Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Mungu wangu ninamjua anazonguvu nyingi sana kuliko hao wachawi na wakuu wote wa giza...

Huyo unayesema nipo naye na ni mrefu mwenye mwanga...sijui kwanini umesema mrefu .. ila mi najua kuwa nina Malaika wa ulinzi ananilinda na ninaye msaidizi wangu ambaye ni Roho Mtakatifu...

Roho Mtakatifu nikimuita naweza muomba anisaidie ananisaidia...

Pia nikitaka kuona adui au mchawi naweza muona..

Roho Mtakatifu anafundisha na nimsaidizi...
 
Nimesema mrefu sababu vimo vyao kibinadamu ni kama Hasheem Thabeet au Shaq O'Neal kwa muonekano.Hapo labda utanielewa
 
Hebu endelea mkuu!!

Nilikua mlokolet mzuri sana!nikaacha baadae!!
 
Kama na wewe HUWA unawaona!je upo kundi gani!!?au na wewe ni mchawi!!?
 
YESU ni MUNGU
Basi atakua ndio huyo Mungu wa walokole ana kikundi cha watu warefu wenye kuakisi mwanga almost kwa hesabu ya kibinadamu ni trioni na trio ni kwenye ulimwengu wa kificho cha macho.Wanamwita mwana wa mmiliki sababu anaodhi anga yote nje pluto..Kule kusikofikika hata ukitoka nje ya mwili kwa meditation au maelekezo ya wanajimu.Unajua ukitoka nje ya mwili unakutana na hawa watu warefu wenye kuakisi mwanga ila huwezi vuka nje ya mipaka ya ile sayari ya barafu nadhani inaitwa Pluto.
 
Zaburi 34:7 Malaika wa Bwana hufanya kituo akiwazungukia wote wamchao na kuwaokoa.
Wale hawaitwi malaika,binadamu mnachora malaika kama wanawake ila wale watu wa kuakisi mwanga sio kama wanawake wala wanaume.Wana sura za kibinadamu ila huwezi jua jinsia zao,baadhi wana mabawa na wengine hawana.Wañajimu wanawaita watu wa jamii ya jua,ila wakija duniani wanajihusisha na walókole tu na sijui kwanini.
 
Ulimwengu wa Roho kule kuna vita na majeshi ya Ulinzi na majeshi mabaya...

Ukiwa na YESU unaimani na nguvu za Rohoni basi unashinda hayo majeshi...

Ila kwa wale wasio na YESU na Imani wanashindwa...
 
Nikipata utulivu ntasoma then ntachangia mjadala....
 
Mbona wamejaa stress, chuki na maisha magumu?

Ulokole ni upuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…