GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Nitakapokuwa na Bible karibu, nitafanya hivyo. Maandiko ya Biblia hujibiwa kwa Maandiko ya Biblia.Nimekuambia tayari.
You do not pay attention, you just want to preach your Bible and God.
Soma posts #489 - #493, halafu respond point by point.
Sitaki mahubiri, nataka majibu yenye mantiki.
You are still preaching.Nitakapokuwa na Bible karibu, nitafanya hivyo. Maandiko ya Biblia hujibiwa kwa Maandiko ya Biblia.
Nitafanya hivyo baadaye kidogo.
Hata hivyo, ujue, whatever the case, "GOD LOVES YOU"
Duniani ni mahali pa kuweka miguu yakeZaburi 115:16 BHN
Mbingu ni mali yake Mwenyezi-Mungu, bali dunia amewapa binadamu.
Nithibitishe Yupo kwa manufaa ya nani?You are still preaching.
First prove God exists, then we can talk about whether God loves me or not.
Hujathibitisha Mungu yupo usharukia ananipenda?
Manufaa ya wote tunaofuatilia mjadala tujue kwamba yupo kweli ili tujue kwamba anaweza kunipenda.Nithibitishe Yupo kwa manufaa ya nani?
MUNGU ni muumbaji, yuko hapo ulipo na anataka roho yako!!,,roho yako mikiwa safi anaisitiri,ikiwa chafu anaichoma kama takataka yoyote ile!!!Mi najiuliza maswali mengi. Mungu Ni Nini, anataka Nini na Yuko wapi.
Ukifuatilia historia ya binadamu tokea tukiwa wawindaji maporini miungu ilikuwepo. Wazee walikuwa wanaongoza vijana kwa kuwaambia kuwa Mungu anataka mfanye hivi, na hio miungu ilikuwepo pangoni ambapo wazee tu wanaingia, baadae vijana wakajitoa akili kwenda wakaona wazee ni waongo na hamna kitu mule. Wagiriki wakaja na miungu yao wakasema ipo ya milima ya Olympus, Leo hii watu wamepanda milima yote ugiriki hawajaona miungu hio.
Wakaja wayahudi, wakasema Mungu yupo mawinguni. Ukifuatilia hata Yesu alipaa mawinguni, Mungu alifungua madirisha ya mbinguni kuleta mafuriko, alichungulia kutoka mawinguni kwenye mnara wa babel, etc. Waislamu nao wakaja na mbingu Saba sijui. Anyways wazungu wametengeneza ndege na rocket zimeenda mawinguni, nje ya dunia, mpaka mwezini. Sasa hivi watu wa dini wanasema yupo nje ya ulimwengu.
So nikagundua trend, wanamficha, wanamweka mbali ili watu wasiweze kumfikia, why? Kwa sababu hayupo? Kwa sababu hajasema hizo sheria? Why wanamficha. Afu wanakuambia anataka uamini yupo ndo utapona usipoamini unaunguzwa. Ukiuliza nikimwona afu nikamwamini, anasema no, lazma usimwone ndo uamini. Na wanaweka kifo mwisho wa kumuani ili waweze kuendelea kutunga sheria kwa jina lake na kuweza kuendelea kutawala watu kwa sababu hamna mtu Ashawahi kurudi akasema baada ya kifo kipo hivi.
Mwanasayansi mi nauliza Mbinguni Kuna Nini. Hamna njaa hamna maumivu hamna ndoa hamna chochote zaidi ya kumuabudu Mungu. Watu kanisani na msikitini hawapendi kwenda unategemea watapenda milele ya Ibada. So wakaamua kuanzisha motoni kutishia watu kwamba wataunguzwa milele. Sasa, ukifa unaacha mwili wako hapa, wanasema una roho, roho ni Nini, hoo mawazo sijui pumzi, ukiuliza unajua kazi ya ubongo ni Nini mtu hajui, haya tufanye roho ni ka upepo kanaenda motoni ehe kanaunguaje, hakana nyama, hakana nervous system hakana ngozi, hakana pain receptors, hakana ubongo au spinal cord, maumivu unayasikiaje, na bado hatujauliza huu Moto upo wapi, walisemaga chini kisa mavolcano lakini now hawasemi Tena coz of elimu.
Tukienda kwenye sheria zenyewe sijui usivae nguo tofauti, usile shellfish, usichanganye mazao, usimwage nje, usiabudu sanamu lakini abudu kitu Cha kufikiriwa na myahudi, hivi kwa Nini mtu atengeneze nyota billion 60 na sayari trillion afu aje kujali binadamu wewe ambae ni Kama vumbi kwa huu ulimwengu unamwaga wapi. Na kwa Nini sheria hizi zinaonekana Kama sheria za kabila ya la zamani huko kwenye majangwa na haziendani na sheria za binadamu kuishi na watu vizuri. Na Wanavyosema tumuabudu siku ya Saba.
Siku zimekuja kutengenezewa baadae Sana na zimebadilika badilika Mara kwa Mara katika historia ya Mayans na Romans. Na wamechagua sun day coz ni siku ya pagans kuabudu jua. Ila yote haya tuyaache, why Mungu muweza yote anataka hela, mwisho wa siku wote mnabidi mgundue kuwa binadamu walitengeneza miungu ili kujibu maswali magumu yasiyojibika kipindi kile na ku
Ni wewe na wenzako wachache ndiyo mnaofikiria huenda suala la uwepo wa Mungu ni dhana ya kufikirika tu. Lakini wengine wote wanaamini kuwa Mungu Yupo, na wengine wameenda hata mbali zaidi kwa kuelezea jinsi walivyotendewa na Mungu maishani mwao.Manufaa ya wote tunaofuatilia mjadala tujue kwamba yupo ili tujue kwamba anaweza kunipenda.
Kwa sababu, kama hayupo, haiwezekani anipende.
Mungu ambaye hayupo atanipenda vipi?
Kusema ni mimi na wenzangu wachache ndio tunaofikiria kuwa uwepo wa Mungu ni dhana ya kufikirika tu, na wengi wanaamini Mungu yupo kweli, hata kama ni kweli - which is debatable -si hoja ya msingi kimantiki.Ni wewe na wenzako wachache ndiyo mnaofikiria huenda suala la uwepo wa Mungu ni dhana ya kufikirika tu. Lakini wengine wote wanaamini kuwa Mungu Yupo, na wengine wameenda hata mbali zaidi kwa kuelezea jinsi walivyotendewa na Mungu maishani mwao.
Labda kama unataka kumwamini Mungu ili na wewe uweze "kumwona", useme ili usaidike.
Wapo watu wengi wanaomjua Mungu na wapo tayari kumsaidia yeyote anayetaka kumjua Mungu kwa kumaanisha.
Unataka kusaidiwa katika eneo lipi hasa?
NIMESOMA HILI BANDIKO huku nikiwa natetemeka na wadau wengi wamekuwa wak8mkashfu jaman punguzen mihemko twende mshikaji yy anataka kumuona MUNGUMi najiuliza maswali mengi. Mungu Ni Nini, anataka Nini na Yuko wapi.
Ukifuatilia historia ya binadamu tokea tukiwa wawindaji maporini miungu ilikuwepo. Wazee walikuwa wanaongoza vijana kwa kuwaambia kuwa Mungu anataka mfanye hivi, na hio miungu ilikuwepo pangoni ambapo wazee tu wanaingia, baadae vijana wakajitoa akili kwenda wakaona wazee ni waongo na hamna kitu mule. Wagiriki wakaja na miungu yao wakasema ipo ya milima ya Olympus, Leo hii watu wamepanda milima yote ugiriki hawajaona miungu hio.
Wakaja wayahudi, wakasema Mungu yupo mawinguni. Ukifuatilia hata Yesu alipaa mawinguni, Mungu alifungua madirisha ya mbinguni kuleta mafuriko, alichungulia kutoka mawinguni kwenye mnara wa babel, etc. Waislamu nao wakaja na mbingu Saba sijui. Anyways wazungu wametengeneza ndege na rocket zimeenda mawinguni, nje ya dunia, mpaka mwezini. Sasa hivi watu wa dini wanasema yupo nje ya ulimwengu.
So nikagundua trend, wanamficha, wanamweka mbali ili watu wasiweze kumfikia, why? Kwa sababu hayupo? Kwa sababu hajasema hizo sheria? Why wanamficha. Afu wanakuambia anataka uamini yupo ndo utapona usipoamini unaunguzwa. Ukiuliza nikimwona afu nikamwamini, anasema no, lazma usimwone ndo uamini. Na wanaweka kifo mwisho wa kumuani ili waweze kuendelea kutunga sheria kwa jina lake na kuweza kuendelea kutawala watu kwa sababu hamna mtu Ashawahi kurudi akasema baada ya kifo kipo hivi.
Mwanasayansi mi nauliza Mbinguni Kuna Nini. Hamna njaa hamna maumivu hamna ndoa hamna chochote zaidi ya kumuabudu Mungu. Watu kanisani na msikitini hawapendi kwenda unategemea watapenda milele ya Ibada. So wakaamua kuanzisha motoni kutishia watu kwamba wataunguzwa milele. Sasa, ukifa unaacha mwili wako hapa, wanasema una roho, roho ni Nini, hoo mawazo sijui pumzi, ukiuliza unajua kazi ya ubongo ni Nini mtu hajui, haya tufanye roho ni ka upepo kanaenda motoni ehe kanaunguaje, hakana nyama, hakana nervous system hakana ngozi, hakana pain receptors, hakana ubongo au spinal cord, maumivu unayasikiaje, na bado hatujauliza huu Moto upo wapi, walisemaga chini kisa mavolcano lakini now hawasemi Tena coz of elimu.
Tukienda kwenye sheria zenyewe sijui usivae nguo tofauti, usile shellfish, usichanganye mazao, usimwage nje, usiabudu sanamu lakini abudu kitu Cha kufikiriwa na myahudi, hivi kwa Nini mtu atengeneze nyota billion 60 na sayari trillion afu aje kujali binadamu wewe ambae ni Kama vumbi kwa huu ulimwengu unamwaga wapi. Na kwa Nini sheria hizi zinaonekana Kama sheria za kabila ya la zamani huko kwenye majangwa na haziendani na sheria za binadamu kuishi na watu vizuri. Na Wanavyosema tumuabudu siku ya Saba.
Siku zimekuja kutengenezewa baadae Sana na zimebadilika badilika Mara kwa Mara katika historia ya Mayans na Romans. Na wamechagua sun day coz ni siku ya pagans kuabudu jua. Ila yote haya tuyaache, why Mungu muweza yote anataka hela, mwisho wa siku wote mnabidi mgundue kuwa binadamu walitengeneza miungu ili kujibu maswali magumu yasiyojibika kipindi kile na ku
Hata kama watu woooote wasingeamini kuwa Mungu Yupo, bado angebaki wa kuaminiwa kwa sababu yeye Mwenyewe asingeacha kujiamini.Kusema ni mimi na wenzangu wachache ndio tunaofikiria kuwa uwepo wa Mungu ni dhana ya kufikirika tu, na wengi wanaamini Mungu yupo kweli, hata kama ni kweli - which is debatable -si hoja ya msingi kimantiki.
Hii kimantiki ni logical fallacy, inaitwa "appeal to popularity".
Kwa msingi wako huo, kama Mungu yupo kweli, halafu watu wote wakakubali kwamba hayupo, Mungu atakuwa hayupo?
Unaweza kusoma zaidi hapa Appeal to Popularity
Nataka uthibitishe Mungu yupo ili uondoe mahubiri ya kiimani, hujathibitisha Mungu yupo.
Kwa hiyo habari yako ya kusema Mungu yupo ndiyo maana watu wengi wanaamini Mungu ni pointless, siyo?Hata kama watu woooote wasingeamini kuwa Mungu Yupo, bado angebaki wa kuaminiwa kwa sababu yeye Mwenyewe asingeacha kujiamini.
Ujue tu Mungu hana njaa ya kuaminiwa. Lakini ukimwamini ni kwa faida yako na ukiamua kutokumwamini ni kwa hasara yako.
Your belief that I am committing fallacy cannot alter the fact that God does exist.
The fact remains fact. You can't alter.
Uwepo wa MUNGU ni KWELI ISIYOPINGIKA.
By the way, wewe uko huko uliko na mimi niko huku niliko. Unaweza kunithibitishia kuwa mama yako au baba yako au mjomba... yupo?
Kumbuka sikufahamu kwa sura, hivyo na ndugu zako pia siwafahamu. Unaweza kunithibitishia kuwa ndugu zako wapo?
Sijakuekewa mkuu! Unamaanisha nini hasa?Kwa hiyo habari yako ya kusema Mungu yupo ndiyo maana watu wengi wanaamini Mungu ni pointless, siyo?
Juu hapo ameuliza roho ni nini...umesoma mpaka mwisho? Au umekurupuka tuuYupo rohoni mwako, swali la kujiuliza roho iko wapi, jibu ni nafsi isiyo onekana.
umejibu vyema sn kisa wengi wanaamin na sisi tuamin kisa sisi ni wachache basi hoja yetu haina mashiko we need the truth ukienda kanisan kila ukiuliza swali majibu wanatoa katika kitabu kilichochapishwa na binadamu na bado wakatulazimisha tuamin kile kitabu k8meandikwa na MUNGUKusema ni mimi na wenzangu wachache ndio tunaofikiria kuwa uwepo wa Mungu ni dhana ya kufikirika tu, na wengi wanaamini Mungu yupo kweli, hata kama ni kweli - which is debatable -si hoja ya msingi kimantiki.
Hii kimantiki ni logical fallacy, inaitwa "appeal to popularity".
Kwa msingi wako huo, kama Mungu yupo kweli, halafu watu wote wakakubali kwamba hayupo, Mungu atakuwa hayupo?
Unaweza kusoma zaidi hapa Appeal to Popularity
Nataka uthibitishe Mungu yupo ili uondoe mahubiri ya kiimani, hujathibitisha Mungu yupo.
Uliandika hivi.Sijakuekewa mkuu! Unamaanisha nini hasa?
Naam,umejibu vyema sn kisa wengi wanaamin na sisi tuamin kisa sisi ni wachache basi hoja yetu haina mashiko we need the truth ukienda kanisan kila ukiuliza swali majibu wanatoa katika kitabu kilichochapishwa na binadamu na bado wakatulazimisha tuamin kile kitabu k8meandikwa na MUNGU
mm npo apa mpaka uzi uishe wachawi pia mje uku waganga mje
Mkuu, nashukuru kwa ufafanuzi wako wa kisomi. Nimeelewa Sasa ulichomaanisha.Uliandika hivi.
"Ni wewe na wenzako wachache ndiyo mnaofikiria huenda suala la uwepo wa Mungu ni dhana ya kufikirika tu. Lakini wengine wote wanaamini kuwa Mungu Yupo, na wengine wameenda hata mbali zaidi kwa kuelezea jinsi walivyotendewa na Mungu maishani mwao."
Hoja ya watu wengi au wachache kumuamini Mungu katika mjadala wa kuangalia Mungu yupo au hayupo ni ya msingi au ni ya ujinga tu?
Ikiwa Mungu yupo, halafu wengi hawaamini yupo, wachache wanaamini yupo, je, hiyo idadi ya wengi wanaosema Mungu hayupo itamfanya awe hayupo?
Ikiwa Mungu hayupo, halafu wachache wanasema hayupo, wengi wanasema yupo, hao wengi wanaosema yupo watafanya Mungu awe yupo kweli kwa sababu wengi wameamini Mungu yupo?
Kwa hivyo habari nzima uliyoileta ya kusema tusioamini Mungu ni wachache, wengi sana wanaamini Mungu, ni upuuzi tu. Unakubali?Mkuu, nashukuru kwa ufafanuzi wako wa kisomi. Nimeelewa Sasa ulichomaanisha.
Ni hivi, suala la Mungu kuwepo hauamuliwi na utashi wa wanadamu. Watu wote wakikubali au kukataa, hakumwongezei wala kumpunguzia Mungu chochote. Hamtegemei mwanadamu. Mwanadamu ndiye anayemhitaji.
Mungu anaweza kuwepo pasipo mwanadamu, lakini mwanadamu hawezi kuwepo bila Mungu.
Hata kama watu wote wangedai kuwa Mungu hayupo, kusingemfanya asiwepo. Na watu wote wangeamini kuwa Yupo, kusjmgemwongezea Mungu chochote.
Wingi niliouzungumzia ni katika huu uzi tu. Wengi wa wanaofuatilia wanaamini wanaamini katika uwepo wa Mungu kuliko wanoupinga.
Na hata kama wote wangekubaliana nawe, japo isingewezekana, bado kusingemwathiri Mungu kwa namna yoyote ile.
Kiongozi, usiwe na haraka! Utapata majibu ya maswali yako.Naam,
Kitabu kimoja nimehoji ukweli wake posts #489, #490, #491, #492 na #493.
Mpaka sasa hizo posts hakuna hata moja niliyoona imejibiwa.
Nyie pia mmesema Yesu atarudi maelfu ya miaka yamepita hajarudi.Kiongozi, usiwe na haraka! Utapata majibu ya maswali yako.
Hata kama wadau wengine hawarafanya hivyo, Mimi nitalijibu, lakini kwa kutumia Bible. By saa Sita Mchana huu, naamini nitakuwa na fursa ya kufanya hivyo.
Nitaketi na Bible na kukupatia majibu unayoyatafuta.
Kuwa mvumulivu mkuu. Si unajua mambo mazuri hayahitaji haraka?
Good things are coming soon!!!