Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

safi sana mkuu
 
Walokole mmekuja na mbinu mpya kuwateka akili wajinga wajinga.

Mwisho wa simulizi utaweka namba watu wakufate kanisani kwako. Unasema uongo mchana kweupe na wajinga wenzio wanakusupport.

Hakuna watu wenye akili ndogo duniani kama walokole.
hahahaha, daah! Kwa mkasa wako wewe na vumilia,,niliamini ulibadilika na kuwa mtumishi kabisa, lakini kwa oni lako hili inaonesha we bado ni mshirikina wa kutupwa...
 
Inazungumzia,

Ili uwe miongoni Mwa Watu WA Mungu ,waliokubalika Mbele ZAKE uwe na haya,

Imani timilifu
Upendo WA Agape
Utakatifu kamilifu

Maombi Yako,yatawaliwe na nguvu ya Roho mtakatifu

Hivyo unatakiwa uwe navyo siku zote,maishani mwako,

Ila A-Z ya maelszo nimeweka kimtiririko wote,
Pia link hio


Main point ni nini Kwa Sisi wavivu kusoma
 
Summary hii apa,
Mada inahusu,

Watu waliojikabizi KUWA Mali ya Mungu ,Kwa NJIA ya umwamini ujumbe WA mwanae aliye mtuma duniani,

Ili uwe miongoni Mwa Watu WA Mungu ,waliokubalika Mbele ZAKE uwe na haya,

Mwamini mwanae aliyemtupa kwakuupokea ujumbe wake aliotumwa kuleta duniani ,Kwa kupokea moyoni Kwa NJIA ya kuamini ujumbe huo na kufuata,maisha yako yote,

Mada imegusia sana, Vitu hivi 3, vita wale maishani mwankila aliyejikabizi Kwa Mungu,

Vitu hivyo ambavyo muandishi nelson mtafiti akizungumzia ni,

1.Imani timilifu
2.Upendo WA Agape
3.Utakatifu kamilifu

Maombi Yako,yatawaliwe na nguvu ya Roho mtakatifu

Hivyo unatakiwa uwe navyo siku zote,maishani mwako,

Ila A-Z ya maelszo nimeweka kimtiririko wote,
Pia link hio


 
BAADA YA KUANZA HII SIMULIZI NILIPITIA MENGI,,,,,,UNAJUA MUNGU WA WALOKOLE HAITAKIWI WATU WA DUNIANI WAMJUE NA NDIO MAANA NIKAPITIA CHANGAMOTO MPAKA NIKAKAA PEMBENI KIDOGO JAMII FORUM....!!!LAKINI NAMSHUKURU HUYU MUNGU WA WALOKOLE AMBAE NI MKUU WA ANGA ZA JUU NA NI MUNGU MMILIKI ALINIAMBIA MANENO HAYA
MOSI: MIMI NI MUNGU NINAESAMEHE NA HAKUNA MUNGU KAMA MIMI UKITAKA KUTOA USHUHUDA WATU WANIFAHAMU USIOGOPE MATOKEO SABABU MIMI NI ROHO IWAKAYO MOTO NA WANAONIAMINI WANANIAMINI KATIKA ROHO NA UJASIRI WA IMANI WAOGA HAWANA NAFASI.
PILI: ANASEMA YEYE NI MUNGU MWENYE WIVU KWA WATU WAKE HASA WAMJUAO (HAPA NAMAANISHA WALOKOLE) NA ANAWALINDA KWA HIYO WASIOGOPE KUMTAJA.
KWA HIYO BAADA YA MANENO HAYA NA CHANGAMOTO ZA KIROHO ZILIZONIANDAMA TAKRIBANI MWAKA NIMERUDI TENA KUMZUNGUMZIA MUNGU WA WALOKOLE.YULE MUNGU MWENYE USHARIKA NA WALE WATU WAREFU WA NURU WENYE MABAWA NA AMBAE MTOTO WAKE WA KIPEKEE NDIE MFALME PEKEE WA ULIMWENGU WA KIMWILI NA ULIMWENGU WA KIROHO.
MKUBALI AU MKATAE ILA KWENYE ULIMWENGU WA KIROHO,,HUYU MTU MREFU MWENYE ALAMA YA ALFA NA OMEGA KIFUANI WALOKOLE WANAMUITA YESU AU IMANUELI AMBAE WALOKOLE WAKILIA ANATUMA WALE WATU WAREFU WENYE KUAKISI MWANGA WA JUA KUWALINDA,NDIE MUNGU WA KWELI NA ULIMWENGU WOTE WA KIROHO UNAJUA HIVYO.
MIMI BINAFSI WAKATI NAANDIKA KUHUSU MUNGU WA WALOKOLE NILIAMUA KUMSUJUDIA MAANA LEO NI MWAKA WA KENDA YUPO ANANITIZAMA TU KWA MACHO YA REHEMA..PAMOJA NA DHAMBI ZANGU BADO NINAISHI KWA REHEMA ZAKE ZA ULE USO WA KUNGAA NA KWA REHEMA ZA BABA YAKE AMBAE ANAWAKA KAMA JUA NA BILA KIBALI PENDEKEZI WALOKOLE WANAITA(UTAKATIFU) HUWEZI KUMTIZAMA AU KUMSOGELEA.
HAKUNA KITU KINATISHA KAMA KUMZUNGUMZA AU KUMUONGELEA MUNGU WA WALOKOLE ANATISHA MAANA ANA GRAVITY'S YA AJABU SANA INAKUTETEMESHA ROHO NA MWILI.NILIPOAMUA KUMZUNGUMZIA MUNGU WA WALOKOLE NILIPATA VITISHO VYA KIROHO ILA NIMERUDI TENA KUMZUNGUMZIA HUYU MUNGU MAANA NIMEMUONA KATIKA UKUU WAKE NA SI KWA MACHO YA NYAMA BALI MACHO YA KIROHO
MUNGU WA WALOKOLE YUPO HAI NA ANASHUKA DUNIANI KWA WASJIRIKA WAKE MDA WOTE NA KAMA AMEGAWANYIKA MAANA MAHALI POPOTE YUPO NA KAMA WALOKOLE MNGEFUNGULIWA MACHO YENU YA KIROHO BASI HAKUNA HATA MLOKOLE MMOJA AMBAE ANGEACHA USHARIKA NAE..YEYE NI MUNGU WA NURU NA VIUMBE VYOOOTE VYA KIROHO VINAMUABUDU NA ANA WASHIRIKA ZAKE WATU WAREFU WENYE KUAKISI MWANGA WA JUA WANAOWALINDA WALOKOLE NA MAPANGA YA MOTO POPOTE WAENDAKO.
KABLA SIJAENDELEA NAOMBA WALOKOLE POPOTE MLIPO MNIOMBEE ILI NIPATE KIBALI MBELE YA MUNGU WENU NIENDELEE KUWALETEA USHUUDA HUU KUMUHUSU YEYE AMBAE NI MUNGU MMLIKI WA ULIMWENGU WA KIROHO NDANI NA NJE YA MFUMO WA SAYARI ZA ULIMWENGU.
MUNGU WA WALOKOLE ANA NCHI YAKE SAYARI ZA MBALI AMBAYO NI WALOKOLE TU WENYE NEEMA YAKE MNAITA UTAKATIFU NDIO WATAFIKA HUKO.
 
Mkuu huu utafiti umenifanya kwa sasa nimsujudie Mungu wa walokole ambae katika ulimwengu wa kiroho ana gravity kubwa mno siwezi kuielezea na kile kitabu walokole wanaita biblia,sio kitabu kile kwa macho ya kiroho bali ni pumzi na maneno ya Mungu wa walokole na kina uhai wa pumzi za moto ndani yake
 
Kumbe kuna Mungu wengi, eeh? Wa walokole wa wasabato, wa waislamu nk? Hahahahaha......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…