Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Ni Uzi wangu nawapa mrejesho humu Jf kwa Sasa nimeanza kutembea kwa miguu miwili japo nachechemea...

Nimeishi Maisha halisi ya ulemavu nime nyanyapaliwa, baguliwa na KUISHI Maisha halisi ya walemavu...

Nilikua na CASH imetumika balaa nilikua HANDSOME BOY BISHOO kula kunywa ishi Maisha to the epix

Sikuwai jua ajar zinachukua mpaka watu Kama Mimi..

Natembea kwa kuchechemea ni muujiza pia

Ukiwa na ndugu muhitaji au magonjwa nenda kamtembelee msalimie

Life is illusion
 
Ni kipindi ambacho ndio nilikua karib Sana na wife..

Mtoto wangu kazaliwa siwezi kutembea..

Kuna watu hawakuja kuniona na tulikua washikaji

Kazi zangu zikaharibika na kuyoyoma na poteza half of mine..
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pole sana mkuu
 
Doktori,,hakika hizi ni habar za faraja kwetu sisi wanajf,,Mungu azidi kukupigania

Na pole sana kwa unyanyapaa pamoja na kutengwa na watu wako wa karibu

Maisha lazima yasonge mbele,naamini ipo siku na tunataka siku ifike utuambie you are back kwa asilimia mia

Pamoja sana
 
Kama wewe siyo
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.
Kama wewe siyo li CCM basi Mungu akuponye haraka sana
 
Back
Top Bottom