Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

MUNGU aliweia kanuni binadamu yapaswa kuzifuata
 
Big nooo
 
Naomba ulijibu kiroho swali hili,

Kwanini , walokole hawako juu kiteknolojia yaani kuvumbua vitu kama jamii ya waovu freemasons,
Je ni kwanini waafrika maskini na hawajawai vumbua makubwa duniani na wakati projects kubwa zote Duniani ni mzungu,

Hujawai kuona huko Rohoni vyuo vya Elimu za Siri za sayansi
 
Mmh hapa nakupinga.

Michael Faraday, mgunduzi wa Electromagnetism alikuwa mlokole wa Kanisa la Uingereza.

Louis Pasteur alikuwa Mkristo aliyempenda Yesu.

Isaac Newton alikuwa msomi mkuu wa Biblia na aliisoma kitabu cha Daniel kwa miaka 42, ila alikengeuka alipozeeka.
 
Wapo walokole Mungu anawatumia kufanya ila uvumbuzi.
 
Waafrika walichelewa kumjua Mungu ndo maana uvumbuzi ukawa wa kawaida.
Fatilia , ugunduzi ulianza rasmi kwa Wazungu walipomtambua Mungu wa Walokole kama Mungu wao na kuweka sheria za nchi zifanane na za Biblia. Uvumbuzi ulianza Karne ya 16, ikaenda mpaka 18.
 
Hivi Kuna malaika wa MUNGU wanaokuja duniani wamevaa mwili kama sisi binadamu ,size sawa ya miili na wameajiriwa maofisini na Wana nyuma zao mitaani walizo Jenga,

Wanakula chakula nasi, tuna pishana nao Kwa kusalimiana tu , tukidhani ni binadam kama sisi,

Au , malaika wanaishia rohoni tu wanapokuja duniani,
 
Vema,

Uzuri ,kupitia Uzi juu tumejitambua walokole ni watu wa aina Gani rohoni ni wakuu na watawala na walio barikiwa,

Niwakati ,WAKUJA NA TEKNOLOJIA NA VITU VIKUBWA,
 
Halafu Kuna Kitu kimenijia nakiwaza,


HUWENDA BARAKA ZOTE KUBWA MNO TULIZO BARIKIWA ,HUWENDA TUKAWA TUME ZITUMIA KWA KIWANGO CHA KIASI CHA
0.0000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000001%

NA KAMA TUNAVYOJUA BARAKA ZAKE HAZINA KIPIMO NA HAZIELEZEKI ,

MAANA JUMLA YA BARAKA ZOTE ZA MUNGU ZIKO KATIKA ROHO WAKE MTAKATIFU,

HIVYO KUSHINDWA TUMEJITAKIA,
 
Uko sahihi...tajiri namba Moja duniani mfalme Suleiman alibarikiwa na Mungu...yeye ndo tajiri wa kwanza na WA mwisho kutokea duniani.... biblia inasema hatakuja kutokea tajiri kama yeye ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…