Mungu ni mwema, nimefanikiwa kupata mume

Am serious i tell u....wee ngoja nije huko kwenu kwa kina mwakipesile kwannza tupelekeane motooo wee na wokovu utapatika huko huko ndani ya mbususu
Hata sikuhitaji saivi
 
Aiseee!!?
Ila Bado una nafasi ya kupata mtu sahih
 
Nilifunga ndoa then baada ya hapo ikawa ndoa jina sikuwahi ishi nae ivo ikanibidi niliweka hadharani kuwa sina ndoa tena
Nimesikitika sana kwa yaliotokea hadi nahisi jumapili kwangu kua ngumu!
Yote ya yote sorry, natumaini ulisha vuka kwenye hali ya maumivu na sasa upo ok.

Ila jua nyakati hazidumu one day utaongea kwa namna nyingine yenye furaha na amani.
 
Nimesikitika sana kwa yaliotokea hadi nahisi jumapili kwangu kua ngumu!
Yote ya yote sorry, natumaini ulisha vuka kwenye hali ya maumivu na sasa upo ok.

Ila jua nyakati hazidumu one day utaongea kwa namna nyingine yenye furaha na amani.
Barikiwa
 
Sema achana tena na mamitandao ushakuwa mke wa mtu, ukija huku lazima tule tunda kimasihara
 
To yeye nakusalimu πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£ sema mashangazi wa mbeya mna shida sana πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…