Uyu hapa
JF-Expert Member
- Oct 14, 2021
- 394
- 476
Hivi wataoenda mbinguni kiunyakuo,
Ni wale walokole kundi la wanao Nena Kwa
Lugha ya kiroho,na wataachwa wale wanao Nena Kwa lugha ya kibinadam
Hi I ,kuwa na Moto kichwani ,ni Kwa jamii tu ya wanao Nena Kwa lugha au makungi yote mawili wanao Nena Kwa lughA na wasio Nena
Maana kumekuwa na shaka,
Kati ya Makundi mawili ya walokole ,wale wanaonena Kwa lugha na wasio Nena Kwa lugha ,na pia ,ongelea hayo Makundi mawili wenye karama na wasio na karama
Na kukosa karama hio ya kunena kiroho manake Nini wewe sio mtoto wa Mungu au sababu ni nini
Ni wale walokole kundi la wanao Nena Kwa
Lugha ya kiroho,na wataachwa wale wanao Nena Kwa lugha ya kibinadam
Hi I ,kuwa na Moto kichwani ,ni Kwa jamii tu ya wanao Nena Kwa lugha au makungi yote mawili wanao Nena Kwa lughA na wasio Nena
Maana kumekuwa na shaka,
Kati ya Makundi mawili ya walokole ,wale wanaonena Kwa lugha na wasio Nena Kwa lugha ,na pia ,ongelea hayo Makundi mawili wenye karama na wasio na karama
Na kukosa karama hio ya kunena kiroho manake Nini wewe sio mtoto wa Mungu au sababu ni nini