Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
- #301
Asante ndugu 🙏Habari njema sana mkuu, kama umetoa POP na mguu upo fresh.
Endelea na mazoezi mdogo mdogo daktari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante ndugu 🙏Habari njema sana mkuu, kama umetoa POP na mguu upo fresh.
Endelea na mazoezi mdogo mdogo daktari.
Mimi humu dar es salaam main road trip sipand tenaPole saba mkuu pikipiki hata hazikwepeki yaan zinatuua na kutuvunja miguu lakini wapi bado tunazipanda
Pole sana kaka mziki wa kuvunjika mguu si mchezo kuna kaka yangu nimehangaika bae sana hapo moi dah acha tu yaan mpaka ukae sawa inachukua miezi sita ama hata mwakaMimi humu dar es salaam main road trip sipand tena
Kuna yote zaidi ya miguu?Umevunjika miguu yote mkuu?
Jitahidi ikitokea umepanda bodaboda basi dereva wake kama siyo wa above 30 basi angalau awe bongeMimi humu dar es salaam main road trip sipand tena
Pole sana mkuuAmani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF
Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.
Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.
Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu
Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.
Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia
Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF
Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.
Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.
Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu
Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.
Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia
Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.
Kama wewe siyo li CCM basi Mungu akuponye haraka sana
Kiranga amelike hii chapPole sana kiongozi ila sisi ma atheists tunashangaa unavyosema unamshukuru Mungu kama vile yeye alichagua uvunjike mguu.
Kama alikuwepo huyo Mungu aliruhusu vipi hiyo ajali itokee?
Jitahidi ikitokea umepanda bodaboda basi dereva wake kama siyo wa above 30 basi angalau awe bongeo