Mungu sio mwema

Maandiko yanasema, mpende adui yako!
Shetani ni adui. Mpende!
 
Kusali na kuomba kwa Bakhressa au hata iwe Billgate hakuthibitishi wema wa huyo Mungu.

Kusali na kuomba ni vitu common sana kama kula na kunywa ambavyo anybody can do that regardless of his financial status.

So hii point yako haina mashiko.

😁😁😁😁

Unambii kitu wewe ikiwa nabarikiwa hivi siwezi kukaa Mbali na Mungu ✊🏿
 
😁😁😁😁

Unambii kitu wewe ikiwa nabarikiwa hivi siwezi kukaa Mbali na Mungu ✊🏿
Ndio sikwambii kitu.

Lakini unapoleta habari za uongo kuhusu huyo Mungu lazima nikwambie na tuzikosoe.

Otherwise, Ukitaka nisikwambie kitu baki na hizo habari za huyo Mungu wako moyoni mwako sio kuja kumuongelea hapa kwenye open forum.
 
1 yohana 5:19 tunatokana na mungu lakini ilimwengu wote upo chini ya nguvu za yule muovu,.
Kwahiyo tunapitia magumu sababu mtawala wetu ni muovu.
 
Kiukweli sijakuelewa kabisa na sitaki kuamini kama hueleweki maana umejitahidi kuandika kisomi sana lakini daaah sijaipata hoja yako.
 
Mbona wewe amekuachaaa mkuu uishii mpaka leo.....acha ufalaaaa
 
Someni biblia nyie muelewe neno la Mungu linafanyaje kazi
Acha siasa, Mungu ni aina ya uhalisia (intersubjective reality kama ilivyo nchi na pesa) au sijui mwenzangu una maana nyingine.
Tena Leo ndio Kuna Mungu ila ukimsoma homer kwenye the Iliad and Odyssey utagundua ilikuwepo miungu, na kabla ya hapo ilikuwepo Imani Kwa wanyama(Eva na nyoka)

Goodbye fella
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…