Mungu wa kweli hahitaji haya tunayoaminishwa

Mungu wa kweli hahitaji haya tunayoaminishwa

Lengo la Yesu linafichwa fichwa na ukristo

Tomaso hakuwa mjinga kutaka kuona viganja vya Yesu. Utapeli wa kina Gwajima haukuanza zama hizi. Tomaso atakuambia.
 
Dini ni utaratibu au kanuni za maisha ajiwekeazo mtu au kikundi cha watu na kuzifuata kitamaduni

yaani ni kama katiba ya inchi na wananchi
Dini zinasimamia kile kinachoaminiwa na walioiunda kwa usahihi wao na mtazamo wao

Kwa kifupi ndio hivyo Mkuu
Sasa kwanini huwa tunasema tusichanganye siasa na dini au serikali haina dini? Na wakati mwengine tunasema chama fulani(cha siasa) kina udini?
 
Wewe hapa unatoa maneno matupu hutoi maandiko ndio maana nikakuuliza hivyo,lakini pia ni Maandiko gani hayahaya wanayofundisho viongozi wa dini ndio nikayasome?


Hayo hayo, au hujasoma sehemu inasema kuwa kuhani hulia madhabahuni na si Mungu
 
Mungu wa kweli hakuna atakayekuelekeza kwakwe. Mungu wa kweli yupo moyoni mwako.Huyo ambaye ukifanya jambo baya unajisikia vibaya msikilize huyo huyo. Tumia akili kwani Mungu ndio hutumia akili yako kujidhihirisha katika maisha yako na si akili ya mtu mwingine. Ikitokea hatari kubwa itakatayo kuhusu wewe peke yako ndipo utamjua Mungu wa kweli.
Ukifanya kitu ukajiskia vibaya ni subconscious mind yako imeshikilia kuwa kitu hichi ni kibaya kutokana na kuambiwa au kusikia kufanya hivi siyo vizuri na ukitaka kujua hili kuna mfano mzuri tu
Mtoto mdogo hufanya kitu bila kujua ni kizuri au kibaya
 
Ukifanya kitu ukajiskia vibaya ni subconscious mind yako imeshikilia kuwa kitu hichi ni kibaya kutokana na kuambiwa au kusikia kufanya hivi siyo vizuri na ukitaka kujua hili kuna mfano mzuri tu
Mtoto mdogo hufanya kitu bila kujua ni kizuri au kibaya


Ushasema mtoto mdogo. Hata mnyama akitenda kosa anajua, au hili hulijui
 
Hujawahi hata kufuga paka, mbwa na wanyama wengi wenye kucha. Kama nyani. Tofauti na wenye kwato
wanakuwa trained mkuu kamchukuwe mbwa koko mitaa ya tandale alafu useme anajua sheria in short kajitrain kulingana na mazingira aliyopo, watu anaokutana nao na hali ya upatikanaji wa chakula
 
Sasa ndugu kama Mungu anashindwa kufanya kazi yake inabidi amtume nyoka anakuaje shetani wakati ni msaada huo kwa Mungu ?



Ngoja nikufundishe kwa mifano, Yesu alipenda kutumia mifano:

Ni hivi, mavi ya ng'ombe yanaitwa kinyesi cha ng'ombe, lakini ukutumia hicho hicho kinyesi shambani hapo kinabadilika jina kinaitwa mbolea--- ndivyo hivyo Mungu anapotenda kazi yake, anaweza kumtumia shetani aende kuwaangamiza shetani wenzake.

Nilikupa mfano, A. Hitler ni shetani aliyetumika kuwapiga waisrael mashetani/waasi na jeuri (hadi leo si unawaona waisrael wanavyo wapiga Palestinians ) na kuwanyang'anya ardhi yao.
 
Wamekukosea nini watumishi wa mungu mbona unaonekana kama una chuki nao.
Hawaja
Mkosea kitu isipokuwa anatakiwa wawe wakweli katika kuona sadaka. Kila kitu Amesema watu kuwa wasimsingizie mungu kuwa yeye anataka warusi wake watoe sadaka. Wanachotakiwa ni kusema ukweli kuwa wanahitaji sawa na kwa Service wanayo toa. It is clear.

Na kama wao ni watoa huduma za kiroho hatuna budi sisi watoa huduma nyingine kuwaogopa wao. Wao ni nani mpaka wakawa wanatakiwa kuogopwa? Service ni Service tu iwe ya kiroho au ya matibabu.
 
Back
Top Bottom