Mungu Yuko wapi?

Ukiisoma Biblia kama kitabu cha Historia, lazima utachanganyikiwa.

Lakini Biblia si Historia, Biblia ni kitabu cha mwongozo wa maisha. Kila kitu mwanadamu anachokihitaji kilo kwenye Biblia.
 
Evidence ya dunia kuwa created haimaanishi Yahweh au Allah yupo
 
🤣Biblia ni ya dini ya kikristo. Dini inayoamini Yesu Kristo ndo njia ya wokovu. Siwezi kuwa mhindu nikasoma kitabu Cha kusema Yesu Ni Mungu .. again tumia akili
Kuamini hivyo ni kuamini uongo wa Shetani anayetamani watu waamini kuwa BIBLIA ni ya dini fulani, ili tu watu wasivutiwe kuisoma na hatimaye kujua KWELI itakayowaweka huru dhidi ya uteka wake maishani mwao.

Baadhi ya Vitabu vya kwenye Biblia vilikuwepo hata kabla ya kuwepo kwa dini ya Kikristo.

Biblia si Mali ya Wakristo. Ni kitabu cha mwongozo wa maisha kwa kila mwanadamu.

Na hata kama ingekuwa ni ya dini fulani, Kuna mtu aliezuiliwa kuisoma?

Wewe visome vitabu vyote vya dini unavyovifahamu ndipo utakapokuwa kwenye nafasi ya kuhukumu kwa haki juu ya usahihi au makosa yake.
 
huu mjadala auish leo na hauna jibu la moja kwa moja inasemekana hata malaika wenyewe hawajawah kumuona MUNGU so sokution in evidence tuanzie hapo mwenye evidence yoyote mfano hai kabisa unaoashiria M7NGU upo aje hapa
 
huu mjadala auish leo na hauna jibu la moja kwa moja inasemekana hata malaika wenyewe hawajawah kumuona MUNGU so sokution in evidence tuanzie hapo mwenye evidence yoyote mfano hai kabisa unaoashiria M7NGU upo aje hapa
Watakuhubiria tu
 
Kila kitabu Cha dini ni muongozo wa kuishi binadamu... kwa Nini umechagua bible na sio Quran
 
Wewe unaona kiranga tu ndie ana la kujifunza kutoka kwako ila wewe huna la kujifunza kutoka kwake, hii mentality ya kujiona mnajua kila kitu ndiyo ilipelekea mkamtunga huyo Mungu.
Huo ni mtazamo wako.
 
So why unaforce kitu kuwa kweli afu huwezi prove...bac we ni shoga na maisha unayoishi ni ndoto na ukienda kulala ndo unaamka unagongwa na wanaume siku nzima ukilala huko ndo unaamka kwenye maisha yako ya saa hivi Ambayo ni ndoto ya real lyf. So in real lyf we ni shoga...prove me wrong
 
Why huna bible kwenye simu...u can Google bible verses za translation zote. Acha kujifanya mbabu
Kama unapenda kupata majibu kuwa na subira, unless otherwise unatamani nisiende huko hivyo unajitahidi kunikeep busy mambo mengine ili tu nisiende huko. Inawezekana huhitaji majibu ya maswali husika, lakini, pengine kuna anayehitaji. Nipeni muda, plse!
 
Haya ukirudi urudi na hoja jibu points za Kiranga zote
 
Shetani hajawahi kuwa na ubunifu. Tokea zamani hata sasa, mbinu zake ni zizo hizo, hazijabadilika.

Alitumia hiyo mbinu kwa Adamu na akafanikiwa.

Alijaribu kuitumia hiyo mbinu kwa Yesu akaangikia pua.

Alijaribu pia kwa Petro.

Na ndicho pia kinachofanyika kwako.

Nini lengo lako la kutukana?

Ninakuonea huruma kwa sababu inawezekana hujui hata kinachokufanya umtukane mtu ambaye "hajui" matusi.

Pole! Mungu akurehemu. Naamini hujui unachokifanya.
 
Kila kitabu Cha dini ni muongozo wa kuishi binadamu... kwa Nini umechagua bible na sio Quran
Ndiyo niliyoisoma. Labda na wewe ungevisoma vingine vinavyomzungumzia Mungu utujuze yatupasayo kulingana na hicho kitabu.

Na kama umeshakisoma, utudadavulie.
 
Hauoni kama umeacha kuelezea hoja ya kukosa elimu kwa waafrika kuwa ni sababu ya wao kuamini habari za Mungu na sasa unaelezea sababu ya afrika kuwa nyuma kimaendeleo?
 
🤣Story ya Adam imeibwa kutoka kwa epic of Gilgamesh na Pandora's box, story ya Jesus imeibwa from alot of gods waliozaliwa from virgins, kufanya miracles na kufufuka .. 😅nipe a good reference... Which reminds me una proof gani kuwa shetani yupo
 
Ndiyo niliyoisoma. Labda na wewe ungevisoma vingine vinavyomzungumzia Mungu utujuze yatupasayo kulingana na hicho kitabu.

Na kama umeshakisoma, utudadavulie.
Kwa Nini umechagua bible Kati ya vitabu vyote vya dini...why umeamini bible ni ya kweli na vingine vya uwongo na hata hujataka kuvisoma kujua story zao...wat if story za dini zingine ni za ukweli na kihistoria na zako za uwongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…