Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Just give us a lesson mkuu, huku tunatumia fake ID, no one knows you.Mambo mengi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Just give us a lesson mkuu, huku tunatumia fake ID, no one knows you.Mambo mengi mkuu
No one knows her kwa avatar zake za real anazoweka..😀Just give us a lesson mkuu, huku tunatumia fake ID, no one knows you.
Unadhani ni yy?No one knows her kwa avatar zake za real anazoweka..😀
Pole sana dear. Hope alikua na matatizo ya kusoma mnara. But wanaume wanaotafuta wanawake online wana matatizo.Nilifunga ndoa then baada ya hapo ikawa ndoa jina sikuwahi ishi nae ivo ikanibidi niliweka hadharani kuwa sina ndoa tena
😀Unadhani ni yy?
GoodAnd i dont care....
Jamaa nae alizingua. Kama mnara ulikua hausomi si mngekaa mkayajenga?Siyo wa kuaminika sana japo wapo walioreal
Hongera na wewe pia. Jana wageni walifika nyumbani kwa ajili yakoHongera sana kipenzi
Maisha mema katika safari yako mpya
😂😂 Mkuu hapo mnajenga nini..?Jamaa nae alizingua. Kama mnara ulikua hausomi si mngekaa mkayajenga?
Sawa single mom kila la heri ...Ila naumliza ex yupo au alikufa....?Habari ndugu zangu,
Napenda kutumia nafasi hii kuwainua mioyo wanawake wenzangu wenye nia kama niliyokuwa nayo ya kuishi na mume.
Katika imani, subra na uvumilivu inawezekana. Mwenzenu nimefanikiwa kuolewa nilitolewa posa tar 14/7/2017 na mahari 16/9/2017.
Mengi nimepitia ya kukwaza na kukwazwa lakini yote yako ndani ya mfumo wa maisha ya binadamu yapasa kujili.
Wanawake wenzangu mume anapatikana popote na katika umri wowote na kwa hali yoyote(am a singlemom) kikubwa kujitunza hata ukutane na eat and run wangapi wewe vumilia, time will tell. Mhusika Mungu akubariki sana kipenzi.Asante sana.
NB: No sendoff or weddingcard, we are for making goodfamily ourkids is ourcelemon.
Mbarikiwe sana wana JF.
Though bado haijawa clear kutoishi nae ameamaanisha nn, mm nimewaaza tu hivo. Huenda jamaa alikua naishi mbali na mkewe akawa anakosa muda wa kua karibu na to yeye😂😂 Mkuu hapo mnajenga nini..?
Huko kujenga ni kubomoa unamuonaje to yeye si anakula anashiba huyu wafikiri ataponywa kwa mijengo..🤣
Mlikua mnaishi nyumba moja au alikua anaishi mbaliAlikuwa hanipendi nadhan ...alioa kutimiza wajibu.