Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #841
Nilipoanza tu kupata ufahamu wa kuujua ulimwengu wa kiroho nikiwa mdogo na udadisi wa kutafiti hii sayansi isiyoonekanaHadithi njoo utamu kolea ... Utafiti wa miaka 22 ulianza ukiwa na miaka mingapi ?
Mwana wa mmiliki yupo ndani ya mmiliki na ndani ya roho ya mmiliki na wote watatu ni kitu kimoja huwezi kuwatofautisha ila wao wanajitofautisha...Sababu mmiliki mkuu hatoki nje ya kiti chake na anaziona ulimwengu zoote..Lakini mwanae ndie mtendaji mkuu na roho yake ya pumzi za uhai ni msaidizi wa mwanae.Wanawatumikia walokole wakisaidiziana na wale washirika wao wenye mabawa...H
Hivi yule ni mkuu wa walokole au????? Anaitwa mwana wa mmiliki na mmiliki mwenyewe ndio mungu wa walokole.Ambae haonekani ila moto tu unaoweza kuunguza sayari zote akiamua.
Nitakujibu mkuu kiroho.....Sio wote wanaojiita walokole ni walokole kweli,,,kiroho walokole wana alama zao ila kimwili huwezi kuziona.....Na kwa utaratibu wa walokole kiroho,,,wakifa tu basi wale watu warefu wenye mabawa wanawachukua kwa kasi ya umeme na kuwapeleka kwa Mungu wao na wanachukua pia watoto wadogo wanapokufa pia...Wale watu warefu ni wawajibikaji tu wa mkuu wa walokole ambae ANAITWA MWANA WA MMLIKI NA YEYE ANASEMA WALOKOLE NI WATU WAKE ANAFAIDIKA NAO SABABU WANAMTUMIKIA NA KUMWABUDU BABA YAKE..Ndio maana anawalinda na kuwapenda 24hrs miaka yooooteNi walokole gani hao mkuu, maana wanaonena kwa lugha kwa sasa ni wengi na walokole wamegawanyika sana?
Haya pale wanaponena kwa lugha, ni wote hujiwa na hao watu warefu au baadhi??
Kwanini ni maskini? Watu warefu wanafaidika nini kupitia hao walokole? Kwanini wanawafanya maskini?
Mwisho kwa imani yako mtu akifa anaenda wapi??
Sio simulizi hii bali haya ni maelezo yanayowahusu walokole na Mungu wao katika uhasilia wa kiroho.kipindi cha pili kinaanza saa ngapi mkuu?
Ubarikiwe sana kiongozi.....Mkuu tufafanulie Mungu Ni moto ulao Kwa maana ganiiZIPO NYINGI SANA MAANA ZOOTE NI MLIKI YA MUNGU MKUU WA WALOKOLE...EBU FIKIRIA MAKAZI YAKE NI MAKUBWA KULIKO HIZO ULIMWENGU NA AMEZIFUMBATA HIZO ULIMWENGU KIGANJANI..MUNGU MKUU ANATISHA KWA UKUU WAKE ILA PIA ANAVUTIA KWA UKUU WAKE NA AKUKUTAZAMA UNAOGOPA NA WAKATI HUO HUO UNAHISI FURAHA NA AMANI NA MACHOZI PIA SABABU NI BABA.ANA MACHO YA UPENDO SANA NA NI MPOLE SANA ILA PIA NI MKALI SANA..UKIMUONA MWANAE NI KAMA UMEMUONA YEYE MAANA WAPO PAMOJA WAMEUNGANA ROHO TATU KWA PAMOJA MDA WOTE...LAKINI KUNA MDA KILA MMOJA ANAKUA PEKE YAKE..HUWEZI KUMTIZAMA MUNGU WA WALOKOLE AKIWA AMEKAA PEKE YAKE MAANA NI MOTO ULAO...LAKINI MWANAE UNAWEZA KUMTIZAMA MAANA NI GRAVITY YA UPENDO NA ANAPUNGUZA UUNGU WAKE ANAPOSOGELEA WANADAMU...HATA HAPO ULIPO YUPO......
UKITAKA KUJUA FUNGA MACHO AFU MUITE KWA JINA LA YESU AU EMANUELI KWA MAOMBI YA IMANI NA USILALAMIKE BALI WEWE MSIFU TU KWA UKUU WAKE......UTAHISI UNA AMANI YA MOYO NA UTULIVU BASI UJUE YUPO PEMBENI YAKO NA UKIENDELEA KUSALI ANAWEZA KUKUSHIKA BEGA AU UKAHISI KAKUSHIKA BEGA
JARIBU KUMUITA ATAKUJA
Ongeza maarifa kupitia kusomaKuanzia mwaka 1997 mpaka mwaka 2019 nilikua kwenye research binafsi ya mambo yasiyoonekana kwa macho ya kawaida. Nimefanya mahojiano na watu wa fani hii,kuanzia watu wa kawaida mpaka viongozi wa fani hii katika nyanja mbalimbali.
Mambo yasiyoonekana kwa macho,watu wanaita""UCHAWI""na ni fani yenye kuchanganya kidogo sababu inajumuisha imani za dini za wanadamu na imani za dini zisizo za wanadamu. Pia inajumuisha watu ambao wanaitwa bin-adamu na inajumuisha watu wale wengine ambao hawana undugu na hawa watu wanaoitwa bin-adam.Nielezee kidogo hao watu wengine,nimewaita watu sababu wana maumbo kama binadamu ila vimo vyao vipo tofauti na wapo katika jamii mbili tofauti.
Kuna ile jamii ya wanaokaa angani ambapo bila ruhusa yao huwezi kuwafikia,na kuna ile jamii ambayo hata bila ruhusa yao unaweza kuwafikia na wanakaa chini ya bahari au mito au maziwa makubwa(Lakes).Ngoja nifafanue kidogo jamii za hawa watu.
Jamii ya watu wa angani inashuka sana duniani na sijui waga wanakuja kufanya nini ila mara nyingi wanajishugulisha na wale binadamu mnaowaita walokole,na ili uzungumze nao inategemea umekutana nao katika hali gani kwenye ulimwengu usio wazi kwa macho ya kawaida,kiasili sio waongeaji sana ila sura zao zinaakisi mwanga kwa namna ya tofauti na unaweza kujiuliza wanavaa mavazi gani, kwa mavazi wanavaa hizi nguo mnaita kanzu ila ni bwanga afu ndefu mpaka miguuni na ni nyeupe.
Jamii ile nyingine ya watu wasio na asili na binadamu ila wamefanana na binadamu kimuonekano lakini wana vimo vikubwa ni ile inayokaa chini ya bahari,maziwa(Lakes) na mito.Hii jamii wao ni wazungumzaji sana afu miili yao haiakisi mwanga na wanakuja sana duniani na unaweza kuwaona bila ridhaa yao kwa kufuata utaratibu wanaokupa wafuasi wao au wanajimu wa nyota mbao ni binadamu wa kawaida,na mavazi yao ni kanzu pia ila za rangi mbalimbali zaidi ya nyeupe.Na watu wanaojishugulisha nao sana ni wale watu ambao nyinyi binadamu mnawaita wanajimu na washirikina au wachawi ila inategemea ushirikina na uchawi wa wapi maana dunia ni kubwa kutoka bara moja mpaka lingine na ushirikina au uchawi unatofautiana.
Binadamu kuna vitu huwezi kuviona mpaka either uwe mshirika wa jamii mojawapo kati ya jamii hizo mbili nilizokutajia hapo juu.Lengo langu leo ni kuzungumzia mkuu wa jamii ile ya wale watu wa angani ambao wanapenda kushirikiana na walokole au watu wa kulia lia,maana huyo mkuu ana vitu vya tofauti kidogo ndio maana nikasema pale juu kua "Mungu wa walokole ana nguvu sana".
Katika utafiti wangu ndani ya ulimwengu usio,onekana inaonyesha kua walokole wanapendelewa sana na huyo mkuu wao,maana kuna vitu anawapa vya ziada wao hawavitumii sijui kwanini niligundua hilo huko mbele katika utafiti wangu.Nimemuita Mkuu au Mungu wa walokole sababu kila walokole wanapoanza kulialia""Kusali""wale watu wa jamii ya kuakisi mwanga wengine wana mabawa na wengine hawana wakitokea kwa mkuu wa walokole ama nilivyokuja kujua baadae huko huko angani wanawajia na wanawazunguka hawaondoki na lile eneo husika linakua na mwanga unaweza kupofusha macho (Ni kama mwanga wa jua au radi au shoti za umeme zile cheche) ila walokole waga hawawaoni nadhani waga wanalia(Kusali) kwa imani zaidi namaanisha meditation.
Nilisema hapo juu kua mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao ana nguvu sana maana wale walokole baada ya kulia kwa mkuu wao huwezi kuwasogelea katika hali ya nje ya ubinadamu au katika hali ya ushirika na jamii nyingine za kiroho zaidi ya mkuu wao na wale watu wa kuakisi mwanga.Kila mlokole anakua na yule mtu wa kuakisi mwanga na yule mtu haongei ila macho yake ni ishara tosha kua usimsogelee mlokole aliyenae.Cha ajabu wengi ya walokole hao katika hali ya ubinadamu wa kawaida hawana habari yoyote ile unawakuta sokoni au kwenye daladala au barabarani au ofisini au kwenye nyumba zao za ibada.
Sasa ikabidi nifanye uchunguzi juu ya huyo mkuu (Mungu) wa walokole,yupoje na ni nani, wale watu wa jamii ya kuakisi mwanga wanaishi nae vipi maana wana ushirika nae.Sababu ukitoka nje ya mwili kupitia(meditation) huwezi kuwasogelea hawa watu wa jamii ya kuakisi mwanga au hao walokole.Nikajikuta napata hamu ya kuchunguza mambo ya ulimwengu usionekana na hasa jamii za wale watu warefu wa angani na walokole hasa wale wa kulialia sisi binadamu tunaita kusali ila wao walokole wanaita kunena kwa lugha,na ni lugha ambayo inawafanya wawasiliane na wale watu warefu wa kuakisi mwanga.
Udadisi wangu ulijikita katika mambo makuu matano(5)
Mosi: Kwanini walokole wana uhusiano na wale watu wa kuakisi mwanga wanaotokea kule juu kusikofikika hata ukitoka nje ya mwili na kusafiri nje ya mzunguko wa sayari za kawaida kwa maelekezo ya wanajimu wa nyota?
Pili: Kwanini mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao ana uhusiano wa moja kwa moja na wale watu wa kuakisi mwanga na sio ile jamii ya chini ya bahari?
Tatu: Kwanini katika jamii za nje ya mwanadamu au mtu, hasa ile jamii ya watu wa kuakisi mwanga ina nguvu sana kuliko jamii za wale watu wanaokaa chini ya bahari na wasioakisi mwanga wa jua na mwezi?
Nne: Mkuu wa walokole kwanini yeye na wale watu wa kuakisi mwanga,hawana ukaribu na Mkuu wa wale watu wa jamii inayokaa baharini na chini ya maziwa na mito(Maana nayo ina mkuu wake) na hataki wafuasi wake wa dini yake wawe na ukaribu na walokole kwa namna yoyote ile?
Tano: Kwanini mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao pamoja na nguvu zoote ila hawapi utajiri wa kibinadamu hao walokole ila ukitoka nje ya mwili hawa walokole wana nguvu sana mpaka uñashindwa kuwaelezea labda uone kwa macho.Tofauti na mkuu wa ile jamii nyingine ambayo karibia robo ya wafuasi wake wana access ya kupata mali za dunia hii tunayoishi binadamu wote.
Basi nikajikuta naanza utafiti kufuatilia nguvu za mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao.Ni nani na yupoje na anaishi wapi..Utafiti wangu ukanipelekea kuja na kichwa cha habari hapo juu kua Mungu wa walokole ana nguvu sana maana nilishuhudia mengi kumuhusu huyu Mungu wa hawa watu wa kulialia mnawaitaga walokole.
Safari yangu ya utafiti ilinikutanisha na wazee wa kibantu,wanajimu,viongozi wa dini za wanadamu zinazoonekana na zisizoonekana na watu wa jamii zile za nje ya ulimwengu wa mwanadamu.
ITAENDELEA
Kweli kabisa, ukitaka kijua zaidi somaWewe ni mlokole dada? Unajua hapo una watu warefu wenye kuakisi mwanga na miale yao ya blue kama radi wamekuzunguka? Ukicheka wanacheka na ukilia wanalia na ukiwaamrisha wanatenda vile vile unavyosema..Ila walokole hamjui kua mkuu wenu(Mungu wenu)ana nguvu kiroho kuliko jamii yoyote ile ya ulimwengu wa kiroho na washirika wake ni hao watu warefu weupe wengine wana mabawa na wengine hawana ila wanakuja duniani kujishugulisha na walokole tu,huko mbele nitaadithia kwanini.
Pata maarifa zaidi, kupitiaTunazo nguvu za Rohoni, tunapiga famle zote za wakuu wa giza kwa jina la YESU
Hv vitabu vipo amazon wanaviuza au???Kweli kabisa, ukitaka kijua zaidi soma
1: Occult in Pentecostal church au
2: Modern spiritualism
Google " modern spiritualism in Pentecostal church'NILIKUA NIMELALA KIFUDIFUDI USIKU WA SAA NANE JANA NA NIKAWA NATAFAKARI HAYA MOYONI
""EEH YESU WA WALOKOLE MBONA JINA LAKO LINA GRAVITY SANA YA UKUU KIROHO""""BASI NA MIMI NIONYESHE NJIA NIKUFUATE SABABU HAKUNA JINSI MAANA MAISHA YANGU UNAYO WEWE NA NI MUNGU MKUU WA ROHONI NA MWULINI...EEEH YESU NIRUHUSU NIKUABUDU NA NINAJIJUA NI MWENYE DHAMBI NA SIO MKAMILIFU KAMA WALOKOLE ILA SIKUACHI NA NITAENDELEA KUKUDADISI NA LOLOTE LIWALO NA LIWE.
Basi pembeni yangu kwenye kitu akaja mtu mweusi kiumbo ila ni mwanamke na ana sauti ya kike AKASEMA""HAPENDI UNAVYOMTAJA YESU"""Kwa sauti ya upendo kisha akapotea..Nikashituka usingizini nikawa najiuliza huyu mamama ameniambia "HUYO NANI HAPENDI MIMI KUMTAJA YESU""""
Nikajigeuza na kulala chali ila baada ya mda akaja mtu kunichungulia namuona ni mweusi tii kama ananidadisi kwa kunichunguza maana nilikua nimelala chini kwenye kapeti.Moyo ukashtuka nikasisimka na nikasema kwa nguvu"""YESU UMEONA WAMEKUJA TENA KUNISUMBUA""""""
Niliposema hivyo tu akakimbia na mimi nikashtuka nikawa najiuliza hivi kwanini haya yatokee wakati huu na nikitaja jina la YESU tu vitu vyote vinakimbia na uwepo wake unakuja na gravity ya ulinzi na amani ya roho na mwili na ninazungumza nae kiroho mawazo yangu yoote na maoni yangu yoote mda wote,,kama wanavyofanya walokole sababu ni suala la imani tu.HILI IKAWA LINAZIDI KUNITHIBITISHIA UWEPO WAKE KIUHASILIA KATIKA ROHO NA MWILI.
HATA HAPA TULIPO TUNAVYOJADILIANA KUMUHUSU BASI UJUE ANATUTAZAMA NA ANAJUA MAWAZO YETU YOOOTE.
YESU WA WALOKOLE YUPO UKIMUITA KIROHO NA KUMLALAMIKIA JAMBO LOLOTE KAMA WANAVYOFANYA WALOKOLE ANAKUJA.NA NI ROHO INAYOTOKA KWA MUNGU WA WALOKOLE YENYE KUAMBATANA NA ROHO YA PUMZI ZA UHAI,WALOKOLE WANAITA UTATU MTAKATIFU.
HATA HAPA NINAPOANDIKA YUPO NA ANAYASOMA MAWAZO YANGU NA KUNITAZAMA USONI KWA UDADISI WA KIUNGU NA ANAYAJUA MEMA NA MABAYA YANGU..
TUENDELEE TARATIBU NDUGU ZANGU........!!!!
Google 1: occult in Pentecostal church AuHv vitabu vipo amazon wanaviuza au???
Swali zuri,,,inategemea unatumia nguvu ipi kuyashuhudia haya..Lakini washirikina na waganga na wachawi wanaona haya sababu wapo kiroho...Walokole wapo kiroho ila kwa imani ndio maana hawaoni haya labda wafunuliwe macho yao kwa sababu maalumu na mwana wa mmiliki ambae ndie mkuu wa walokole na kupitia yeye basi wana mawasiliano na baba yake aitwae ALFA NA OMEGA AU MUNGU MKUU MMILIKI WA ENZIwakati unashuhudia hayo wewe unakuwa wapi?!
Oky mkuu nitavitafuta niongeze maarifa kumuhusu huyu Mungu wa kuvutia mwenye mamlaka ya kutiisha ulimwengu.Google 1: occult in Pentecostal church Au
Google 2: Modern spiritualism in Pentecostal church
mkuu nieleweshe, umesema walizitunga wao?Kuna nyimbo mnaziita injili,,hizi nyimbo asili yake ni kwa wale watu warefu wenye mabawa na wanaziimba masaa ishirini na nne.Nyimbo zoote za injili na kusifu walizitunga wao!!Unapoziimba kabla ya kusali ni kama unawaita waje msali pamoja.
Mkuu Mungu akusaidie kuieneza injili yake Kwa watu wengiiSwali zuri,,,inategemea unatumia nguvu ipi kuyashuhudia haya..Lakini washirikina na waganga na wachawi wanaona haya sababu wapo kiroho...Walokole wapo kiroho ila kwa imani ndio maana hawaoni haya labda wafunuliwe macho yao kwa sababu maalumu na mwana wa mmiliki ambae ndie mkuu wa walokole na kupitia yeye basi wana mawasiliano na baba yake aitwae ALFA NA OMEGA AU MUNGU MKUU MMILIKI WA ENZI
Anangaaa kama moto hata huwezi kumuona utaungua macho..Labda aamue mwenyewe umuoneUbarikiwe sana kiongozi.....Mkuu tufafanulie Mungu Ni moto ulao Kwa maana ganii
Msabato huyu anapingana na Mungu wa Walokole.Hv vitabu vipo amazon wanaviuza au???
Usihangaike kusoma hivyo vitabu, Biblia ndo kitabu kikuu cha kuisoma.Hv vitabu vipo amazon wanaviuza au???
Walokole hawana dhehebu ila utambulisho wa kiroho kupitia mwana wa mmiliki..Lakini binadamu ndio wana madhehebu na diniMsabato huyu anapingana na Mungu wa Walokole.