Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Nelson,
TUnasubiria Muendelezo
Mkuu niliandamwa kiroho mpaka nikakimbia hii platform kwa mda ila nimerudi,,,lakini kabla ya kurudi nilimsujudia kwanza Mungu wa walokole na maisha yangu nikayaweka kwake..Sababu katika ulimwengu wa kumwili na kiroho hakuna kama yeye hata watu wakubali au wakatae na katika utambulisho wake ana maneno yanaitwa ALFA NA OMEGA yameenea kote angani toka kilindi cha mwanzo wa ulimwengu mpaka kule kwenye maskani yake ya mwanga mkali kuliko jua na yule mwanae anayeitwa NYOTA YA ALFAJIRI ndie mlinzi wa walokole hapa duniani....Nimeamua kumsujudia ili na mimi anilinde mkuu.
 
Kumbe kuna Mungu wengi, eeh? Wa walokole wa wasabato, wa waislamu nk? Hahahahaha......
Yeah kuna mungu wengi ila mimi namzungumzia mungu wa walokole...katika ulimwengu wa kiroho ,hao walokole wapo kwenye madhehebu yote ya kikrsto kuanzia wakatoliki,wasabato,waangilikana,wapentekoste na wayahudi.Wote hao kiroho wanawajibika kwake na kwa mwanae ambae ndie kiunganishi chao kiroho..Kuhusu waislamu sijui na sina uzoefu wowote kiroho kuwahusu ila mimi namzungumzia tu mungu wa walokole ambae kiroho ni adui wa wachawi,washirikina na washirika wao kiroho
 
Unaelewaje
kuhusu,
Mungu Baba,
Mungu Mwana, naMungu Roho mtakatifu,

Na,je kuomba kwao ni mpaka wanene Kwa lugha ya kiroho ndio wanashuka malaika,

Wakiongea maombi ya kiswahili tupu ,vipi wanashuka,au mpaka mlokole abadili maombi kwenda lugha ya kiroho ndio malaika wanashuka, mlokole akiomba Kwa lugha ya kiswahili tupu mwanzo Hadi Mwisho wa Sara yake ,je hayo sikiwa na je malaika hawatoshuka,
 
Unajua hapa kuna vitu viwili ambavyo ni kiroho na kimwili...Kiroho hao unaita malaika ni watu warefu wenye kuakisi mwanga wa jua na wanaongea na walokole kwa lugha hiyo mnayoita kunena kwa lugha,,na kule kulia kiroho walokole wanaonekana wanaimba kwa lugha hiyo hiyo ya wale watu warefu wenye mabawa na panga za moto.Mungu wa walokole ana mwanae nae anaitwa MWANA WA MMILIKI AMBAE WALOKOLE WANAMUITA EMANUELI NA ANA ROHO YAKE MFANO WA NJIWA WA MOTO NA VIDUARA VYA MOTO NA VYOTE VINAAMBATANA PAMOJA KUWAENDEA WALOKOLE WANAPOSALI.Chochote wanachofanya walokole duniani basi kiroho kinaonekana tofauti...ukiona wanalia ujue kiroho wanaimba na ukiona wananena kwa lugha ujue kiroho wanazungumza na washirika wao ambao ni MWANA WA MTAWALA NA WALE WATU WAREFU WENYE MABAWA WANAOAKISI MWANGA WA JUA NA WANAOWAZUNGUKA WALOKOLE NA PANGA ZA MOTO POPOTE WAENDAPO USIKU NA MCHANA.
 
Tunasubiri vitu
Kwa Kuwa jambo ,unalolisema ni jema na ni baraka Kwa watoto wake wa kiroho ,duniani ,
Ni baraka pia Kwa watoto wake,

Si Dhani kama ataruhusu uwoneww kiroho, kama Nia ni kuhusema ukweli na kumtukuza Huyo Mungu WA walokole,

NAMI NASEMA karibu sana,
Na Mungu awe nawe akurinde UMALIZE UJUMBE WOTE WA UTAFITI WAKO ULIOUWANGAIKIA KWA MIAKA MINGI,

NAMSII MWANA WA MUNGU AKULINDE, AMEN.
NAKUTAKIA ULINZI WA YESU KRISTO ,UWE PAMOJA NAWE ,NA UWE NA AMANI ,USIOGOPE WALA USIHOFIE, UFANYALO NI JEMA,

KARIBU JUKWAANI UMALIZE UZI WAKO,ILI IWE FUNDISHO.
Watu wafahamu wasio yafahamu
 
Usiku huu shusha vitu, tubarikie na mwendelezi wa yule Mzee na wewe Katika kutafuta ukweli ,

Mlipopitia mlipitia vingapi mpaka kupata ukweli,na mlikutana na vizuizi Gani kiroho
 
Asante sana mkuu
 
Usiku huu shusha vitu, tubarikie na mwendelezi wa yule Mzee na wewe Katika kutafuta ukweli ,

Mlipopitia mlipitia vingapi mpaka kupata ukweli,na mlikutana na vizuizi Gani ki
 
Mzeebaba sijasoma yote ila uchawi au ushirikina haupo ni story za kusadikika zinazoshamiri sana kwenye jamii za watu wajinga na maskini ndo maana ni rahisi mtu wa Chitipa kuamini karogwa kuliko mtu wa Masaki achilia mbali Ulaya na bongo.
Masaki haiishi jamii ya wapuuzi, uchawi utaukuta zaidi uswahilini.
 
INAENDELEA..........
Mzee Matata aliniambia kitu kimoja huko nyuma"Mwanangu huyo Mungu wa walokole acha kumtafiti maana yatakukuta"".Nikamuuliza mzee wangu yatanikuta mambo gani??? Akasema yafuatayo
1: Ni laaana kumjua Mungu wa walokole alafu ukaacha kumsujudia kiroho na unapomsujudia unajitiisha roho yako kwake sababu yeye ni alfa na omega kwenye vilindi vya ulimwengu wa kiroho...je upo tayari kujitiisha kwake???
2: Mungu wa walokole ni mkarimu mno unaweza ukajikuta unapotelea kwenye ukarimu,uwepo,utukufu wake na ukashindwa kurudi kwenye ubinadamu tena.
Mimi nikamuambia mzee Matata tuendelee na utafiti wetu wa kumdadisi Mungu wa walokole..Akaniambia mzee wangu nenda kwenye makusanyiko ya walokole afu uone wangapi wanabeba vitabu vyao kwa imani,na vitazame vile vitabu ni vitabu au ni vitu gani..Kumbuka hv vitabu ndio vile walokole wanaita biblia za torati na injili.Kumbuka nilikua nikawatizama tu wale walokole wanaobeba vitabu vyao kwa imani.Vile kumbe sio vitabu bali ni pumzi ya moto ya Mungu wao na ni kama maneno yanayotoka angani na kujifunga kwa mfumo wa kitabu.Lakini walokole wenyewe wanaona wameshika vitabu kumbe wameshika alphabeti za moto zinazotoka angani.
Walokole wanatembea na silaha kama askari wa zamani wa kirumi....maana kiroho wanaonekana wamevaa chepeo na drii za moto na ngao na mapanga na mikuki ya moto na viatu vya kale kama asikari wa kirumi.Walokole wana mwanga pande zote na ule mwanga una utulivu wa ajabu.
Mzee Matata akaniambia tazama na peleleza nyumba za walokole uone zilivyo..Karibia nyumba zoote za walokole zimezungukwa na uzio wa moto na pia wale watu warefu wameweka vituo kama nguzo za moto na mawingu kwenye nyumba za walokole..Huwezi kusogea kirahisi.
Kila kitu cha walokole kinalindwa na wale watu warefu wenye mabawa na upanga,,hapa namaanisha mpaka makaburi yao..Mungu wao anawapenda mpaka kapitiliza sababu kila mlokole ana mlinzi wake pande nne za dunia na bado yule mwana wa mmliki anawatazama masaa ishirini na nne.
Afu walokole wote ni sawa duniani kote na sharti lao kuu ni kuishi kwa imani tu na wala hawahitaji kuona kila kitu kwa macho.
Laiti walokole wangejua yanayowazunguka basi wangeringa sana.Mzee matata akaniambia unaona wale watu warefu,,basi wale ndio wana wa miungu wanaofanya usharika na walokole na no roho za kutoka kwa Mungu wa walokole.
Mzee matata akasema yeye hataki kabisa ugomvi na walokole sababu wana nguvu za asili ya Mungu wao na wakinena tu inatimia sababu kwa Mungu wao kila neno ni tendo kamili.Basi nikawa nawatizama walokole wanapita na vitabu vyao wala hawana habari na utukufu unaowazunguka.
Tukaendelea kuwapeleleza walokole tujue kama wanajua kwamba tunawapeleleza,,,ila kila mlokole tunaekutana nae anaonyesha upendo wala hana habari na sisi.Ndipo Mzee matata akasema walokole wote duniani wanaongozwa na roho inaitwa""Upendo au roho ya upendo""'inayotoka kwa Mungu wao na yule mwana wa umiliki anayeitwa Emanueli.
NIKAMUULIZA MZEE MATATA KUHUSU MAPUNGUFU YA WALOKOLE NA AKASEMA BAADHI YAWALOKOLE WANAKOSA YULE ROHO WA UPENDO NA NDIO MAPUNGUFU YAO NA AKASEMA NGUVU YA WALOKOLE IPO KWENYE KUFUNGA NA MAOMBI NA UPENDO.
Nadhani Mungu wa walokole hawaonyeshi ukuu wake kwa walokole sababu anataka waishi kwa imani.Upelelezi wangu ukanipelekea nimuambie Mzee Matata anionyeshe njia ya kwenda kwa Mungu wa walokole,,,basi akaniangalia na akacheka na kusema Mungu wa walokole yupo mahali pote ulimwenguni na ndio maana walokole wanalindwa nae.Na akasema ukitaka kwenda kwake kumuona nifanye yafuatayo:
1:Nitafute kibali cha kumuona ambacho walokole wanaita UTAKATIFU
2: Niwe mlokole asilimia 100%
Basi ikawa kila siku nakutana walokole wamezungukwa na mioto au wale watu warefu wakiwa makazini,masokoni au mashuleni au majumbani.Na Mzee Matata alikua mkweli kua lazima utajikuta unavutiwa na Mungu wa walokole na jinsi anavyowajali watu wake kwa ulinzi wa hali ya juu.
Unaweza kujiuliza kwanini Mungu wa walokole anawapa ulinzi wa hali ya juu walokole???? Jibu ni kwamba katika ulimwengu wa kiroho hao walokole ndio wanaoongoza kwa kua na maadui wa kimwili na kiroho.
NITAENDELEA BAADAE NA KUELEZEA MAADUI WA WALOKOLE KIROHO NA KIMWILI NA KWANINI WAMEKUA NA UADUI NA WALOKOLE................
 
Tuko tunasililizia muendelezo

Mimi Kuna jamii ya watu nilikuwa nawasaidia wafanikiwe kimawazo ya kipesa ,
Kumbe wao lengo lao ni baya ,kumbe Nia nikuniona nafeli nashindwa siendelei,

Nakaa nao kumbe wao wanawivu mpaka wanakuwa na chuki nzito mioyoni mwao, Sasa Mimi nafanya wema kumbe wao wanawaza watanizidi vipi ,


Sasa Kuna siku Mungu akaanza kinuonyesha nilikuwa NACHEKA nao ni watu Gani, nilikuwa kugundua kumbe ni jamii ya uzao wa nyoka ,
 
KIZAZI CHA NYOKA NI MMOJA WAPO WA MAADUI WA WALOKOLE NDIO KINA UADUI NA WALOKOLE NA MUNGU WAO NI ROHO INAYOJIPA NAFASI YA MUNGU MKUU IKIWA NA ALAMA YA NYOTA NA MWEZI NA KIZAZI CHA NYOKA WANAABUDU MALIKIA WA ANGA NA NYOTA NA MWEZI..NA HIYO ROHO INAYOJIITA MUNGU WAO INA UADUI NA MUNGU WA WAYAHUDI NA WALOKOLE..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…