Mungu wa kweli hahitaji haya tunayoaminishwa

Mungu wa kweli hahitaji haya tunayoaminishwa

Kwani kabla ya Abraham/ibrahimu na kizazi chake kuwepo watu waliishi vipi..!?

Anaweza kujibu hilo.? mpaka jambo la amri liwe habari kuu..!


Watu waliishi kwa amri na wataendelea kuishi kwa amri popote pale walipo
 
Na wewe soma HESABU 21:6 kisha uniambie kwa nini Mungu amtumie shetani kwenye kazi zake ?



Sasa unakubaliana na mimi, Hesabu 21:6:-

Na bwana aliwatuma nyoka wakali miongoni mwa watu, na (hao nyoka) waliwaginga watu hao na watu wengi wakafa.

Nyoka wakali, hao ndiyo shetani, na shetani ni kitu kiovu. Na Mungu anaweza kutumia kitu kiovu kuwaadhibu Waovu, kama jinsi Adolf Hitler muovu alivyowaadhibu waisrael waovu, hapo Hitler ni kama nyoka mkali.
 
Sasa unakubaliana na mimi, Hesabu 21:6:-

Na bwana aliwatuma nyoka wakali miongoni mwa watu, na (hao nyoka) waliwaginga watu hao na watu wengi wakafa.

Nyoka wakali, hao ndiyo shetani, na shetani ni kitu kiovu. Na Mungu anaweza kutumia kitu kiovu kuwaadhibu Waovu, kama jinsi Adolf Hitler muovu alivyowaadhibu waisrael waovu, hapo Hitler ni kama nyoka mkali.
Na yule wa shaba ambaye musa alimkongomea mtini na kuwaamuru makutano wamkodolee macho ili wapone utatuambiaje naye ni shetani mungu...!?
 
Sasa unakubaliana na mimi, Hesabu 21:6:-

Na bwana aliwatuma nyoka wakali miongoni mwa watu, na (hao nyoka) waliwaginga watu hao na watu wengi wakafa.

Nyoka wakali, hao ndiyo shetani, na shetani ni kitu kiovu. Na Mungu anaweza kutumia kitu kiovu kuwaadhibu Waovu, kama jinsi Adolf Hitler muovu alivyowaadhibu waisrael waovu, hapo Hitler ni kama nyoka mkali.
Sasa ndugu kama Mungu anashindwa kufanya kazi yake inabidi amtume nyoka anakuaje shetani wakati ni msaada huo kwa Mungu ?
 
Mungu wa kweli hakuna atakayekuelekeza kwakwe. Mungu wa kweli yupo moyoni mwako.Huyo ambaye ukifanya jambo baya unajisikia vibaya msikilize huyo huyo. Tumia akili kwani Mungu ndio hutumia akili yako kujidhihirisha katika maisha yako na si akili ya mtu mwingine. Ikitokea hatari kubwa itakatayo kuhusu wewe peke yako ndipo utamjua Mungu wa kweli.
Unachosema ni kwamba nitumie hisia kumjua Mungu wa kweli?
 
Mimi sijakataa wao wasipewe sadaka Mkuu. Ninachokataa ni wao kusema Mungu ndiye anataka sadaka tena wameenda mbali zaidi kwa kusema fungu la kum(9zaka) ni la Mungu jambo ambalo si kweli. Tunajua umuhimu wa huduma yao lakini isiwe sababu ya wao kumsingizia Mungu eti anahitaji zaka. Tena ni lazima.
Sasa wewe na hao viongozi dini tumsikilize nani? Wewe una kipi cha kutufanya tukubali unachosema ndio sahihi na hao wengine waongo?
 
Mungu yupo Mkuu. Ila wajanja ndio wanamfanya asiwepo kwa kumshushia heshima na kumfanya aonekane Mungu mwenye shida, Mungu asiye na huruma ilhali anahuruma.
Mungu mwenye uwezo wote na mamlaka yote hayupo kwa sababu angekuwepo asingekubali kushushwa heshima na kuonekana kuwa ana shida kama unavyodai!Kitendo cha mungu huyu kushuswa heshima na kukubali kuonekana kuwa ana shida kinathibitisha kuwa mungu mwenye uwezo wote na mamlaka yote hayupo!!
 
Mungu mwenye uwezo wote na mamlaka yote hayupo kwa sababu angekuwepo asingekubali kushushwa heshima na kuonekana kuwa ana shida kama unavyodai!Kitendo cha mungu huyu kushuswa heshima na kukubali kuonekana kuwa ana shida kinathibitisha kuwa mungu mwenye uwezo wote na mamlaka yote hayupo!!


hahahaha!! Nimeangalia Avatar yako nikacheka.
 
Nenda hata kwa wasiojua ukristo au Uislam uniambie wao wanaishije. Amri za Mungu ni amri za asili
Wengi hapa kama sio wote tunamjua Mungu kupitia hizo dini za ukristo na uislamu,hata wewe unazungumzia Mungu basi ni yule ambaye ameelezwa kutokana na mafundisho ya hizo dini.

Sasa ukisema nje ya hizo dini kuna amri za Mungu lazima tujiulize ni Mungu yupi?
 
Kwani mkuu dini ni nini hasa
Dini ni utaratibu au kanuni za maisha ajiwekeazo mtu au kikundi cha watu na kuzifuata kitamaduni

yaani ni kama katiba ya inchi na wananchi
au dini zinasimamia nini?
Dini zinasimamia kile kinachoaminiwa na walioiunda kwa usahihi wao na mtazamo wao

Kwa kifupi ndio hivyo Mkuu
 
Sasa unakubaliana na mimi, Hesabu 21:6:-

Na bwana aliwatuma nyoka wakali miongoni mwa watu, na (hao nyoka) waliwaginga watu hao na watu wengi wakafa.

Nyoka wakali, hao ndiyo shetani, na shetani ni kitu kiovu. Na Mungu anaweza kutumia kitu kiovu kuwaadhibu Waovu, kama jinsi Adolf Hitler muovu alivyowaadhibu waisrael waovu, hapo Hitler ni kama nyoka mkali.
hii style ya kutafsiri mistari ya biblia huwa inaniacha hoi
 
Mungu mwenye uwezo wote na mamlaka yote hayupo kwa sababu angekuwepo asingekubali kushushwa heshima na kuonekana kuwa ana shida kama unavyodai!Kitendo cha mungu huyu kushuswa heshima na kukubali kuonekana kuwa ana shida kinathibitisha kuwa mungu mwenye uwezo wote na mamlaka yote hayupo!!
Sasa hapo mbona hakuna mahusiano ya kutokuwepo kwa Mungu na watu kumshusha heshima Mungu?

Na hili ndio tatizo lenu mnapenda kubabatiza mambo.
 
Back
Top Bottom