Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Nolijiuwa tu itakuja kwenye namba,

Naelewa ukweli, ndio maana nilikuvuta Ili uje KWENYE namba,

SABABU ,Hata Mimi nimefundishwa Siri na Mungu KWENYE mafumbo yake HASA namba,

Nimecheza Sana na namba,
Nimepitia

Math,
Numerology
Astrology
Satanism concepts baadhi
Freemasons ,michoro na picha zao,

Machapisho na mambo ya wa-greek wa kale Kuhusu Miungu Yao,

Ndio maana ,nilisema KWENYE hesabu zangu za Kirohoni nilizofunuliwa na Mungu,

Nashangaa kama yanaenda a,

Ndio maana nikashangaa Sana , hapa duniani ,huwenda Kuna watu sio binadamu,


Maana Siri Kwa Sasa ,ziko wazi Tena Kila mahari , Tena zingine zinaonyeshwa Kwa macho ya kibinadamu tuone,


Ila ni wenye hekima ndio wataona,

Kila Kona naona Siri ,ziko wazi,
Mpaka nashangaa na kustuka,

Na Siri ziko Kila mahari ,Kwenye majengo, nembo za kivyuo, nembo mbalimvali, vitu vya majumbani kama viti HASA vya wazungu wa kale , vile viti vya kuchonga vya mbao vya wazungu wa kale ,mpaka najiuliza huenda sio binadam.

Hivi, utajuaje, mtu kama wewe ni miongoni Mwa walio itwa au wateule
Maana ni makundi mawili tofauti
WALOKOLE walioitwa kuwa tu WALOKOLE ,Ila mbinguni hawaingii,


Na

Kuna kundi linaitwa, jamii hio hio ya WALOKOLE Ila Wao ni kundi la wateule ,yaani Hawa lazima waingie,

Je,kiroho ,na kinajimu utawajuaje, kuwa Hawa ndio wateule na wengine ni walioitwa tu,
Tunazidi kupata elimu
 
NAENDELEA.............!!!
Kuna nyakati baadhi ya walokole wanajihisi kuchoka na kukata tamaa kwa masahibu mbalimbali katika maisha,,na kiroho inakua hv wanapoanza kuomba kwa kulia.....
Wale watu warefu wenye mabawa wanashuka na kukaa karibu yao na kuwatazama kwa upendo huku wakiwazunguka pande zote.Lakini wakiendelea kulia zaidi basi mbingu zinafunguka na Mwana wa mmiliki anashuka mwenyewe mpaka chini kuwatazama na wakizidi kulia na yeye analia na kuwaambia NIPO HAPA USILIE ISHI KWA IMANI NIPO HAPA DAIMA.
Na hata kama wapo sehemu tofauti tofauti duniani yeye anajigawa kwa sekunde hiyo hiyo anafika kote.Hakuna kitu kinachomshusha duniani kwa haraka mwana wa mmiliki kama maombi.
Walokole hawajui ila maombi ni silaha kuu sababu chochote utakachokisema kwenye maombi basi kwenye ulimwengu wa kiroho kinatokea hivyo hivyo.
WAKISEMA WANAFUNGA BASI NJIA ZOTE ZOTE ZA ANGA ZINAFUNGWA NA WAKISEMA MOTO KWELI MOTO HUTOKEA NA WAKIIMBA ILE NYIMBO YA ROHO YA MUNGU WAO ISHUKE BASI INASHUKA KWELI NA WINGU ZIIITO LA MWANGA MKALI KULIKO JUA LINAWAFUNIKA MPAKA WAMALIZE MAOMBI.
Mungu wa walokole huwezi kumtizama kwa macho ya kawaida ila anafanana na binadamu kimuonekano ni kama mzee hivi aliyekula chumvi za miaka usoni ila sio kwa ukubwa wa kimwili,,sababu yeye ni mkubwa mno kuliko dunia LAKINI ANASEMA ALIMUUMBA MTU KWA MFANO WAKE KIMUONEKANO ILA SIO KWA SIZE.Mwana wa mmliki na yeye anafanana na binadamu kimuonekano ila na yeye ni mkubwa mno kimuonekano.Na wale watu warefu wenye mabawa wanafanana na binadamu ila ni wakubwa mno kimuonekano..
Basi walokole wakiendelea kulia na kusali anga lote linafunguka na inakua ni uwanja wa mawasiliano kati yao na mwana wa mmliki,ambae anashuka na kukaa nao huku akiwatizama ila wao hawamuoni.
CHA AJABU WATOTO WOTE WA KIBINADAMU WANAMUONA NA WANAONGEA NAE NA KUCHEKA NA ANAWABEBA KIFUANI WAKATI WAKIWA NA WAZAZI WAO AU WALEZI WAO NA HAIJALISHI NI WATOTO WA WALOKOLE AU LA....YEYE MWANA WA MMLIKI NA WALE WATU WAREFU WENYE KUAKISI MWANGA RAFIKI ZAO WAKUBWA NI WATOTO WA KIBINADAMU KUANZIA UMRI WA SIKU MOJA MPAKA MIAKA KUMI NA NNE MPAKA KUMI NA SITA.
NB: KUNA WATOTO WASIO WA KIBINADAMU PIA IKUMBUKWE
Basi walokole wanapomaliza kuomba wanakua hawaoni wala kujua kua wamezungukwa na viumbe vya kiroho vinavyowatizama ila waga wanajihisi amani sana na utulivu wa moyo.Haijalishi kanisa gani wanatokea ila walokole wote wana alama sawa,,iwe wasabato au wakatoliki au waangilikana au walutheri au wapentekoste,,kwa mwana wa mmliki wote ni kitu kimoja na anawalinda sawa sawa.
Wachawi ni wabishi sana ndio wanaoongoza kwa kuwasumbua walokole wakiamini kua walokole ni wachawi kama wao ila wamewazidi maarifa ya kiuchawi.Na ndio wanaoongoza kwa kuwadhuru walokole kimwili.
KUNA ALAMA SABA ZA WALOKOLE KIROHO ZINAONEKANA WAZIWAZI
1: TUNDA LA UPENDO ( NJIWA WA MOTO)
2: WALINZI WATU WAREFU WENYE MABAWA NA PANGA ZA MOTO
3:NDIMI ZA MOTO JUU YA VICHWA VYAO
4: NGUZO ZA MOTTO ZINAZOZUNGUKA
5: WINGU LA MANUKATO NA MOSHI MWEUPE
6:MAGARI YA DERAYA NA FARASI WA MOTO
7:UTIIFU WA MOYO ULIO WAZI KIMUONEKANO KIROHO KWA MUNGU WA WALOKOLE.
Nitaendelea....................!!!!
 
Nolijiuwa tu itakuja kwenye namba,

Naelewa ukweli, ndio maana nilikuvuta Ili uje KWENYE namba,

SABABU ,Hata Mimi nimefundishwa Siri na Mungu KWENYE mafumbo yake HASA namba,

Nimecheza Sana na namba,
Nimepitia

Math,
Numerology
Astrology
Satanism concepts baadhi
Freemasons ,michoro na picha zao,

Machapisho na mambo ya wa-greek wa kale Kuhusu Miungu Yao,

Ndio maana ,nilisema KWENYE hesabu zangu za Kirohoni nilizofunuliwa na Mungu,

Nashangaa kama yanaenda a,

Ndio maana nikashangaa Sana , hapa duniani ,huwenda Kuna watu sio binadamu,


Maana Siri Kwa Sasa ,ziko wazi Tena Kila mahari , Tena zingine zinaonyeshwa Kwa macho ya kibinadamu tuone,


Ila ni wenye hekima ndio wataona,

Kila Kona naona Siri ,ziko wazi,
Mpaka nashangaa na kustuka,

Na Siri ziko Kila mahari ,Kwenye majengo, nembo za kivyuo, nembo mbalimvali, vitu vya majumbani kama viti HASA vya wazungu wa kale , vile viti vya kuchonga vya mbao vya wazungu wa kale ,mpaka najiuliza huenda sio binadam.

Hivi, utajuaje, mtu kama wewe ni miongoni Mwa walio itwa au wateule
Maana ni makundi mawili tofauti
WALOKOLE walioitwa kuwa tu WALOKOLE ,Ila mbinguni hawaingii,


Na

Kuna kundi linaitwa, jamii hio hio ya WALOKOLE Ila Wao ni kundi la wateule ,yaani Hawa lazima waingie,

Je,kiroho ,na kinajimu utawajuaje, kuwa Hawa ndio wateule na wengine ni walioitwa tu,
Kiroho Unajimu ni uchawi uliorembwa rembwa!!!! Walokole wanaishi kwa imani sio unajimu
 
Kuanzia mwaka 1997 mpaka mwaka 2019 nilikua kwenye research binafsi ya mambo yasiyoonekana kwa macho ya kawaida. Nimefanya mahojiano na watu wa fani hii,kuanzia watu wa kawaida mpaka viongozi wa fani hii katika nyanja mbalimbali.

Mambo yasiyoonekana kwa macho,watu wanaita""UCHAWI""na ni fani yenye kuchanganya kidogo sababu inajumuisha imani za dini za wanadamu na imani za dini zisizo za wanadamu. Pia inajumuisha watu ambao wanaitwa bin-adamu na inajumuisha watu wale wengine ambao hawana undugu na hawa watu wanaoitwa bin-adam.Nielezee kidogo hao watu wengine,nimewaita watu sababu wana maumbo kama binadamu ila vimo vyao vipo tofauti na wapo katika jamii mbili tofauti.

Kuna ile jamii ya wanaokaa angani ambapo bila ruhusa yao huwezi kuwafikia,na kuna ile jamii ambayo hata bila ruhusa yao unaweza kuwafikia na wanakaa chini ya bahari au mito au maziwa makubwa(Lakes).Ngoja nifafanue kidogo jamii za hawa watu.

Jamii ya watu wa angani inashuka sana duniani na sijui waga wanakuja kufanya nini ila mara nyingi wanajishugulisha na wale binadamu mnaowaita walokole,na ili uzungumze nao inategemea umekutana nao katika hali gani kwenye ulimwengu usio wazi kwa macho ya kawaida,kiasili sio waongeaji sana ila sura zao zinaakisi mwanga kwa namna ya tofauti na unaweza kujiuliza wanavaa mavazi gani, kwa mavazi wanavaa hizi nguo mnaita kanzu ila ni bwanga afu ndefu mpaka miguuni na ni nyeupe.

Jamii ile nyingine ya watu wasio na asili na binadamu ila wamefanana na binadamu kimuonekano lakini wana vimo vikubwa ni ile inayokaa chini ya bahari,maziwa(Lakes) na mito.Hii jamii wao ni wazungumzaji sana afu miili yao haiakisi mwanga na wanakuja sana duniani na unaweza kuwaona bila ridhaa yao kwa kufuata utaratibu wanaokupa wafuasi wao au wanajimu wa nyota mbao ni binadamu wa kawaida,na mavazi yao ni kanzu pia ila za rangi mbalimbali zaidi ya nyeupe.Na watu wanaojishugulisha nao sana ni wale watu ambao nyinyi binadamu mnawaita wanajimu na washirikina au wachawi ila inategemea ushirikina na uchawi wa wapi maana dunia ni kubwa kutoka bara moja mpaka lingine na ushirikina au uchawi unatofautiana.

Binadamu kuna vitu huwezi kuviona mpaka either uwe mshirika wa jamii mojawapo kati ya jamii hizo mbili nilizokutajia hapo juu.Lengo langu leo ni kuzungumzia mkuu wa jamii ile ya wale watu wa angani ambao wanapenda kushirikiana na walokole au watu wa kulia lia,maana huyo mkuu ana vitu vya tofauti kidogo ndio maana nikasema pale juu kua "Mungu wa walokole ana nguvu sana".

Katika utafiti wangu ndani ya ulimwengu usio,onekana inaonyesha kua walokole wanapendelewa sana na huyo mkuu wao,maana kuna vitu anawapa vya ziada wao hawavitumii sijui kwanini niligundua hilo huko mbele katika utafiti wangu.Nimemuita Mkuu au Mungu wa walokole sababu kila walokole wanapoanza kulialia""Kusali""wale watu wa jamii ya kuakisi mwanga wengine wana mabawa na wengine hawana wakitokea kwa mkuu wa walokole ama nilivyokuja kujua baadae huko huko angani wanawajia na wanawazunguka hawaondoki na lile eneo husika linakua na mwanga unaweza kupofusha macho (Ni kama mwanga wa jua au radi au shoti za umeme zile cheche) ila walokole waga hawawaoni nadhani waga wanalia(Kusali) kwa imani zaidi namaanisha meditation.

Nilisema hapo juu kua mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao ana nguvu sana maana wale walokole baada ya kulia kwa mkuu wao huwezi kuwasogelea katika hali ya nje ya ubinadamu au katika hali ya ushirika na jamii nyingine za kiroho zaidi ya mkuu wao na wale watu wa kuakisi mwanga.Kila mlokole anakua na yule mtu wa kuakisi mwanga na yule mtu haongei ila macho yake ni ishara tosha kua usimsogelee mlokole aliyenae.Cha ajabu wengi ya walokole hao katika hali ya ubinadamu wa kawaida hawana habari yoyote ile unawakuta sokoni au kwenye daladala au barabarani au ofisini au kwenye nyumba zao za ibada.

Sasa ikabidi nifanye uchunguzi juu ya huyo mkuu (Mungu) wa walokole,yupoje na ni nani, wale watu wa jamii ya kuakisi mwanga wanaishi nae vipi maana wana ushirika nae.Sababu ukitoka nje ya mwili kupitia(meditation) huwezi kuwasogelea hawa watu wa jamii ya kuakisi mwanga au hao walokole.Nikajikuta napata hamu ya kuchunguza mambo ya ulimwengu usionekana na hasa jamii za wale watu warefu wa angani na walokole hasa wale wa kulialia sisi binadamu tunaita kusali ila wao walokole wanaita kunena kwa lugha,na ni lugha ambayo inawafanya wawasiliane na wale watu warefu wa kuakisi mwanga.

Udadisi wangu ulijikita katika mambo makuu matano(5)
Mosi: Kwanini walokole wana uhusiano na wale watu wa kuakisi mwanga wanaotokea kule juu kusikofikika hata ukitoka nje ya mwili na kusafiri nje ya mzunguko wa sayari za kawaida kwa maelekezo ya wanajimu wa nyota?

Pili: Kwanini mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao ana uhusiano wa moja kwa moja na wale watu wa kuakisi mwanga na sio ile jamii ya chini ya bahari?

Tatu: Kwanini katika jamii za nje ya mwanadamu au mtu, hasa ile jamii ya watu wa kuakisi mwanga ina nguvu sana kuliko jamii za wale watu wanaokaa chini ya bahari na wasioakisi mwanga wa jua na mwezi?

Nne: Mkuu wa walokole kwanini yeye na wale watu wa kuakisi mwanga,hawana ukaribu na Mkuu wa wale watu wa jamii inayokaa baharini na chini ya maziwa na mito(Maana nayo ina mkuu wake) na hataki wafuasi wake wa dini yake wawe na ukaribu na walokole kwa namna yoyote ile?

Tano: Kwanini mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao pamoja na nguvu zoote ila hawapi utajiri wa kibinadamu hao walokole ila ukitoka nje ya mwili hawa walokole wana nguvu sana mpaka uñashindwa kuwaelezea labda uone kwa macho.Tofauti na mkuu wa ile jamii nyingine ambayo karibia robo ya wafuasi wake wana access ya kupata mali za dunia hii tunayoishi binadamu wote.

Basi nikajikuta naanza utafiti kufuatilia nguvu za mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao.Ni nani na yupoje na anaishi wapi..Utafiti wangu ukanipelekea kuja na kichwa cha habari hapo juu kua Mungu wa walokole ana nguvu sana maana nilishuhudia mengi kumuhusu huyu Mungu wa hawa watu wa kulialia mnawaitaga walokole.

Safari yangu ya utafiti ilinikutanisha na wazee wa kibantu,wanajimu,viongozi wa dini za wanadamu zinazoonekana na zisizoonekana na watu wa jamii zile za nje ya ulimwengu wa mwanadamu.

ITAENDELEA
Toka wameanza maigizo ya upako sijui kuuza maji na upuuzi kama huo wamestukiwa kwamba ni matapeli
 
Nolijiuwa tu itakuja kwenye namba,

Naelewa ukweli, ndio maana nilikuvuta Ili uje KWENYE namba,

SABABU ,Hata Mimi nimefundishwa Siri na Mungu KWENYE mafumbo yake HASA namba,

Nimecheza Sana na namba,
Nimepitia

Math,
Numerology
Astrology
Satanism concepts baadhi
Freemasons ,michoro na picha zao,

Machapisho na mambo ya wa-greek wa kale Kuhusu Miungu Yao,

Ndio maana ,nilisema KWENYE hesabu zangu za Kirohoni nilizofunuliwa na Mungu,

Nashangaa kama yanaenda a,

Ndio maana nikashangaa Sana , hapa duniani ,huwenda Kuna watu sio binadamu,


Maana Siri Kwa Sasa ,ziko wazi Tena Kila mahari , Tena zingine zinaonyeshwa Kwa macho ya kibinadamu tuone,


Ila ni wenye hekima ndio wataona,

Kila Kona naona Siri ,ziko wazi,
Mpaka nashangaa na kustuka,

Na Siri ziko Kila mahari ,Kwenye majengo, nembo za kivyuo, nembo mbalimvali, vitu vya majumbani kama viti HASA vya wazungu wa kale , vile viti vya kuchonga vya mbao vya wazungu wa kale ,mpaka najiuliza huenda sio binadam.

Hivi, utajuaje, mtu kama wewe ni miongoni Mwa walio itwa au wateule
Maana ni makundi mawili tofauti
WALOKOLE walioitwa kuwa tu WALOKOLE ,Ila mbinguni hawaingii,


Na

Kuna kundi linaitwa, jamii hio hio ya WALOKOLE Ila Wao ni kundi la wateule ,yaani Hawa lazima waingie,

Je,kiroho ,na kinajimu utawajuaje, kuwa Hawa ndio wateule na wengine ni walioitwa tu,
Wateule kiroho wanangaa na wanaongozana na wale watu warefu wenye mabawa na panga za moto.Ambao ni washirika wa Mungu wa walokole.
 
USIHUKUMU HIYO SIO KAZI YAKO KIROHO

Hivi majirani mitaani kugombana kulumbana,
Kunatokana na Nini kirohoni,

Na je , jirani mtaani wa kilokole akichokoswa mtaani kimwili kule rohoni wale malaika wanafanya nini

Na je ugomvi wa kimwili unasababishwa na kirohoni ??

Na je ikoje huko Rohoni mpaka kinatokea mwilini

Je,BARAKA ZA ROHONI ZINAKUJAJE MWILINI KWA NJIA IPI ,

MFANO MLOKOLE KAKUOMBEA UPATE PESA NA KAZI ,KIMWILINI INAKUJAJE ,YAANI ILE BARAKA YA ROHONI INAKUWAJE MPAKA INATOKEA MWILINI.
 
Hivi Kuna malaika ambao wanavaa miili na kuishi nao Katika jamii kama binadam wa kawaida,

Yaani anavaa mwili la umbile na size ya kibinadam na anakuwa yupo na watu mtaani, wako malaika hao,

Au hii ni Agano la kale tu ,agano jipya ,hawaluhuaiwi
 
Hivi hivi vita vinavyopiganwa kimwili,
Kirohoni nchi na nchi zikilushiana kombola kirohoni Hilo kombola la kimwili linaonekanaje,

Na je Israeli kirohoni inonekanaje,

Na kimwili tuna mabara Saba ,kirohoni ardhi Zina mabara mangapi,

Kimwili watu wakiwa Katika ndoa, wanamme na mwanamke kitandani kumtafuta mtoto ,je Roho ya mtoto inaletwa na maraika au vipi na Inaonekana Roho ya mtoto ikipelekwa tumboni,
 
NA MTU AKIOMBA KATIKA ROHO KWA LUGHA ,APATE MKE AU APEWE MKE WA KUMUOWA , KULE ROHONI INAUMBIKAJE YAANI,

MFANO AKAOMBA MPAKA HUYO MWANAMKE AWEJE,
INAUMBIKA, SASA KINAUMBIKA kinakuwa kinaonekanaje Hilo ombi,

Na watu wanaofunga ndoa madhabahuni ,wakiombewa ombi la kufunga ndoa,kinatokea nini
 
Hivi Kuna magari ambayo kimwili ni ya kifahari hasa,
Ila kiroho ni joka linalo jongea,

Zingine zinaonekana kama ndege kumbe popo na mabundi kiroho,

Na wanaviuza bei kubwa mno
Hio imekaaje,
 
Hivi Kuna magari ambayo kimwili ni ya kifahari hasa,
Ila kiroho ni joka linalo jongea,

Zingine zinaonekana kama ndege kumbe popo na mabundi kiroho,

Na wanaviuza bei kubwa mno
Hio imekaaje,
 
Back
Top Bottom