Hakuna Jambo lolote linalomshinda Mungu kaka,Mambo ambayo nimepitia ni makubwa. Na sidhani kama kuna balaa kubwa ambayo itakuwa zaidi ya mwanzo.
Hivi ni bei gani kwani?Mkuu kwani lazima kubaki duniani? Kitanzi bei gani?
Huwezi kujua, Endelea kutafakari.Hakuna Jambo lolote linalomshinda Mungu kaka,
Sasa umewahi liwa na funza kichwani ukateseka kama miaka 10 ndio ulete hizi habari hapa?
Muogope Mungu sana na kumbuka siku zote za maisha yako hapa duniani yeye ndie muweza wa yote.
Ila uamuzi ni wako, maisha ni yako, ukishughulikiwa nae utarud tena hapa, ila ni busara ukamuomba msamaha kwa imani yako.
KAMA UNAAMINI KUWA MUNGU HAYUPO, BASI ALIYEKUKOSEA SIYO YEYE..!!Ndiyo ikitokea yupo aniombe msamaha🙏
AsantePole sana mkuu
👍🏾Sawa
Acha bangi kijana! au kama unataka sifa mtandaoni sawa ila l kama umeongea haya kutoka moyoni naomba utafute msaada Kwa sycologist
Nilikuwa namwamini Mungu zaidi yako kabla hajani-dissapoint.KAMA UNAAMINI KUWA MUNGU HAYUPO, BASI ALIYEKUKOSEA SIYO YEYE..!!
SawaWewe unavyomchinja kuku au ng'ombe na kuumla kwani kakukosea nini? We kwa Mungu si kama kuku au ng'ombe tu, we ulivyokuwa na mamlaka kwa wanyama ndio hivyo hivyo Mungu atakuwa Mungu kwako.
Hapa ndo umuhimu wa kuvaa condom unapoonekana au kupiga bao nje. Kuja jamaa mmoja namshauri kila siku avae ndom maana naye alivyo akizaa atatoa mtoto ambaye ni kilaza kama huyu
Sijawahi kula mema ya nchi wala kulamba asali🙏Alikuleta Duniani ili ule mema ya nchi na urambe asali...
Umechanganyikiwa mkuu. Mungu alihusikaje kwenye mechi ile unatafutwa. Acha kumtukana Mungu na ukiona unaanza kumtukana Mungu jua unaanza kuchanganyikiwa
Nimependa jibu lako.Sio Kila jambo mnasingizia bangi, kwa ambao hawajawai kupitia maisha magumu hawawezi kumulewa huyu mtoa mada, ipo hivyo mtu anapopitia changamoto ambazo haoni ufumbuzi, lawama zote huangukia kwa huyo kiumbe wa kusadikika (Mungu) kuwa ndie sababu ya matatizo kumbe si kweli, pia wapo wanaolaumu wazazi wao, wengine wanalaumu mifumo(serikali).
Mungu anaehadithiwa na hizo dini hausiki na maisha ya viumbe dunian, ndiomaana haleti solution la matatizo kwa wafuasi wake wanaokesha kumuomba na kumuabudu, solution ni kupambana na changamoto na sio kuomba/kutegemea miujiza ya kusadikika
Mungu baba msamehe bure mtu huyu halijui alitendalo
MkuuUmevuta bangi kidogo,vuta mara tatu kwa 24/7 utakuwa sawa tu
Anaelewa ni kiasi gani amenikosea Kwahiyo hata akiniadhibu anajua kabisa atakuwa amenionea.Aisee..
andiko gumu sana, pole kwa yote! Mungu Akusamehe sana!!