GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Kwani wewe unaifahamu dini yangu? Vipi nikikuambia sina dini?🤣Na vitabu vingine na miungu mingine ya dini nyingine sio living facts au sio...ni dini yako tu ndo Ina living facts
Unaniwekeaje kitabu kilichoandikwa na aliyeshindwa kuielewa, kwamba nimsaidie yeye au wewe ndiye unayehitaji msaada?Unawezaje kuongelea kweli bila logic ambayo ni sehemu ya falsafa?
Unaelewa kwamba dhana ya kutengansha ukweli na uongo ni logic tayari hiyo?
Unaniambia habari za kutoisoma Biblia kama kitabu cha kawaida tu, wakati mimi nimekuwekea kitabu cha jinsi ya kusoma Biblia "How To Read The Bible", hujaweka comment yoyote kwenye post hiyo #489, kwa nini?
Nimekuwekea contradictions nyingi sana za kwenye Biblia posts #490 mpaka #493, hujapangua hata moja, kwa nini?
Unajuaje wewe ndiye unaweza kumsaidia yeye?Unaniwekeaje kitabu kilichoandikwa na aliyeshindwa kuielewa, kwamba nimsaidie yeye au wewe ndiye unayehitaji msaada?
Kama kuna eneo unalohitaji msaada, sema usaidike.
By the way, nikipata muda, nitazipitia hizo post unazodai kuwa Zina contradiction, then nitakuwa na cha kusema.
Nitamsaidiaje nisiye na mawasiliano naye?Unajuaje wewe ndiye unaweza kumsaidia yeye?
Unafikiri unaweza kumsaidia kuhusu Biblia Profesa aliyefundisha somo la Biblia Harvard University?
Hujaonesha ameshindwa kuielewa Biblia wapi, unahubiri tu.
You are becoming very boring right now.
Huja address points zozote alizoandika, nilitegemea ungejibu point kwa point.Nitamsaidiaje nisiye na mawasiliano naye?
Ni wewe ndiye ninayeweza kukusaidia, kama utakubali, kwa kuwa tunaweza kuwasiliana.
Kama una mawasiliano naye, mshauri afanye yafuatayo
1. Aende mapumzikoni mahali penye utulivu atakakoweza kusoma kwa uhuru kwa kipindi cha mwezi mmoja, akiwa na BIBLIA pekee. Asiende na kitabu kingine cho chote.
2. Kwa kipindi chote cha mapumziko, ajitahidi kusoma Biblia kwa kila muda atakaokuwa macho. Adhamirie kuimaliza ndani ya mwezi mmoja.
Akifanya hivyo, si kwamba tu atakiri Biblia iko sahihi kwa asilimia mia moja, bali pia atajishangaa jinsi alivyokuwa mjinga bila kufahamu kuwa ni mjinga.
Afanye hivyo na hatokaa ajutie muda wake aliouwekeza kuitafuta KWELI.
Mwenzake toka Chuo Kikuu kimoja nchini South Korea alifanya hivyo, na alichokutana nacho ukawa ndiyo ugunduzi mkubwa kuwahi kugundua maishani mwake kuliko gunduzi zingine zote alizowahi kuzifanya.
Hata Mimi nilishawahi kufanya hivyo.
Uhakika ni kuwa hauwezi kuconcentrate kwenye BIBLE na bado ukawa na mashaka juu ya uwepo wa Mungu.
Hakuna uongo kwenye Biblia, kuna facts tupu from Genesis to Revelation.So unajilazimisha kusoma kitabu Kama Cha ukweli hata Kama kinaonesha uwongo. 😂Kwa hizi akili bado tunalalamika why bongo hatuendelei
Sijazipitipitia. Nitafanya hivyo nikipata muda.Huja address points zozote alizoandika, nilitegemea ungejibu point kwa point.
You are just being condescending.
Super boring.
Kwa hivyo unajibu na kushauri kuhusu kitu ambacho hata hujakipitia?Sijazipitipitia. Nitafanya hivyo nikipata muda.
Imani inaziweka familia na jamii pamoja, hata kama imani yenyewe ni fiction stories tu.Ukitoa kuzaliwa katika family ambayo Ina Imani yako, na kuzungukwa na jamii yenye watu wenye hio Imani, na kufundishwa tokea odogoni kwamba ndo dini ya ukweli kwa Sababu wazazi wako wanaamini na wamekupeleka kanisani/msikitini, na ukitoa kutishiwa kuunguzwa usipoamini. Na kuambiwa utaenda peponi ukiamini. Nipe sababu na dalili za we kuamini.
Okay so Mungu anataka Nini?Kwani wewe unaifahamu dini yangu? Vipi nikikuambia sina dini?
Kutokuwa na dini si kutokuwa na MUNGU. Kumwamini Mungu si kujiamini dini.
Mungu hana dini. Dini ni jitihada za wanadamu za kumtafuta Mungu.
Dini iwepo au isiwepo, MUNGU Yupo. Aikuwepo kabla ya kuwepo kwa dini yoyote, na ataendelea kuwepo hata kama dini zote zingetoweka.
Dini zinaweza kufa, lakini YEYE hafi.
Dini zinaweza kutoweka, lakini YEYE hatakaa atoweke.
Kama huna dini mbona unataja Biblia as reference yakoUnaniwekeaje kitabu kilichoandikwa na aliyeshindwa kuielewa, kwamba nimsaidie yeye au wewe ndiye unayehitaji msaada?
Kama kuna eneo unalohitaji msaada, sema usaidike.
By the way, nikipata muda, nitazipitia hizo post unazodai kuwa Zina contradiction, then nitakuwa na cha kusema.
If I were someone else, I would have responded to you based on your reaction, but the Bible guides me not to do so. I have grasped your intention. You are trying to provoke me to anger, but I can't fall into such trap. It is too late to be provoked!Kwa hivyo unajibu na kushauri kuhusu kitu ambacho hata hujakipitia?
You are not only boring, but a boring, entitled ignorant jerk then.
Mwamini Yeye uwe na uzima Sasa na hata milele.Okay so Mungu anataka Nini?
Biblia si Mali ya dini yoyote. Mtu yeyote anaweza kuitumia.Kama huna dini mbona unataja Biblia as reference yako
No, I am just stating a fact.If I were someone else, I would have responded to you based on your reaction, but the Bible guides me not to do so. I have grasped your intention. You are trying to provoke me to anger, but I can't fall into such trap. It is too late to be provoked!
Nowhere did I write that I am holier than you. It's absolutely your perspective.No, I am just stating a fact.
You are a condescending jerk because you respond to posts without reading them.
That is a fact. You confirmed that yourself.
Even now you are still condescending with that "I am holier than thou" Biblical condescenscion.
Still a boring condescending preachy jerk.
Tuchukulie sijasoma Chuo! Huoni ungeuthibitisha usomi wako kwa kunielekeza mpaka niweze kuelewa?Bro umesoma chuo kweli...unajua maana ya reference...hebu soma hizi verses kwenye Biblia yako Kama ni uwongo...unadhani ye mjinga kuweka mpaka citation ya verse ili ukajiprovie mwenyewe...tumia akili mtu mzima wewe acha kubishana ujinga
You made an assumption that I deliberately provoked you to get you angry . That is a wrong assumption, you are not that important, do not flatter yourself, I was just stating facts.Nowhere did I write that I am holier than you. It's absolutely your perspective.
Perhaps, you are not pleased with my answers. How should I respond in such a way that you will be satisfied?You made an assumption that I deliberately provoked you to get you angry . That is a wrong assumption, you are not that important, do not flatter yourself, I was just stating facts.
Then you went ahead to assert that you will not get into it with me because of your Biblical ethics, implying that the teachings of the Bible makes you holier than the rest of us heathens basically, in not so many words.
Nimekuambia tayari.Perhaps, you are not pleased with my answers. How should I respond in such a way that you will be satisfied?