Mungu wa kweli hahitaji haya tunayoaminishwa

Mungu wa kweli hahitaji haya tunayoaminishwa

Ngoja nikufundishe kwa mifano, Yesu alipenda kutumia mifano:

Ni hivi, mavi ya ng'ombe yanaitwa kinyesi cha ng'ombe, lakini ukutumia hicho hicho kinyesi shambani hapo kinabadilika jina kinaitwa mbolea--- ndivyo hivyo Mungu anapotenda kazi yake, anaweza kumtumia shetani aende kuwaangamiza shetani wenzake.

Nilikupa mfano, A. Hitler ni shetani aliyetumika kuwapiga waisrael mashetani/waasi na jeuri (hadi leo si unawaona waisrael wanavyo wapiga Palestinians ) na kuwanyang'anya ardhi yao.


Ndio maana nikasema Nyoka ni kiumbe wa Mungu, hayo mengine ya shetani ni fasihi tuu
 
Hawaja
Mkosea kitu isipokuwa anatakiwa wawe wakweli katika kuona sadaka. Kila kitu Amesema watu kuwa wasimsingizie mungu kuwa yeye anataka warusi wake watoe sadaka. Wanachotakiwa ni kusema ukweli kuwa wanahitaji sawa na kwa Service wanayo toa. It is clear.

Na kama wao ni watoa huduma za kiroho hatuna budi sisi watoa huduma nyingine kuwaogopa wao. Wao ni nani mpaka wakawa wanatakiwa kuogopwa? Service ni Service tu iwe ya kiroho au ya matibabu.


Wewe Umenielewa. Jamaa wanadhani mimi nawakandia viongozi wa dini. Mimi si mkandii mtu yeyote isipokuwa mtu afanyaye ulaghai.
 
Sasa kwanini huwa tunasema tusichanganye siasa na dini au serikali haina dini?
Kuna mstari mwembamba sana unaotofautisha kati ya dini na siasa(utawala)

Dini=Siasa(utawala)

Mungu=Raisi

Kitabu kitakatifu=katiba

waumini=wananchi

Mahubiri=kunadi sera

katika hali kama hii na nyengine nyingi yenye ufanano si ajabu vitu hivi vikaingiliana kwa kuwa vyote vinadai aina fulani ya control
Na wakati mwengine tunasema chama fulani(cha siasa) kina udini?
Ni rahisi kwa vyama vya siasa kutafuta uvutano wa namna hiyo

Mifumo yetu ya utawala imetoka na miundo mama ya kidini hivyo usishangae muingiliano

Na kwa kuwa upande wa dini unanguvu ya wajitoa wakubwa na usikivu mwingi si ajabu joker yeyote wa siasa kuwatumia

NB: ni maoni yangu
 
Kipi sio kweli? Hebu leta vielelezo basi ili tujue ni kipi sio cha kweli kimetungwa tu na viongozi wa dini.

Swali la kizushi nikuulize, je Yesu aliwahi kutoa sadaka au zaka?
 
Kuna mstari mwembamba sana unaotofautisha kati ya dini na siasa(utawala)

Dini=Siasa(utawala)

Mungu=Raisi

Kitabu kitakatifu=katiba

waumini=wananchi

Mahubiri=kunadi sera

katika hali kama hii na nyengine nyingi yenye ufanano si ajabu vitu hivi vikaingiliana kwa kuwa vyote vinadai aina fulani ya control
Ni rahisi kwa vyama vya siasa kutafuta uvutano wa namna hiyo

Mifumo yetu ya utawala imetoka na miundo mama ya kidini hivyo usishangae muingiliano

Na kwa kuwa upande wa dini unanguvu ya wajitoa wakubwa na usikivu mwingi si ajabu joker yeyote wa siasa kuwatumia

NB: ni maoni yangu
Bado sijakupata kabisa mkuu.
 
Mimi ni mfuasi wa Mungu na si mfuasi wa Mtu
Mafundisho unayoyajua wewe leo kuhusu Mungu yalikuwa yakifundishwa na watu(mitume) ambao walikuwa na wafuasi na hao wafuasi walieneza hayo mafundisho.
 
hii style ya kutafsiri mistari ya biblia huwa inaniacha hoi



Mkuu, naomba utoe tafsiri sanifu ya haya maneno:-

"And the lord sent fiery serpents among the people , and they bit the people ,and much people died"
 
Ndio maana nikauliza kama tunafuata mafundisho yake au maisha yake tu? Maana maisha ya Yesu ni kwamba hakuoa.


Tunafuata Mafundisho na maisha yake, yeye mwenyewe anasema tujifunze kutoka kwake.
Hata hivyo Yesu na manabii wengine wote walikuja kufafanua sheria za Musa
 
Mkuu, naomba utoe tafsiri sanifu ya haya maneno:-

"And the lord sent fiery serpents among the people , and they bit the people ,and much people died"


Alafu hapo hapo tujiulize kwa nini fimbo ya musa igeuke nyoka na si kiumbe mwingine. Je hii isingefafanua kuwa Musa alitumia shetani. Jibu ni hapana kwani Nyoka ni kiumbe kama viumbe wengine ila kilichotumika ni fasihi tuu
 
Back
Top Bottom