Mungu ni mwema, nimefanikiwa kupata mume

Jamaa nae alizingua. Kama mnara ulikua hausomi si mngekaa mkayajenga?
πŸ˜‚πŸ˜‚ Mkuu hapo mnajenga nini..?
Huko kujenga ni kubomoa unamuonaje to yeye si anakula anashiba huyu wafikiri ataponywa kwa mijengo..🀣
 
Sawa single mom kila la heri ...Ila naumliza ex yupo au alikufa....?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Mkuu hapo mnajenga nini..?
Huko kujenga ni kubomoa unamuonaje to yeye si anakula anashiba huyu wafikiri ataponywa kwa mijengo..🀣
Though bado haijawa clear kutoishi nae ameamaanisha nn, mm nimewaaza tu hivo. Huenda jamaa alikua naishi mbali na mkewe akawa anakosa muda wa kua karibu na to yeye
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Mkuu hapo mnajenga nini..?
Huko kujenga ni kubomoa unamuonaje to yeye si anakula anashiba huyu wafikiri ataponywa kwa mijengo..🀣
Ukorofi wa waz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…