Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Na mambo gani hufanya maombi ya majibu yachelewe mfano unakuta mtu anaomba apate kazi au mtoto au mwenzi wa maisha anakuja kupata Kwa kuchelewaSekunde hiyo hiyo...Tatizo walokole hawana uwezo wa kuona majibu yao kwa sababu wapo mwilini..Kabla hujayaona kimwili,,tayari umeshajibiwa..NDIO MAANA NGUZO KUU YA WALOKOLE NI IMANI NA KUAMINI
Vipi swala la wanawake kuvaa surualiNiwe mkweli tu na watu wajue...MAWIGI NA NGUO ZISIZO NA STAHA NA RANGI ZA KUCHA NA MAPAMBO MENGI TU HAYAMPENDEZI MUNGU WA WALOKOLE SABABU YANAONDOA UHASILIA WA MWANADAMU ALIVYOMUUMBA....ILA UJUE KUTOFAURISHA KATI YA USAFI WA MWILI NA MAPAMBO YA MWILI MAANA JUNA MAPAMBO ASILIA NA MAPAMBO BANDIA...SASA MUNGU WA WALOKOLE NI MUNGU ASILIA NA ANAPENDA MAPAMBO ASILIA ILA KUNA MUNGU BANDIA PIA NA ANAPENDA MAPAMBO BANDIA NA NI ADUI WA WALOKOLE
Mungu mkuu hapendezwi na visasi na chuki na gubu na uchoyo na kiburi na ulafi na uzinzi na ulevi na uongo na wizi na usengenyaji na mavazi yasiyo na staha na marembo yasiyo na staha na uhuni na uuaji na kujichubua na kudhulumu na mizaha na ubinafsi na hata kumwangalia mwenzio vibaya na kwa kiburi ni chukizo kwake.NA HAPENDEZWI NA WATU WANAOISHI BILA IMANI WAO KILA KITU WANATAKA WAONE KWA MACHOMkuu Kwa hili, nimeamini umetumwa na Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo, Mungu wa Walokole.
Nimepata taarifa kuwa hapendezwi na hivi vitu.
Swali zuri.Na mambo gani hufanya maombi ya majibu yachelewe mfano unakuta mtu anaomba apate kazi au mtoto au mwenzi wa maisha anakuja kupata Kwa kuchelewa
Labda kama hujawahi kusikia ila wapo ambao husema ivoNani kasema mlokole ni maskini kwanza?
Mbona mababa zetu wa Imani hawakufa maskini ? Reinhard Bonnke mfano.
Walokole wanatumia torati ya Musa na ni kitabu kilichotoka kwa Mungu wa walokole na wayahudi.NI CHUKIZO KWA WANAMKE KUVAA MAVAZI YA MWANAUMEVipi swala la wanawake kuvaa suruali
Umaskini kwani Iko kiroho?Labda kama hujawahi kusikia ila wapo ambao husema ivo
Sio kiroho ila mwiliniUmaskini kwani Iko kiroho?
Kimwili walokole ni masikini kwa walio wengi sababu kiroho wana maisha mengine kabisa...Msingi wa walokole sio mali bali kumpendeza Mungu wao 100% na baraka sio lazima ziwatokee kimwili tu...Lakini kiroho wanaonekana ni watoto wa miungu na wana utukufuLabda kama hujawahi kusikia ila wapo ambao husema ivo
KUNA JINSI YA KUMUOMBA MUNGU WA WALOKOLE NA KUNA JINSI YA KUPELEKA MAHITAJI YAKO KWAKE...NA PIA USISAHAU KUNA MAADUI WA WALOKOLE ANGANI NA ARIDHINI WANAZUIA MAOMBINa mambo gani hufanya maombi ya majibu yachelewe mfano unakuta mtu anaomba apate kazi au mtoto au mwenzi wa maisha anakuja kupata Kwa kuchelewa
Aisee tunafanyaje sasa maombi yaweze kufika na kujibiwa haraka?KUNA JINSI YA KUMUOMBA MUNGU WA WALOKOLE NA KUNA JINSI YA KUPELEKA MAHITAJI YAKO KWAKE...NA PIA USISAHAU KUNA MAADUI WA WALOKOLE ANGANI NA ARIDHINI WANAZUIA MAOMBI
I mSio kiroho ila mwilini
Mkuu tunaomba ufafanue hapa wengi watapona..maana Kuna wakati mtu anakua anahisi kama Mungu hamsikii mpaka wengine hudiriki kusema hakuna Mungu na wengine wanaamua kwenda upande wa Miungu wagangaKUNA JINSI YA KUMUOMBA MUNGU WA WALOKOLE NA KUNA JINSI YA KUPELEKA MAHITAJI YAKO KWAKE...NA PIA USISAHAU KUNA MAADUI WA WALOKOLE ANGANI NA ARIDHINI WANAZUIA MAOMBI
Kabisa.I m
Mkuu tunaomba ufafanue hapa wengi watapona..maana Kuna wakati mtu anakua anahisi kama Mungu hamsikii mpaka wengine hudiriki kusema hakuna Mungu na wengine wanaamua kwenda upande wa Miungu waganga
Mojawapo ni kuandaa moyo wako moyo wako uwe mweupe Yani usiwe na kinyongo,uchunguz,hasira ,wivu ,Yan Yale mambo mabaya yote ambayo hutokea moyoni yasitokee........nna ushuhuda hapa mfano ikatokea siku nna hasira,uchungu,maumivu moyoni nikiingia kusaliii Hua Sioni mpenyo kabisa Yan kunakua Na ukame sana nawakati mwingine unashindwa kabisa kusali.... ndomana bible inasema heri Wenye Moyo Safi maana Hao watamwona Bwana including kusikilizwa maombi yako Na kujibiwaAisee tunafanyaje sasa maombi yaweze kufika na kujibiwa haraka?
Na kwanini wazuie maombi?
ZIPO NYINGI SANA MAANA ZOOTE NI MLIKI YA MUNGU MKUU WA WALOKOLE...EBU FIKIRIA MAKAZI YAKE NI MAKUBWA KULIKO HIZO ULIMWENGU NA AMEZIFUMBATA HIZO ULIMWENGU KIGANJANI..MUNGU MKUU ANATISHA KWA UKUU WAKE ILA PIA ANAVUTIA KWA UKUU WAKE NA AKUKUTAZAMA UNAOGOPA NA WAKATI HUO HUO UNAHISI FURAHA NA AMANI NA MACHOZI PIA SABABU NI BABA.ANA MACHO YA UPENDO SANA NA NI MPOLE SANA ILA PIA NI MKALI SANA..UKIMUONA MWANAE NI KAMA UMEMUONA YEYE MAANA WAPO PAMOJA WAMEUNGANA ROHO TATU KWA PAMOJA MDA WOTE...LAKINI KUNA MDA KILA MMOJA ANAKUA PEKE YAKE..HUWEZI KUMTIZAMA MUNGU WA WALOKOLE AKIWA AMEKAA PEKE YAKE MAANA NI MOTO ULAO...LAKINI MWANAE UNAWEZA KUMTIZAMA MAANA NI GRAVITY YA UPENDO NA ANAPUNGUZA UUNGU WAKE ANAPOSOGELEA WANADAMU...HATA HAPO ULIPO YUPO......Hivi Kuna Universe ngapi,
Je, Kuna Universe ambazo hazifahamiki mpaka leo
Upo sahiiMojawapo ni kuandaa moyo wako moyo wako uwe mweupe Yani usiwe na kinyongo,uchunguz,hasira ,wivu ,Yan Yale mambo mabaya yote ambayo hutokea moyoni yasitokee........nna ushuhuda hapa mfano ikatokea siku nna hasira,uchungu,maumivu moyoni nikiingia kusaliii Hua Sioni mpenyo kabisa Yan kunakua Na ukame sana nawakati mwingine unashindwa kabisa kusali.... ndomana bible inasema heri Wenye Moyo Safi maana Hao watamwona Bwana including kusikilizwa maombi yako Na kujibiwa
UTAKATIFU WA KIROHO...WATAFUTE WALOKOLE WATAKUELEKEZA VIZURI...MIMI NINAWEZA KUA SIO MZURI SANA WA KUFAFANUA ILA UTAKATIFU WA KILOKOLE USIO NA MAWAHA NDIO UNATAKIWAI m
Mkuu tunaomba ufafanue hapa wengi watapona..maana Kuna wakati mtu anakua anahisi kama Mungu hamsikii mpaka wengine hudiriki kusema hakuna Mungu na wengine wanaamua kwenda upande wa Miungu waganga
Imani tu...amini umeshajibiwa afu anza kushukuruAisee tunafanyaje sasa maombi yaweze kufika na kujibiwa haraka?
Na kwanini wazuie maombi?
Mtoto wa miaka 8 ni rafiki wa Mungu mkuu wa walokole na washirika zake wenye mabawa na hulinda watoto sababu wanawapenda mno watoto wa kibinadamu.....Na hasa watoto wanaolijua neno YESU wale watu wenye mabawa huweka vituo vyao hapo kwa huyo mtoto.Nikili tu ya kuwa Huu uzi umenifanya nikue kiimani
Maana umenikumbusha mambo mengi sana sana tangu nikiwa mtoto mpaka kijana.
Kuna wakati nilipokuwa nimetekwa kupelekwa mererani kutolewa kafara,
Kuna mambo ya ajabu niliona yakishuka angani kwa macho yangu, kuna siku nikipata muda nitaweka, wakati huo nikiwa mtoto wa miaka 8.
Sio tu hili, nilipishana na makundi ya wanyama hatari kama Nyati, majoka makubwa ambayo yalikuwa yanauwezo wa kunimeza kwa dakika 0, simba, chui, lkn hawakuweza kunidhuru, nilikuwa najiona nipo kwenye kundi la watu wenye moto mkali ambao pumzi zao zinawasukuma na kuwapumbaza wale wanyama. Rohoni nilikuwa nina amani kubwa mnoo japo kuwa nipo katikati ya hatari.
Kupitia andiko hili sasa nimejua mengi
Asante mwandishi[emoji91][emoji91][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Na wale watu wenye mabawa ukiwa unalia unawagusa sana mioyo yao..Wanakubariki na kukuzunguka mpaka utakapomaliza kuombaYaani ,kiroho KULIA NDIO KUIMBA NYIMBO NZURI ROHONI,
SASA KWA KUWA UNAIMBA KWA BUBUJIKO ,BASI HAPO UKO KIROHO UNAKUWA UMEUGUSA MOYO WA MUNGU ,ENDAPO UTAABUDU HIZO NYIMBO KATIKA ROHO NA ILE KWELI YAKE.