Mungu wa kweli hahitaji haya tunayoaminishwa

Mungu wa kweli hahitaji haya tunayoaminishwa

Nimepitia lakini sijaona ukweli wowote toka kwa mtu kama huyu. Nahisi kuna mtu anatumia akaunti yake, si yule tunayejadiliana naye mara kwa mara.
 
Ndio maana nikasema Nyoka ni kiumbe wa Mungu, hayo mengine ya shetani ni fasihi tuu


Ni sawa nyoka ni kiumbe na anayo faida yake katika "ecosystem", ninachosema mimi ni nyoka katika muktadha wa maneno ya mungu "in spiritual realm". Isipokuwa neno nyoka per se bila "suffix" au "prefix" mfano "nyoka wa SHABA"- hapo halina maana ya "nyoka shetani".
 
Kwa Muktadha wa "maandiko matakatifu" nyoka mkubwa au (Joka) maana yake ni "shetani", na shetani maana yake mtu au kitu kiovu, kibaya nk.
Kumbe mussa alikua anatembea na shetani(fimbo/nyoka) kipindi chote cha unabii wake
 
Ni sawa nyoka ni kiumbe na anayo faida yake katika "ecosystem", ninachosema mimi ni nyoka katika muktadha wa maneno ya mungu "in spiritual realm". Isipokuwa neno nyoka per se bila "suffix" au "prefix" mfano "nyoka wa SHABA"- hapo halina maana ya "nyoka shetani".


Turudi kwenye mada sasa. Je wadhani kuna mwanadamu mwenye uspesho kwa Mungu
 
Ngoja nikufundishe kwa mifano, Yesu alipenda kutumia mifano:

Ni hivi, mavi ya ng'ombe yanaitwa kinyesi cha ng'ombe, lakini ukutumia hicho hicho kinyesi shambani hapo kinabadilika jina kinaitwa mbolea--- ndivyo hivyo Mungu anapotenda kazi yake, anaweza kumtumia shetani aende kuwaangamiza shetani wenzake.

Nilikupa mfano, A. Hitler ni shetani aliyetumika kuwapiga waisrael mashetani/waasi na jeuri (hadi leo si unawaona waisrael wanavyo wapiga Palestinians ) na kuwanyang'anya ardhi yao.
Mkuu mfano wako hauna uhalisia , Mungu anapomtuma shetani kuua , kosa linakuwa sio la shetani tena bali ni la Mungu aliemtuma , vip alaumiwe shetani wakati ameagizwa na Muumba wa mbingu na nchi?
 
Mkuu mfano wako hauna uhalisia , Mungu anapomtuma shetani kuua , kosa linakuwa sio la shetani tena bali ni la Mungu aliemtuma , vip alaumiwe shetani wakati ameagizwa na Muumba wa mbingu na nchi?


Siyo Mungu anaagiza shetani kuua, bali shetani kwa shetani wanaangamizana wao kwa wao, Mungu anatengeneza njia tu, nimekupa mfano wa Htler na waisrael, huoni baada ya Hitler kuua waisrael kilifuatia nini??!, naye Hitler alisambaratishwa na majeshi ya umoja. Huo ndiyo mpango wa mungu wa namna ya kumtumia shetani.
 
Mkuu embu acha hizo. Shati=shirt. Trekta=Tractor



Wewe ndiye uliyeandika neno "spesho" na mimi nikadhani ni hili neno "special". Wewe ndiye unayetakiwa kuandika maneno halisi ya kiingereza badala ya kuandika "kiswanglish".
 
Ni sawa nyoka ni kiumbe na anayo faida yake katika "ecosystem", ninachosema mimi ni nyoka katika muktadha wa maneno ya mungu "in spiritual realm". Isipokuwa neno nyoka per se bila "suffix" au "prefix" mfano "nyoka wa SHABA"- hapo halina maana ya "nyoka shetani".

Tena hiyo nayo ni nyingine inayoonesha huyo mungu anijicontradict

kauwa watu kwa kutengeneza sanamu ya ndama kama uovu baada ya musa kuyeya milimani

Halafu baadae katengeneza sanamu ya nyoka kama wokovu akamtuma huyohuyo musa aliwanywesha wenzake uji wa dhahabu [emoji1][emoji1][emoji1]

Vitabu vingine ili kuvielewa ni lazima ujipunguze ufahamu
 
Tena hiyo nayo ni nyingine inayoonesha huyo mungu anijicontradict

kauwa watu kwa kutengeneza sanamu ya ndama kama uovu baada ya musa kuyeya milimani

Halafu baadae katengeneza sanamu ya nyoka kama wokovu akamtuma huyohuyo musa aliwanywesha wenzake uji wa dhahabu [emoji1][emoji1][emoji1]

Vitabu vingine ili kuvielewa ni lazima ujipunguze ufahamu





Kuvielewa lazima upunguze ufahamu?!!, sasa huvielewi ukiwa na huo "ufahamu" ulionao, vipi sasa utaelewa nini ikiwa huo ufahamu utapungua??!!, nadhani wewe upo usingizini kwani maneno hayo hawezi kuongea mtu aliye "SOBER".

Kuna aina mbili ya maneno ya Mungu, kuna yale yenye maana ya moja kwa moja na yale yanayohitaji tafsiri (ufafanuzi), hayo uliyanukuu yanahitaji ufafanuzi, mfano ukisoma Injili kuna mahali Yesu alijiita MKATE, na pengine alijiita MZABIBU nk, wewe kwa akili yako utasema Yesu alikuwa Mkate huu wa kunywea chai?!!😁😁😁
 
Kuvielewa lazima upunguze ufahamu?!!, sasa huvielewi ukiwa na huo "ufahamu" ulionao, vipi sasa utaelewa nini ikiwa huo ufahamu utapungua??!!, nadhani wewe upo usingizini kwani maneno hayo hawezi kuongea mtu aliye "SOBER".

Kuna aina mbili ya maneno ya Mungu, kuna yale yenye maana ya moja kwa moja na yale yanayohitaji tafsiri (ufafanuzi), hayo uliyanukuu yanahitaji ufafanuzi, mfano ukisoma Injili kuna mahali Yesu alijiita MKATE, na pengine alijiita MZABIBU nk, wewe kwa akili yako utasema Yesu alikuwa Mkate huu wa kunywea chai?!![emoji16][emoji16][emoji16]
Una safari ndefu kweli

yesu alikuwa anato mahubiri na haikuwa ngumu kwa waliomzunguka kujua kuwa huyu mtu anaongea kitamathali

Musa kaamriwa na Mungu wako asimike sanamu ya nyoka wa shaba sio mahubiri hayo... unaelewa?

Yeye aliyekataza ndiye anayefundisha tena kiyaamini huu ni zaidi ya uhuni

Hivi hakuwa na njia nyengine ya kuponya hao viumbe bila ya kutumia hiyo aliyoitumia.?
 
Una safari ndefu kweli

yesu alikuwa anato mahubiri na haikuwa ngumu kwa waliomzunguka kujua kuwa huyu mtu anaongea kitamathali

Musa kaamriwa na Mungu wako asimike sanamu ya nyoka wa shaba sio mahubiri hayo... unaelewa?

Yeye aliyekataza ndiye anayefundisha tena kiyaamini huu ni zaidi ya uhuni

Hivi hakuwa na njia nyengine ya kuponya hao viumbe bila ya kutumia hiyo aliyoitumia.?




Sasa wewe unataka Musa angetumia njia ipi ili wapone??!!, unapopinga kitu basi leta mbadala wake na siyo kupinga tu na kuita eti Uhuni!!. Leta hapa mbadala wako usiokuwa "Uhuni" tuuone.
 
Back
Top Bottom