maisha magumu hawawezi kumulewa huyu mtoa mada, ipo hivyo mtu anapopitia changamoto ambazo haoni ufumbuzi, lawama zote huangukia kwa huyo kiumbe wa kusadikika (Mungu) kuwa ndie sababu ya matatizo kumbe si kweli, pia wapo wanaolaumu wazazi wao, wengine wanalaumu mifumo(serikali).
Mungu anaehadithiwa na hizo dini hausiki na maisha ya viumbe dunian, ndiomaana haleti solution la matatizo kwa wafuasi wake wanaokesha kumuomba na kumuabudu, solution ni kupambana na changamoto na sio kuomba/kutegemea miujiza ya kusadikika
Huna adabu kwa Mungu. Mwombe msamaha na tubia uovu wako huu. Mungu ni wa rehema atakusamehe na atakuwezesha kuanza upya.Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Sahihi kabisa, hata mimi huwa ninajiuliza, kwa nini aliamua nizaliwe Afrika, kwa watu wajinga wanaoamini sana ushirikina.Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Ndio. Format brain yako then anza upya. Kesho yako ni hora sana mkuu kuliko leo yako.Kindly unawezaje kuaza upya? Yaani Ile umepoteza kila kitu umebaki na uhai tu
Mungu Mwenye uwezo wote na Nguvu zote, Mwenye upendo wote asingeruhusu mabaya yatokee kwenye dunia ambayo ameiumba.Angefanyaje?
Subiri siku mtakapokutana live umtamkie huo upuuzi wakoHahahaha hili hata mi lilinipata nilipokata tamaa ya maisha.
Baadaye nilitulia nikatafakari na kufikiria sana kuhusu haya maisha na nikaamua kuanza upya. Kwa kuwa una pumzi ya uhai anza upya mkuu. Format kichwa chako na mawazo yako.
Maisha yanatakiwa yaendelee.
Mimi Kila nikiamka mafuta Namba za yoyote naona hanipi furaha zaidi ya huzuni kwa wiki lazima nifute Namba mbili minimumHahahaha hili hata mi lilinipata nilipokata tamaa ya maisha.
Baadaye nilitulia nikatafakari na kufikiria sana kuhusu haya maisha na nikaamua kuanza upya. Kwa kuwa una pumzi ya uhai anza upya mkuu. Format kichwa chako na mawazo yako.
Maisha yanatakiwa yaendelee.
Huo uhai na akili yako ni mtaji tosha wa kuanza upya, ila ni pale utakapokubali kuwa sasa hauna chochote na uko tayari kuanzia chini..Kindly unawezaje kuaza upya? Yaani Ile umepoteza kila kitu umebaki na uhai tu
Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.