Mungu wa Lissu ni Mungu aliye hai, kumbe wanaotukana Serikali na Viongozi ni Wao wenyewe

Yaani mali za umma waibe ccm na rushwa watoe wao maendeleo yaletwe na Vibrant opposition??
Shame on you.
...a vibrant and visionary opposition... without your "visionary" support! The opposition is trying under difficult conditions, to say the least, even without your support. We cheki katiba, nguvu za polisi, tume mblmbl za kusmamia mauchaguzi na mawizi yasiodhibitiwa, ya kura... nk. Pamoja na kwamba penye uongo ukweli hudhibitika, lkn uongo ukirudiwa kwa xana, hususan na viongozi, waTz wasio na elimu ya kutosha huamini ...nk.
 
Hakuna utaalam hapo......wananchi wako bize na maisha yao. Hawajali mambo ya ccm.

Kaulize mtaani nani anajua hizo habari?
Wako bize hadi atakapokuja kuhutubia, then watajazana viwanjani wakitegemea chchte. Ndivo walivo...
 
Unafiki wa kiwango cha lami

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…