Mungu Yuko wapi?

Mungu Yuko wapi?

Haya kapitie urudi Anza na story ya Yesu soma gospels zote mmoja baada ya nyingine uwe unanote. Simply hata watu wangapi walikuwepo kaburini ni contradiction, Mara one man, two men, Mara 1 angel 2 angels hizi ni story za watu tofauti ndo maana Zina uwongo tu umejumuishwa. Asilimia kubwa ya atheists walikuwa watu wa dini Tena wengine washika dini kabisa. Jinsi unavyozido kufuatilia kuhusu Biblia, kuhusu historia ya kanisa, historia ya story za Biblia unagundua ni uwongo, bado hujaletewa dini za zamani zenye story sawa, huwezi kuwa na Imani hata ujiforce. Ila ukisomewa Mistari miwili na mchungaji wako ukatoa sadaka mpaka jpili ukasomewa Tena Mistari miwili ambayo ndo Ile Ile, huwezi ona ukweli wa Biblia.
Ukiisoma Biblia kama kitabu cha Historia, lazima utachanganyikiwa.

Lakini Biblia si Historia, Biblia ni kitabu cha mwongozo wa maisha. Kila kitu mwanadamu anachokihitaji kilo kwenye Biblia.
 
NIMESOMA HILI BANDIKO huku nikiwa natetemeka na wadau wengi wamekuwa wak8mkashfu jaman punguzen mihemko twende mshikaji yy anataka kumuona MUNGU

Sssa hapa naomba tumsaidie na si kumkashifu tu

iko hv kwenye kuamin kitu kipo ni mawil moja ukione au upate evidence za kuaminika mfano wanasayansi wanasema dunia inazunguka rotation na revolution mmmh amazing rotate mmmmh kwann nikiruka juu sisogei mbele wakatoa evidences zao ambazo zina mashiko na mwisho watu wakaamin ni km ile issue ya dunia ni duara ilikuja kumalizwa na kufunga mjadala baada ya satelite kutoka nje ya dunia na kupiga picha dunia sasa hv ukianzisha hoja dunia ni flat unaonekana kilaza


TURUD KWENUE MADA mkuu mm nakuelewa sn tena sana unavhokitaka zipo evidence nying ambazo zinaonesha dunia and universe was created lkn km utataka kupata iman thabit nakushauri kasomee uchawi uchawi wa kisomi pitia uzi wangu
Evidence ya dunia kuwa created haimaanishi Yahweh au Allah yupo
 
🤣Biblia ni ya dini ya kikristo. Dini inayoamini Yesu Kristo ndo njia ya wokovu. Siwezi kuwa mhindu nikasoma kitabu Cha kusema Yesu Ni Mungu .. again tumia akili
Kuamini hivyo ni kuamini uongo wa Shetani anayetamani watu waamini kuwa BIBLIA ni ya dini fulani, ili tu watu wasivutiwe kuisoma na hatimaye kujua KWELI itakayowaweka huru dhidi ya uteka wake maishani mwao.

Baadhi ya Vitabu vya kwenye Biblia vilikuwepo hata kabla ya kuwepo kwa dini ya Kikristo.

Biblia si Mali ya Wakristo. Ni kitabu cha mwongozo wa maisha kwa kila mwanadamu.

Na hata kama ingekuwa ni ya dini fulani, Kuna mtu aliezuiliwa kuisoma?

Wewe visome vitabu vyote vya dini unavyovifahamu ndipo utakapokuwa kwenye nafasi ya kuhukumu kwa haki juu ya usahihi au makosa yake.
 
huu mjadala auish leo na hauna jibu la moja kwa moja inasemekana hata malaika wenyewe hawajawah kumuona MUNGU so sokution in evidence tuanzie hapo mwenye evidence yoyote mfano hai kabisa unaoashiria M7NGU upo aje hapa
 
huu mjadala auish leo na hauna jibu la moja kwa moja inasemekana hata malaika wenyewe hawajawah kumuona MUNGU so sokution in evidence tuanzie hapo mwenye evidence yoyote mfano hai kabisa unaoashiria M7NGU upo aje hapa
Watakuhubiria tu
 
Kuamini hivyo ni kuamini uongo wa Shetani anayetamani watu waamini kuwa BIBLIA ni ya dini fulani, ili tu watu wasivutiwe kuisoma na hatimaye kujua KWELI itakayowaweka huru dhidi ya uteka wake maishani mwao.

Baadhi ya Vitabu vya kwenye Biblia vilikuwepo hata kabla ya kuwepo kwa dini ya Kikristo.

Biblia si Mali ya Wakristo. Ni kitabu cha mwongozo wa maisha kwa kila mwanadamu.

Na hata kama ingekuwa ni ya dini fulani, Kuna mtu aliezuiliwa kuisoma?

Wewe visome vitabu vyote vya dini unavyovifahamu ndipo utakapokuwa kwenye nafasi ya kuhukumu kwa haki juu ya usahihi au makosa yake.
Kila kitabu Cha dini ni muongozo wa kuishi binadamu... kwa Nini umechagua bible na sio Quran
 
Wewe unaona kiranga tu ndie ana la kujifunza kutoka kwako ila wewe huna la kujifunza kutoka kwake, hii mentality ya kujiona mnajua kila kitu ndiyo ilipelekea mkamtunga huyo Mungu.
Huo ni mtazamo wako.
 
Hata kama watu woooote wasingeamini kuwa Mungu Yupo, bado angebaki wa kuaminiwa kwa sababu yeye Mwenyewe asingeacha kujiamini.

Ujue tu Mungu hana njaa ya kuaminiwa. Lakini ukimwamini ni kwa faida yako na ukiamua kutokumwamini ni kwa hasara yako.

Your belief that I am committing fallacy cannot alter the fact that God does exist.

The fact remains fact. You can't alter.

Uwepo wa MUNGU ni KWELI ISIYOPINGIKA.

By the way, wewe uko huko uliko na mimi niko huku niliko. Unaweza kunithibitishia kuwa mama yako au baba yako au mjomba... yupo?

Kumbuka sikufahamu kwa sura, hivyo na ndugu zako pia siwafahamu. Unaweza kunithibitishia kuwa ndugu zako wapo?
So why unaforce kitu kuwa kweli afu huwezi prove...bac we ni shoga na maisha unayoishi ni ndoto na ukienda kulala ndo unaamka unagongwa na wanaume siku nzima ukilala huko ndo unaamka kwenye maisha yako ya saa hivi Ambayo ni ndoto ya real lyf. So in real lyf we ni shoga...prove me wrong
 
Why huna bible kwenye simu...u can Google bible verses za translation zote. Acha kujifanya mbabu
Kama unapenda kupata majibu kuwa na subira, unless otherwise unatamani nisiende huko hivyo unajitahidi kunikeep busy mambo mengine ili tu nisiende huko. Inawezekana huhitaji majibu ya maswali husika, lakini, pengine kuna anayehitaji. Nipeni muda, plse!
 
Kama unapenda kupata majibu kuwa na subira, unless otherwise unatamani nisiende huko hivyo unajitahidi kunikeep busy mambo mengine ili tu nisiende huko. Inawezekana huhitaji majibu ya maswali husika, lakini, pengine kuna anayehitaji. Nipeni muda, plse!
Haya ukirudi urudi na hoja jibu points za Kiranga zote
 
So why unaforce kitu kuwa kweli afu huwezi prove...bac we ni shoga na maisha unayoishi ni ndoto na ukienda kulala ndo unaamka unagongwa na wanaume siku nzima ukilala huko ndo unaamka kwenye maisha yako ya saa hivi Ambayo ni ndoto ya real lyf. So in real lyf we ni shoga...prove me wrong
Shetani hajawahi kuwa na ubunifu. Tokea zamani hata sasa, mbinu zake ni zizo hizo, hazijabadilika.

Alitumia hiyo mbinu kwa Adamu na akafanikiwa.

Alijaribu kuitumia hiyo mbinu kwa Yesu akaangikia pua.

Alijaribu pia kwa Petro.

Na ndicho pia kinachofanyika kwako.

Nini lengo lako la kutukana?

Ninakuonea huruma kwa sababu inawezekana hujui hata kinachokufanya umtukane mtu ambaye "hajui" matusi.

Pole! Mungu akurehemu. Naamini hujui unachokifanya.
 
Kila kitabu Cha dini ni muongozo wa kuishi binadamu... kwa Nini umechagua bible na sio Quran
Ndiyo niliyoisoma. Labda na wewe ungevisoma vingine vinavyomzungumzia Mungu utujuze yatupasayo kulingana na hicho kitabu.

Na kama umeshakisoma, utudadavulie.
 
Waafrika wengi wanaamini sana uchawi na supernatural powers, false and wrong things, without logical consistency, ndiyo maana kuamini Mungu, kitu cha uongo, ni rahisi.

Imani ya Mungu pia inapaliliwa na uvivu, uvivu wa kufikiri, uvivu wa kufanya kazi.Tabia ya kutaka awepo mtu au kitu zaidi yako, ambacho kina control, ukiona mambo magumu unaomba unapewa unachotaka, hii saikolojia ya uvivu inachochea sana imani ya Mungu.

Unaondoa agency na responsibility kwako, unamuweka Mungu kama the ultimate one in charge.

Hili linaelezea kwa nini jamii zinazoamini sana Mungu zina maendeleo madogo ya kiuchumi (ukiondoa bahati ya natural resources kama oil, ambayo hata hiyo sehemu nyingine kama Nigeria inakuwa mismanaged) na jamii zisizoamini Mungu sana kama Northern Europe, zikiwa hazina natural resources watu wanajiongeza kielimu na kutumia human resources, na kwenye natural resources recently kama Norway, watu wamejipanga vizuri kuzitumia sio kupata utajiri tu, bali hata kuongeza quality of life, mambo kama elimu na afya vizuri.

Watu wamekaa chini wakajua hakuna Mungu, tunachotaka tutakifanyia kazi wenyewe, tutavumbua vitu, tutatatua matatizo yetu wenyewe.

Hii ni moja ya sababu wenzetu wanagundua vitu, sisi tunakuwa watumiaji tu. Wakati wenzetu wanatafuta chanjo za magonjwa, sisi tunakimbilia kuomba Mungu, a waste of time and energy.

Hao wenzetu wa Northern Europe washaona hizo imani za supernatural powers ni ujinga, zimebaki kwenye hadithi tu.Wanachunguza mambo kimantiki, kisayansi.

Sehemu ya pili ya post yako nimeijibu katika post number 469.
Hauoni kama umeacha kuelezea hoja ya kukosa elimu kwa waafrika kuwa ni sababu ya wao kuamini habari za Mungu na sasa unaelezea sababu ya afrika kuwa nyuma kimaendeleo?
 
Shetani hajawahi kuwa na ubunifu. Tokea zamani hata sasa, mbinu zake ni zizo hizo, hazijabadilika.

Alitumia hiyo mbinu kwa Adamu na akafanikiwa.

Alijaribu kuitumia hiyo mbinu kwa Yesu akaangikia pua.

Alijaribu pia kwa Petro.

Na ndicho pia kinachofanyika kwako.

Nini lengo lako la kutukana?

Ninakuonea huruma kwa sababu inawezekana hujui hata kinachokufanya umtukane mtu ambaye "hajui" matusi.

Pole! Mungu akurehemu. Naamini hujui unachokifanya.
🤣Story ya Adam imeibwa kutoka kwa epic of Gilgamesh na Pandora's box, story ya Jesus imeibwa from alot of gods waliozaliwa from virgins, kufanya miracles na kufufuka .. 😅nipe a good reference... Which reminds me una proof gani kuwa shetani yupo
 
Ndiyo niliyoisoma. Labda na wewe ungevisoma vingine vinavyomzungumzia Mungu utujuze yatupasayo kulingana na hicho kitabu.

Na kama umeshakisoma, utudadavulie.
Kwa Nini umechagua bible Kati ya vitabu vyote vya dini...why umeamini bible ni ya kweli na vingine vya uwongo na hata hujataka kuvisoma kujua story zao...wat if story za dini zingine ni za ukweli na kihistoria na zako za uwongo
 
Back
Top Bottom