Mungu ndiye shetani(?)

Mungu ndiye shetani(?)

Nilikuwa na hili wazo ila nikasita kulitoa, "ulimwengu wote ni wa shetani, ukicheza nae vizuri utakula Bata. Tafakari kwa makini kila penye maendeleo shetani yupo. Utasikia Mungu kanipa, kakupa wewe una vichwa viwili? Una nini zaidi akupendelee? My friend "life is a game"
 
Vitu vya kiMungu havijakaa kuleta maana Bali vinatakiwa kuaminika hata kama havileti maana

Point ni moja believe in Him.
 
Imani yako ndio itakayo kuponya, tenda mema ili uvune mema!
 
Alishinikizwa? Nani mwenye nguvu ktk ya anayeshinikiza na mshinikizwaji.
 
Ukiwa na afya njema, husumbuliwi na madeni, na una vijifedha vya kubadilisha mlo, UTAONGEA MENGI
Nimeshawahi kuwajibu watu hivi, ila ukifikiri kwa makini ni kama unamtengezea mtu nidhamu ya woga wa kuhoji. Nadhani mtu huyu haitaji kutishwa na kifo na njaa, anahitaji maelezo ni kwann MUNGU ambaye ni pendo ameua wengi kuzidi shetani ambaye ni chukizo.
 
I love You, Lord
For Your mercy never fails me
All my days, I've been held in Your hands
From the moment that I wake up
Until I lay my head
Oh, I will sing of the goodness of God…….. 🙏🏾❤️
 
Warumi 9; 18 Basi, kama ni hivyo, atakaye kumrehemu humrehemu, na atakaye kumfanya mgumu humfanya mgumu.
19 Basi, utaniambia, Mbona angali akilaumu? Kwa maana ni nani ashindanaye na kusudi lake?
20 La! Sivyo, Ee binadamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! Kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba, Kwani kuniumba hivi?
21 Au mfinyanzi je! Hana amri juu ya udongo, kwa fungu moja la udongo kuumba chombo kimoja kiwe cha heshima, na kimoja kiwe hakina heshima?
22 Ni nini basi, ikiwa Mungu kwa kutaka kuonyesha ghadhabu yake, na kuudhihirisha uweza wake, kwa uvumilivu mwingi, alichukuliana na vile vyombo vya ghadhabu vilivyofanywa tayari kwa uharibifu;
 
Jibu hoja kwa hoja, sio kujificha kwenye kivuli cha kutisha watu
Huyo Mungu wenu miaka 300 iliyopita hakuna mtu aliyekuwa anamfahamu hapa Africa, so usitishe sana watu wanaoichallenge masimulizi ya Biblia
Afrika Tena nawakati Ethiopian wanamfahamu tokea miaka hiyo ya before Christ (B.C) kwa hiyo Ethiopian haipo Africa
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Maswali ni mengi kuliko majibu kwakweli.

Soma hii warumi uniambie kama Paulo anamake sense



Warumi 10 | SRUV Bible | YouVersion

WARUMI 9​

10. Wala si hivyo tu, lakini Rebeka naye, akiisha kuchukua mimba kwa mume mmoja, naye ni Isaka, baba yetu, 12. aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo 11.(kwa maana kabla hawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jema wala baya, ili lisimame kusudi la Mungu la kuchagua, si kwa sababu ya matendo, bali kwa sababu ya nia yake Mungu),
13.Kama ilivyoandikwa, Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia.

14.Tuseme nini basi? Kuna udhalimu kwa Mungu? La hasha! 15 Maana amwambia Musa, Nitamrehemu yeye nimrehemuye, nitamhurumia yeye nimhurumiaye. 16 Basi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakaye, wala wa yule apigaye mbio; bali wa yule arehemuye, yaani, Mungu.

17 Kwa maana Maandiko yasema juu ya Farao, ya kwamba, Nilikusimamisha kwa kusudi hili, ili nioneshe nguvu zangu kwako, jina langu likatangazwe katika nchi yote. 18 Basi, kama ni hivyo, atakaye kumrehemu humrehemu, na atakaye kumfanya mgumu humfanya mgumu.


19. Basi, utaniambia, Mbona angali akilaumu? Kwa maana ni nani ashindanaye na kusudi lake?
20. La! Sivyo, Ee binadamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! Kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba, Kwa nini umeniumba hivi?
21. Au mfinyanzi je! Hana amri juu ya udongo, kwa fungu moja la udongo kuumba chombo kimoja kiwe cha heshima, na kimoja kiwe hakina heshima?
Unadhani kwa akili yako wewe mwafrika ambaye hadi pini umeshindwa kutengeneza unategemea utamjua Mungu
 
Ukiwa na afya njema, husumbuliwi na madeni, na una vijifedha vya kubadilisha mlo, UTAONGEA MENGI
Finkiri nje ya box kusema kwamba binadamu au wewe hapo ulipo sasa hivi huwezi kupaaa kama ndege ni mwisho wa uwezo wako wakufikiri, lakini hakuna kinachoshindikana,

Jamaa anatumia vyema uwezo wake katika kufikiri na kudadisi mambo mbalimbali, ni kheri huyu aliyejaribu kuliko ayisejaribu kufikiri nje ya box na kukariri kile system kilichomfundisha
 
Ukisoma kwa umakini biblia Mwanzo mpaka ufunuo utaelewa kuwa kitabu kimebadilisha wahusika, Sehtani ameitwa Mungu na Mungu ameitwa shetani.

Mungu wa kwenye biblia anaelezewa kuwa Mungu mwenye wivu anayechukia kuona unamsifu au kumfuata mungu mwingine, Anataka wewe tokea unaamka hadi unalala uwe unamuwaza yeye tu na kufanya kila kitu anachotaka yeye, wakati biblia haijaonesha kama Shetani ana wivu au anataka watu wafuate itikadi zake lasivyo atakasirika.

Kutokana na huu wivu, Mungu wa kwenye biblia ukihesabu ameua wanaume takribani millioni na ushee; 2, 345, 439 (Hapa hatujahesabu wanawake na watoto). Ukiconsider na source za nje ya biblia idadi inafika mpaka 22, 743, 746.

Watu alioua mungu ni wengi, kama wale vijana 42 aliowaua kwasababu walimtania Elisha kuwa ana upaa... Watu 147, 000 aliowaua kwasababu walitaka demokrasia maana walichoka kupelekeshwa na Mussa n.k.

Lakini Shetani wa kwenye biblia ameua watu 10 tu, tena hao 10 aliwaua kwasababu alishinikizwa na Mungu, Mungu alimbinya vidole shetani awaue wale watoto wa Ayubu.

Na muda huo huo, Mungu anasema atakuja siku ya mwisho kuchukua watu wake wachache tu na Kuwachoma kwa moto mkali wengine wote ambao hawakumsikiliza mchana na usiku.

Nani ni shetani apo? Na nani ni Mungu?
Mkuu February Makamba naomba nisiweke neno langu kwenye andiko lako hili bali nikupe Biblia inavyokuelezea mtu kama wewe
1. Zab ya 53: 1a Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; ......
2. Zab 74:22 Ee Mungu, usimame, ujitetee mwenyewe, Ukumbuke unavyotukanwa na mpumbavu mchana kutwa.
 
Ukisoma kwa umakini biblia Mwanzo mpaka ufunuo utaelewa kuwa kitabu kimebadilisha wahusika, Sehtani ameitwa Mungu na Mungu ameitwa shetani.

Mungu wa kwenye biblia anaelezewa kuwa Mungu mwenye wivu anayechukia kuona unamsifu au kumfuata mungu mwingine, Anataka wewe tokea unaamka hadi unalala uwe unamuwaza yeye tu na kufanya kila kitu anachotaka yeye, wakati biblia haijaonesha kama Shetani ana wivu au anataka watu wafuate itikadi zake lasivyo atakasirika.

Kutokana na huu wivu, Mungu wa kwenye biblia ukihesabu ameua wanaume takribani millioni na ushee; 2, 345, 439 (Hapa hatujahesabu wanawake na watoto). Ukiconsider na source za nje ya biblia idadi inafika mpaka 22, 743, 746.

Watu alioua mungu ni wengi, kama wale vijana 42 aliowaua kwasababu walimtania Elisha kuwa ana upaa... Watu 147, 000 aliowaua kwasababu walitaka demokrasia maana walichoka kupelekeshwa na Mussa n.k.

Lakini Shetani wa kwenye biblia ameua watu 10 tu, tena hao 10 aliwaua kwasababu alishinikizwa na Mungu, Mungu alimbinya vidole shetani awaue wale watoto wa Ayubu.

Na muda huo huo, Mungu anasema atakuja siku ya mwisho kuchukua watu wake wachache tu na Kuwachoma kwa moto mkali wengine wote ambao hawakumsikiliza mchana na usiku.

Nani ni shetani apo? Na nani ni Mungu?

wewe mkeo au demu wako umemlipa mahari tu unaishi naye,lakini hata kuona tu anacheka na mwanaume mwingine hutaki,achia mbali ukiona anamsujudia na kunyenyekea.

sasa Mungu amekuumba ukiwa haupo,kakupa punzi,kakuleta duniani,kakupa masharti kama rejesho la aliyokupa,unaleta umalaya malaya kwingine,kwanini asikumind!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Mkuu February Makamba naomba nisiweke neno langu kwenye andiko lako hili bali nikupe Biblia inavyokuelezea mtu kama wewe
1. Zab ya 53: 1a Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; ......
2. Zab 74:22 Ee Mungu, usimame, ujitetee mwenyewe, Ukumbuke unavyotukanwa na mpumbavu mchana kutwa.
Nani kasema Hakuna Mungu huyo?
 
Back
Top Bottom