Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nichek PM nitakuelekeza mungu sahihi ni yupi achana na hizi dini zilizo letwa na majahazi!Hiyo Mungu sahihi ni nani?
sawa mzee!!!"time will tell"Balaa gani Mkuu, Wakati bado nina kesi naye. Yeye mwenyewe anajua amenikosea.
Hizi mada za kipumbavu zitawagharimu siku moja. Shauri yenuHabari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Hiyo ni balance of nature maisha yapo hivo hivoo huyu anapata huyu anakosaMaisha hayawahi kuwa perfect Mimi n wewe Tupo ktk nchi isiyo na vita lakini kuna wengine wapo Syria huko wapo Ukraine huko wanakufa kama vifaranga vya kuku Au sisimizi , Ukitaka Kuya fahamu maisha na dunia usiangalie ktk upande wako pekee itazame dunia nzima Ilivyo kisha tafakari