Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Hivi hapa duniani ,

Kuna watu sio binadam, na wako Katika nafasi kubwa na nyazifa kubwa, Ila ni viumbe vingine,

Na ,haswa wazungu ,

Nimeamuwa kusema hivi,


Maana Kuna mafumbo ya Rohoni ,ni meona kabisa Kwa wazungu kama wayafanyayo sio wai,


Mfano ,kujua na kukadilia kuludi Kwa Yesu ,Naina kabisa wanaekekea mulemule ,ni kama wanaujuwa ukweli Ila wako kinyume,
 
Hivi hapa duniani ,

Kuna watu sio binadam, na wako Katika nafasi kubwa na nyazifa kubwa, Ila ni viumbe vingine,

Na ,haswa wazungu ,

Nimeamuwa kusema hivi,


Maana Kuna mafumbo ya Rohoni ,ni meona kabisa Kwa wazungu kama wayafanyayo sio wai,


Mfano ,kujua na kukadilia kuludi Kwa Yesu ,Naina kabisa wanaekekea mulemule ,ni kama wanaujuwa ukweli Ila wako kinyume,
Hao watu wasio binadamu hawajiweki katika race ya kizungu tu.Wanaweza kua race yoyote ile.Siri za Mungu wa walokole na siri za yule mwana wa mmiliki hakuna anaezijua hata kurudi kwake ni fumbo.Kuhusu watu wasio binadamu ni wale watu warefu wasioakisi mwanga ambao wana vita na mwana wa umliki wapo wengi tu duniani katika race tofauti tofauti.Na pia wale watu warefu wanaowalinda walokole wapo wengi tu katika maumbo ya kibinadamu wakitimiza majukumu yao ya kuwalinda walokole ambao katika ulimwengu wa roho wanaitwa wana wa Mungu mkuu mwenye nembo ya kungaa kuliko jua angani inayosomeka kwa lugha za kibinadamu kama ALFA NA OMEGA.
 
Haujamuona Yesu wa walokole hapo hapo?
Hapo hakuna Yesu wa walokole na wala hayupo hivyo.Hiyo michoro ni simulizi za kilatini na kirumi kumuhusu Yesu na ile picha nyingine ni simulizi za kiyahudi kumuhusu Musa ambae ni kiongozi wa waebrania wa kale ( Political and Spiritual) katika jangwa la sinai.
 
YESU ni MUNGU
Yeah Yesu ni Mungu sababu kwenye ulimwengu wa kiroho anaonekana ni Mungu ndani ya nafsi ya Mungu Mkuu ndani ya nafsi ya Roho kuu.Amezungukwa na roho ya Mungu Mkuu anayemiliki ulimwengu wa kiroho kutokea kwenye vilindi visivyoonekana na ni roho inayowaka mwanga kuliko jua na yeye mwenyewe yupo ndani ya roho ya Mungu mkuu ambae na yeye yupo ndani ya Yesu au Emanueli kiroho huwezi kuwatenganisha ni kitu kimoja na ni kama wamegandana hivi (Mungu mkuu na Mwana wa mmliki na roho ya Mungu mkuu).Anaitwa mwana wa mmliki na huwezi kulitaja jina lake ukiwa katika hali ya kichawi au kinajimu au kishirikina sababu ni bomu zaidi ya atomiki.
 
Mkuu niliandamwa kiroho mpaka nikakimbia hii platform kwa mda ila nimerudi,,,lakini kabla ya kurudi nilimsujudia kwanza Mungu wa walokole na maisha yangu nikayaweka kwake..Sababu katika ulimwengu wa kumwili na kiroho hakuna kama yeye hata watu wakubali au wakatae na katika utambulisho wake ana maneno yanaitwa ALFA NA OMEGA yameenea kote angani toka kilindi cha mwanzo wa ulimwengu mpaka kule kwenye maskani yake ya mwanga mkali kuliko jua na yule mwanae anayeitwa NYOTA YA ALFAJIRI ndie mlinzi wa walokole hapa duniani....Nimeamua kumsujudia ili na mimi anilinde mkuu.
Hongera sana
 
Yeah Yesu ni Mungu sababu kwenye ulimwengu wa kiroho anaonekana ni Mungu ndani ya nafsi ya Mungu Mkuu ndani ya nafsi ya Roho kuu.Amezungukwa na roho ya Mungu Mkuu anayemiliki ulimwengu wa kiroho kutokea kwenye vilindi visivyoonekana na ni roho inayowaka mwanga kuliko jua na yeye mwenyewe yupo ndani ya roho ya Mungu mkuu ambae na yeye yupo ndani ya Yesu au Emanueli kiroho huwezi kuwatenganisha ni kitu kimoja na ni kama wamegandana hivi (Mungu mkuu na Mwana wa mmliki na roho ya Mungu mkuu).Anaitwa mwana wa mmliki na huwezi kulitaja jina lake ukiwa katika hali ya kichawi au kinajimu au kishirikina sababu ni bomu zaidi ya atomiki.
Uko sahihi sana na ndicho walokole wengi wanakosea.

Yesu sio Mungu Mkuu ila ana Uungu ndani yake na Biblia imeeleza hivi vizuri sana .

Yuko Mungu mmoja tu na Yesu ni Mwana wake.
 
Kama kuna mtu anajiita mlokole kakutapeli pole sana! Hakuna MLOKOLE ALIYE TAPELI! HAKUNA MLOKOLE MZINZI! HAKUNA MLOKOLE MWIZI! HAYUPO! MUNGU HACHANGAMANI NA WACHAFU MAANA YEYE NI MTAKATIFU!

YEYOTE ANAYETAPELI WATU SIYO MLOKOLE HATA KAMA ANAOMBA NA KULIA USIKU KUCHA NA KUTOA SADAKA! YESU ALISEMA SIYO WOTE WALIAO BWANA BWANA WATAUONA UFALME WA MUNGU!

Ukiona mtu anajiita mlokole na hana upendo HUYO SIYO MLOKOLE!

MLOKOLE SIYO DHEHEBU LILILOUNDWA NA WANADAMU! ULOKOLE NI WA MUNGU MWENYEWE!

ALIYEKUTAPELI APEWE JINA LAKE NI TAPELI. ULITAPELIWA NA TAPELI. POLE SANA.

MLOKOLE HUFUATA NYAYO ZA YESU KRISTO. HUYAFANYA MAPENZI YA MUNGU TU! Si kwamba hawana au hawatendi dhambi la, Roho Mtakatifu huwadaidia sana katika udhaifu wao! Ni wepesi kujirudi na kutubu wanapokosea!
Mh!
 
mkuu nelson jacob ,je kuna Mungu mwingine mwenye nguvu zaidi ya huyo wa walokole??
Wewe ndugu yangu jitake radhi,,,,HAKUNA maana kama angekuepo basi na yeye angekua na pumzi zile za moto,,angekua na miliki isiyofikika na angekua ule mwanga mkuu wenye gravity za kuvutia nafsi za viumbe wa kiroho,,na angekua na wale washirika watu warefu wenye mabawa na kushika mapanga kulinda binadamu na usoni ni wapole hivi ila ukiwagusa walokole basi wanabadilika na kua wakali zaidi ya simba hawana utani.Maana kuna watu warefu walioasi kwa Mungu wa walokole ,ambao wanawafundisha binadamu ushirikina na unajimu na tika uuchawi na wao wana Mungu uwao kwa mujibu wa madai yao ila ghawana nguvu zaidi ya Mungu wa walokole.Ukiwa katika hali ya uchawi au ushirikina au unajimu ndipo unajua hakuna Mungu mwenye nguvu zaidi ya Mungu wa walokole na kama unabisha basi fanya utafiti kama nilivyofanya mimi ujiridhishe.Katika ulimwengu wa kiroho Mungu wa walokole ndio roho yenye nguvu kuu za utiisho!!
 
Uko sahihi sana na ndicho walokole wengi wanakosea.

Yesu sio Mungu Mkuu ila ana Uungu ndani yake na Biblia imeeleza hivi vizuri sana .

Yuko Mungu mmoja tu na Yesu ni Mwana wake.
Hawakosei sababu Mwana wa mmliki na Mmiliki mwenyewe na roho ya Mmliki mkuu zimegandana.Wao ni kitu kimoja,,maana katika ulimwengu wa kiroho Yesu anatoka ndani ya roho ya Mungu wa walokole na ndani yake kuna roho mkuu wa Mungu wa walokole.Wote ni kitu kimoja saa 24...Ndio maana Yesu wa walokole ni moto utiishao na ana uwepo wa nguvu mno yeye na washirika zake wale watu warefu ambao huwalinda binadamu
 
Hawakosei sababu Mwana wa mmliki na Mmiliki mwenyewe na roho ya Mmliki mkuu zimegandana.Wao ni kitu kimoja,,maana katika ulimwengu wa kiroho Yesu anatoka ndani ya roho ya Mungu wa walokole na ndani yake kuna roho mkuu wa Mungu wa walokole.Wote ni kitu kimoja saa 24...Ndio maana Yesu wa walokole ni moto utiishao na ana uwepo wa nguvu mno yeye na washirika zake wale watu warefu ambao huwalinda binadamu
Mkuu sasa nani wa kuabudiwa?
Mmiliki au Mwana wa Mmiliki?
Maana kwenye Biblia, Mwana wa Mmiliki alimuabudu Mmiliki mpaka kufa na Mmiliki akamfufua siku ya Tatu na kumpa Mamlaka makubwa sana.
 
Mkuu sasa nani wa kuabudiwa?
Mmiliki au Mwana wa Mmiliki?
Maana kwenye Biblia, Mwana wa Mmiliki alimuabudu Mmiliki mpaka kufa na Mmiliki akamfufua siku ya Tatu na kumpa Mamlaka makubwa sana.
Kiroho niliona wote mpaka EMANUELI wanamuabudu Mungu wa walokole kwa kusujudu kwa upendo mkuu.Mwana wa mmiliki au kwa jina jingine EMMANUEL hajawahi kutaka kuabudiwa ila hiyo nafsi ya kuabudiwa ni ya Mungu mkuu peke yake.Na viumbe vyoote vya kiroho vinamsujudia kwa hiyari sababu vinampenda na anavipenda na kuvijali..
 
Mkuu sasa nani wa kuabudiwa?
Mmiliki au Mwana wa Mmiliki?
Maana kwenye Biblia, Mwana wa Mmiliki alimuabudu Mmiliki mpaka kufa na Mmiliki akamfufua siku ya Tatu na kumpa Mamlaka makubwa sana.
Ila sisi binadamu ni lazima tumsujudie mwana wa mmiliki sababu ni sehemu ya Mungu mkuu wa walokole na anatawala kwa niaba ya Mungu mkuu.Na ndio maana kiroho anaonekana ni Mungu kamili kabisa 100%
 
Hii definition yake ipo deep sana kwa macho ya kawaida huwezi kuielewa labda mpaka uwe mchawi au mnajimu au mlokole wa ukweli!!!! Ulimwengu wa kiroho unaenda na namba
Nolijiuwa tu itakuja kwenye namba,

Naelewa ukweli, ndio maana nilikuvuta Ili uje KWENYE namba,

SABABU ,Hata Mimi nimefundishwa Siri na Mungu KWENYE mafumbo yake HASA namba,

Nimecheza Sana na namba,
Nimepitia

Math,
Numerology
Astrology
Satanism concepts baadhi
Freemasons ,michoro na picha zao,

Machapisho na mambo ya wa-greek wa kale Kuhusu Miungu Yao,

Ndio maana ,nilisema KWENYE hesabu zangu za Kirohoni nilizofunuliwa na Mungu,

Nashangaa kama yanaenda a,

Ndio maana nikashangaa Sana , hapa duniani ,huwenda Kuna watu sio binadamu,


Maana Siri Kwa Sasa ,ziko wazi Tena Kila mahari , Tena zingine zinaonyeshwa Kwa macho ya kibinadamu tuone,


Ila ni wenye hekima ndio wataona,

Kila Kona naona Siri ,ziko wazi,
Mpaka nashangaa na kustuka,

Na Siri ziko Kila mahari ,Kwenye majengo, nembo za kivyuo, nembo mbalimvali, vitu vya majumbani kama viti HASA vya wazungu wa kale , vile viti vya kuchonga vya mbao vya wazungu wa kale ,mpaka najiuliza huenda sio binadam.

Hivi, utajuaje, mtu kama wewe ni miongoni Mwa walio itwa au wateule
Maana ni makundi mawili tofauti
WALOKOLE walioitwa kuwa tu WALOKOLE ,Ila mbinguni hawaingii,


Na

Kuna kundi linaitwa, jamii hio hio ya WALOKOLE Ila Wao ni kundi la wateule ,yaani Hawa lazima waingie,

Je,kiroho ,na kinajimu utawajuaje, kuwa Hawa ndio wateule na wengine ni walioitwa tu,
 
Back
Top Bottom