Mungu kaumba vyote lakini kasoro kitu kimoja

Roho ya Mungu ilikua juu ya uso wa vilindi vya maji kabla hajaanza uumbaji kulingana na biblia..
Umewahi kujiuliza hivyo vilindi vya maji vilikuwa vimetuama juu ya kitu gani? Ni ardhi? Kama ni ardhi, nitakuwa nakosea nikisema ardhi ilitangulia kabla ya maji? Na kama ardhi ilitangulia... Material ya kuiumba hiyo ardhi yalitoka wapi
 
Hauko mbali na ukweli Mwenyezi Mungu kitu cha kwanza kuumba ni maji, halafu akaumba vyote vilivyofuata kutoka katika maji. Na ni kweli maji yananguvu lakini kiumbe chenye nguvu na thamani zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu ni binadamu
Hayo maji yalikuwa yanaelea angani?
 
Umewahi kujiuliza hivyo vilindi vya maji vilikuwa vimetuama juu ya kitu gani? Ni ardhi? Kama ni ardhi, nitakuwa nakosea nikisema ardhi ilitangulia kabla ya maji? Na kama ardhi ilitangulia... Material ya kuiumba hiyo ardhi yalitoka wapi
Roho ya Mungu kabla haijatulia juu ya vilindi vya maji ilitokea wapi?
 
Kwa Mungu. Na wewe jibu
Mungu alikua na Mungu wake, Na Mungu wake naye aliumbwa na Mungu wake na Mungu wake naye ana Mungu wake... mtiririko hauna kikomo ..!!

🔴Dax-Eternity
 
Maji yatakua yalijiumba yenyewe kwa kweli....
 
Hizo stori hata ZUMARIDI anazo.
Niambie wkt anaitwa alikuwa na nani
 
Mkuu umeelezea story ya kuanzia Mungu ameanza kuumba...


Sisi tunahitaji story ya kabla hajaanza kuumba, Asili yake? Alitoka wapi?
 
Basi chukua na hii.
Mungu hakuumba dhahabu wala madini.
Maahana hakuna popote kwenye maandiko vilipoongelewa specifically
 
Chini ya baharia kuna chemchem za maji nyingi Tu.Na zilichangia maji ya gharika.
 
hilo Neno doughts badala ya doubt linadhihirisha Bado elimu/maarifa na uwezo wa akili yako ni ndogo kufikia kuujua ukuu wa Mungu...D nne zinakuhusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…