Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Ulimuuliza mama yako akasema mungu ndo alimgegeda ukazaliwa wewe?Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Sun is Sun Sijajua kama ni jokes au ulichokiandika kimetoka katika akili Yako timamu, Ayubu alipokuwa katika nyakati ngumu alishawahi kulaani siku aliyozaliwaHabari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Dah ila watu mna maneno magumu sanaBangi mbaya, mwambie Baba yako angevaa condom angeisadia dunia kutoleta kituko duniani kama wewe.
Jifunze kuomba, sio kukufuruHabari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Amakambo mabhibhi fijho mweee
Mkuu umekunywa??Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Na Bado yaani huku tunakoelekea ni KUBAYAVijana wa siku hizi mmekuwa atheist na mambo yenu ndio yanakuwa magumu zaidi.
Huyu jamaa kazingua kinomaa alafu yeye anaona kaongea pointiiii😔😔😔ukiona mtu anamkufuru mungu ujue huyo afya yake ya akili imeteteleka
Dhambi waga inarithisha, mpaka umefikia kusema hivo Kuna Babu mzaa Babu Yako,Babu Yako ,baba Yako alafu Kuna wewe, alafu atakuja mwanao, tafakari kwa Nini umewaza hivo , utagundua siyo kosa lako, ila jua hujawaza hivo Bure,jua una kazi ya kufanya ili wanao wasiwaze hivoHabari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Hivi kwanini watu wanaojifanya kumuamini Mungu kama wewe wanakuaga wanafiki sana (!!??)Ulimuuliza mama yako akasema mungu ndo alimgegeda ukazaliwa wewe?
Nimeongea pointi kubwa sana mazee.Huyu jamaa kazingua kinomaa alafu yeye anaona kaongea pointiiii😔😔😔
Mkuu umekunywa??