Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #1,081
HAWAMTAJI YESU KWA IMANI BALI KWA MAIGIZO NA WANAMUABUDU ROHO OVU ASIYE NA UUNGU MKUU NA ALIYEJIPACHIKA CHEO CHA UUNGUSwali langu ni vipi wanaojiita watumishi wa Mungu kwa vyeo vyao wawe wachungaji,mitume, manabii n.k wanaweza kufanya uzinzi na bado wanasimama madhabahuni? Ni Mungu yupi wanaemtumikia hawa maana bado huwa wanalitaja jina la Mungu na mwana wake(YESU) katika maombi yao.
Hayajakupata
Hata wajenzi huru ni wajinga pia kaka na masikini pia??Hakuna mtu yamewahi kumpata. Ni story za kusadikika zinatamalaki kwenye jamii ya watu wajinga na maskini.
Karibu sana mkuu tumjadili Mungu wa walokole.Hii ni karamu ya wendawazimu. Chizi mmoja kaijtungia story ya kipuuzi kulingana na anachoamini yeye, kisha anataka machizi wenzake waamini!
Mungu akulinde na kuku tangulia ndugu..BAADA YA KUANZA HII SIMULIZI NILIPITIA MENGI,,,,,,UNAJUA MUNGU WA WALOKOLE HAITAKIWI WATU WA DUNIANI WAMJUE NA NDIO MAANA NIKAPITIA CHANGAMOTO MPAKA NIKAKAA PEMBENI KIDOGO JAMII FORUM....!!!LAKINI NAMSHUKURU HUYU MUNGU WA WALOKOLE AMBAE NI MKUU WA ANGA ZA JUU NA NI MUNGU MMILIKI ALINIAMBIA MANENO HAYA
MOSI: MIMI NI MUNGU NINAESAMEHE NA HAKUNA MUNGU KAMA MIMI UKITAKA KUTOA USHUHUDA WATU WANIFAHAMU USIOGOPE MATOKEO SABABU MIMI NI ROHO IWAKAYO MOTO NA WANAONIAMINI WANANIAMINI KATIKA ROHO NA UJASIRI WA IMANI WAOGA HAWANA NAFASI.
PILI: ANASEMA YEYE NI MUNGU MWENYE WIVU KWA WATU WAKE HASA WAMJUAO (HAPA NAMAANISHA WALOKOLE) NA ANAWALINDA KWA HIYO WASIOGOPE KUMTAJA.
KWA HIYO BAADA YA MANENO HAYA NA CHANGAMOTO ZA KIROHO ZILIZONIANDAMA TAKRIBANI MWAKA NIMERUDI TENA KUMZUNGUMZIA MUNGU WA WALOKOLE.YULE MUNGU MWENYE USHARIKA NA WALE WATU WAREFU WA NURU WENYE MABAWA NA AMBAE MTOTO WAKE WA KIPEKEE NDIE MFALME PEKEE WA ULIMWENGU WA KIMWILI NA ULIMWENGU WA KIROHO.
MKUBALI AU MKATAE ILA KWENYE ULIMWENGU WA KIROHO,,HUYU MTU MREFU MWENYE ALAMA YA ALFA NA OMEGA KIFUANI WALOKOLE WANAMUITA YESU AU IMANUELI AMBAE WALOKOLE WAKILIA ANATUMA WALE WATU WAREFU WENYE KUAKISI MWANGA WA JUA KUWALINDA,NDIE MUNGU WA KWELI NA ULIMWENGU WOTE WA KIROHO UNAJUA HIVYO.
MIMI BINAFSI WAKATI NAANDIKA KUHUSU MUNGU WA WALOKOLE NILIAMUA KUMSUJUDIA MAANA LEO NI MWAKA WA KENDA YUPO ANANITIZAMA TU KWA MACHO YA REHEMA..PAMOJA NA DHAMBI ZANGU BADO NINAISHI KWA REHEMA ZAKE ZA ULE USO WA KUNGAA NA KWA REHEMA ZA BABA YAKE AMBAE ANAWAKA KAMA JUA NA BILA KIBALI PENDEKEZI WALOKOLE WANAITA(UTAKATIFU) HUWEZI KUMTIZAMA AU KUMSOGELEA.
HAKUNA KITU KINATISHA KAMA KUMZUNGUMZA AU KUMUONGELEA MUNGU WA WALOKOLE ANATISHA MAANA ANA GRAVITY'S YA AJABU SANA INAKUTETEMESHA ROHO NA MWILI.NILIPOAMUA KUMZUNGUMZIA MUNGU WA WALOKOLE NILIPATA VITISHO VYA KIROHO ILA NIMERUDI TENA KUMZUNGUMZIA HUYU MUNGU MAANA NIMEMUONA KATIKA UKUU WAKE NA SI KWA MACHO YA NYAMA BALI MACHO YA KIROHO
MUNGU WA WALOKOLE YUPO HAI NA ANASHUKA DUNIANI KWA WASJIRIKA WAKE MDA WOTE NA KAMA AMEGAWANYIKA MAANA MAHALI POPOTE YUPO NA KAMA WALOKOLE MNGEFUNGULIWA MACHO YENU YA KIROHO BASI HAKUNA HATA MLOKOLE MMOJA AMBAE ANGEACHA USHARIKA NAE..YEYE NI MUNGU WA NURU NA VIUMBE VYOOOTE VYA KIROHO VINAMUABUDU NA ANA WASHIRIKA ZAKE WATU WAREFU WENYE KUAKISI MWANGA WA JUA WANAOWALINDA WALOKOLE NA MAPANGA YA MOTO POPOTE WAENDAKO.
KABLA SIJAENDELEA NAOMBA WALOKOLE POPOTE MLIPO MNIOMBEE ILI NIPATE KIBALI MBELE YA MUNGU WENU NIENDELEE KUWALETEA USHUUDA HUU KUMUHUSU YEYE AMBAE NI MUNGU MMLIKI WA ULIMWENGU WA KIROHO NDANI NA NJE YA MFUMO WA SAYARI ZA ULIMWENGU.
MUNGU WA WALOKOLE ANA NCHI YAKE SAYARI ZA MBALI AMBAYO NI WALOKOLE TU WENYE NEEMA YAKE MNAITA UTAKATIFU NDIO WATAFIKA HUKO.
Amina mkuuMungu akulinde na kuku tangulia ndugu..
Ndio yupo mungu wa walokole nduguKumbe kuna Mungu wa walokole....
Unapozungumzia Imani ,unazungumzia matendo,Tengeneza na Mungu wako na kua na imani nae.Walokole hulindwa kwa imani
Yeah upo sahii matendo hujenga imaniUnapozungumzia Imani ,unazungumzia matendo,
Maana ni pacha,Imani na matendo vinamuungano,
Hivyo,
Unaposema walokole wanalindwa Kwa Imani, hio kiroho maana Imani HAIONEKANIKI ni ya kirohoni, Sasa Kwa lugha nyingine tunasema ,Katika mwili wanalindwa Kwa matendo,
Kiroho= Nguvu ya Ulinzi ni Imani,
Kimwili= Nguvu ya Ulinzi ni matendo.
Kiroho= Uhai wa Imani ni matendo,Ili Imani iendelehe kuwepo rohoni ,Ili huko Rohoni uendelehe kulindwa ,Huyo Imani anamtegemea matendo h
Mkuu umefafanua vizuri sanaImani, Imani, Imani.
Naona imetajwa Sana ,kwenye mada,
Mimi nimepokea ,ujumbe wa kivuvio wa kiMungu ,
Ninaita uvuvio ,sababu haya nayo yaanika ,sikupanga na hata Mimi sikuyajua ,
Nimeshangaa ,maana hata Mimi najifunza pia Kwa nilichojuandikia hapa mwenyewe, nimeandika kitu ambacho hata Mimi nilikuwa najiuliza,
Kuwa baraka zinatokaje rohoni kuja mwilini
Kiufupi ,
Rohoni ni Imani
Mwilini ni matendo
Details;-
Unapozungumzia Imani ,unazungumzia matendo,
Maana ni pacha,Imani na matendo vinamuungano,
Hivyo,
Unaposema walokole wanalindwa Kwa Imani, hio kiroho maana Imani HAIONEKANIKI ni ya kirohoni, Sasa Kwa lugha nyingine tunasema ,Katika mwili wanalindwa Kwa matendo,
Kiroho= Nguvu ya Ulinzi ni Imani,
Kimwili= Nguvu ya Ulinzi ni matendo.
Yaani
Ili uwe na ulinzi Roho ulinzi huo unaitegemea uwepo wa Imani,maana Imani ni ya kiroho eneo lake linakaa rohoni na ndio mazingira yake ,na makazi yake Imani ni rohoni ,Ila yenyewe matendo mazingira yake na makazi yake ni mwilini ,Sasa Ili kule rohoni aside ana mtegemea matendo mwilini kama nguvu ya uhai wake kule rohoni ,Ili Huyo Imani awepo kule rohoni Kwa wewe kutenda matendo huku mwilini kule rohoni Imani anakuwa hai ,maana OKSIJENI YA IMANI NI MATENDO MWILINI NA OKSIJENI UHAI WA MATENDO HUKU MWILINI INATEGEMEA UHAI WA KULE ROHONI ,MATENDO HUKU KATIKA MWILI SIBKITU YATAKUWA SAWA NA MAHITI YAANI HAYAJESABIKI UKIKOSA IMANI ROHONI, MFANO UNAPAMBANA KATIKA MWILI KUWA MWANASAYANSI MKUBWA KUJA NA TEKNOLOJIA KUBWA HALAFU IMANI YA KUWA HIVO HUNA YAANI,MAANA IMANI KULE ROHONI IMEKUFA ROHONI HIVYO HUKU MWILINI MBIO ZOTE ZA KUFANYA MAKUBWA ZINAPATA UPIBZANI WA KIROHO MAANA ULINZI WA HILO UNALO LIDANYA HUKU MWILINI ,
LIMEKOSA ULINZI WA KULE ROHONI,
SASA ILI UFANIKISHE AU UFANIKIWE ,LAZIMA UWE NA IMANI AMBAYO ITAISAPOTI IMANI YAKO HUKO ROHONI YA KUJA KUFANIKIWA HUKU MWILINI ILI MATENDO YAKO YA HUKU MWILINI YALINDWE MAANA ROHONI UNA UZIMA WA HAYO MATENDO UNSYO YAFANYA KATIKA MWILI AMBAO NGUVU YA IZIMA WA MATENDO HAYO NI ILE IMANI,
IMANI YAKO INATAKIWA ISAPOTIWR NA IMANI KUU
AMBAYO NDIO UZIMA WA IMANI ULIONAYO,
NAANI , NENO LA MUNGU INA NGUVU YA KUZALISHA IMANI YA KIROHO SASA ,IMANI YAKO MFANO WA MAFANIKIO INSKUTANA NA NGUVU YA IMANI ,HIVYO ILE IMANI YAKO INA VAA ROHO KWA ILE NGUVU YA ROHO NA KUZAA MATENDO YA ILE IMANI KATIKA MEILI YA MAFANIKIO,
LAKINI KILELE CHA MAFANIKIO YOTE NI KIMJUA MUNGU VEMA ,NJE YA HAPO UKIPATA MALI NA MAGARI ,HIO SIO LA KUSHANGILIA MAANA UNAKUWA UMEPOKEA PENGINE UWANGAMIVU WAKO USIPOKUWA MAKINI,
Kiroho= Uhai wa Imani ni matendo,Ili Imani iendelehe kuwepo rohoni ,Ili huko Rohoni uendelehe kulindwa ,Huyo Imani anamtegemea matendo huku Katika mwili,Sasa kule rohoni ndio unalindwa,
Mwilini= Ili ulindwe mwilini ,Ina tegemea Matendo, maana matendo yanaonekana hivyo matendo Yako mwilini , na utachotenda kitategemea na ufahamu wa Imani inakuelekeza ufanye Nini ,Ili nayo hayo matendo huku mwilini yasife ,ukakosa ulinzi na kibali Cha Mungu ,
Huhai wa matendo mwilini inategemea uhai wa Imani rohoni ,na uhai wa Imani rohoni unategemea uhai wa matendo mwilini , na
Uhai wa ulinzi rohoni unategemea Imani Yako rohoni,na uhai wa ulinzi mwilini unategemea na matendo Yako mwilini,Ili ulinzi uwepo,
Sasa ,
Kwenye Upande wa Baraka,
Nimepokea mafunuo hapa ni hivi
Imani =roho
Matendo=mwili
Imani= Kugundia Teknolojia kubwa,hio unaipokea rohoni ,Sasa Ili hio Imani inside ,
Inaitegemea Matendo ya Mwilini ya kiugunduzi wa Teknolojia mpya,
Matendo= Matendo ya utafiti wa kiugunduzi wa Teknolojia mpya,
Unajishugurisha na Kazi za utafiti wa kiugunduzi wa Teknolojia mpya,
Career:TECHNOLOGY DEVELOPER,
FOCUS: IWE "RESEARCH AND DEVELOPMENT SCIENTIST OR TECHNOLOGIST "
Sasa ,baraka ya Mungu ,ni sawa na kibari Cha Mungu ,Katika utafiti huo MUNGU ANAACHILIA WAZO JIPYA LA KIUTAFITI AMBALO SIO TU JITIADA ZAKO ,
MAANA HAKUNA ANAESEMA LINIJIE WAZO FURANI ,WAZO LOLOTE JIPYA LINAKUJA SIO KWA MAAMUZI YA MTU ,
,WAZO PIA NI ROHO NDIO MAANA MTU ACHAGUI WAZO ,ILA WAZO HUJA LENYEWE TU,
NA MUNGU KWA KUWA NI RIHO HUJIBUBKIROHO HIVYO NJIA NZURI YA BARAKA HIZO LINAPITA KWENYE WAZO,
IMANI= ROHONI; UNAPOKEA, WAZO AU MAWAZO YA KITAJIRI
MATENDO= MWILINI; MATENDO YANAYOHUSU KUUTAFITA UTAJIRI,MATENDO YA KUTENDEWA WAZO LILE LA KITAJIRI,
UKIISHI KIMEILI ,UTAISHI KUTESTI KILA WAZO ,ILA UKIISHI KIROHO UTAPOKEA WAZO TOKA KWA MUNGU NA YAKUPASAYO KUFANYA KATIKA MWILI YAANI MATENDO MWILINI.
NGOJA NIIDHIE HAPO ,
Hivi ,hapo rohoni ikitokea Nini mpaka nimepata ujumbe huo ,Mkuu umefafanua vizuri sana
Inatokea tu unakua kiroho na unajikuta unaandika vitu vya kiroho.Hivi ,hapo rohoni ikitokea Nini mpaka nimepata ujumbe huo ,
Maana sijui ,nimejikuta nimepata tu kuandika vitu ambavyo hata sijui vilikuwa wapi muda wote kichwani mwangu,
Hapo Ndio mwana wa mmiliki kaniambia au Mmiliki mkuu ndio kaongea na Mimi au ni malaika , hapo ni nani kati ya hao ksnipa ujumbe huo
????????????????
Ukiwaambia watu Imani , umezungumza kiroho nao,Inatokea tu unakua kiroho na unajikuta unaandika vitu vya kiroho.
Hata mimi mada nyingi ninazoandika humu JF waga kuna roho inanipa hamasa ya kuandika hivyo.
Ulichoandika ni ukweli na ukweli ndio alama ya Mwana wa mmiliki
Huyo ni roho mtakatifu anakupa hayo mafunuo ni mojawapo ya kazi zake unakua unaskia neno linakujia kichwani roho mtakatifu ndo analeta uo ufahamu.....Kuna muda unaweza ukawa unapitia situation flani gafla Andiko linakujia akilin ambalo linaendana na situation yako unaomba na mambo yanakua vizurii.....ukiwa unapendelea kujiweka karibu na Mungu na kupendelea habar za kiMungu hua hali hua inatokea na yatatokea mengine zaidi na zaidiHivi ,hapo rohoni ikitokea Nini mpaka nimepata ujumbe huo ,
Maana sijui ,nimejikuta nimepata tu kuandika vitu ambavyo hata sijui vilikuwa wapi muda wote kichwani mwangu,
Hapo Ndio mwana wa mmiliki kaniambia au Mmiliki mkuu ndio kaongea na Mimi au ni malaika , hapo ni nani kati ya hao ksnipa ujumbe huo
????????????????
Huyo ni roho mtakatifu ni msaidizi haswaaaaaaInatokea tu unakua kiroho na unajikuta unaandika vitu vya kiroho.
Hata mimi mada nyingi ninazoandika humu JF waga kuna roho inanipa hamasa ya kuandika hivyo.
Ulichoandika ni ukweli na ukweli ndio alama ya Mwana wa mmiliki
Na ni roho wa MunguHuyo ni roho mtakatifu ni msaidizi haswaaaaaa
Lile jibu ndio lime nijia,Na ni roho wa Mungu