Sababu sio kutokujua Biology tena?Sababu ni zile zile uoga au kuaminishwa tokea utotoni na mazingira uliyokulia,
Ndo sample ya watu walioendeleaHalafu katika jamii zote hizi duniani mifano yenu ni kwa wazungu tu.
So kama hujui nani rais wa samoa islands jibu lake ni Mungu mpaka ujue rais ni nani ndo halitokuwa Mungu, so kazi ya Mungu inapungua kutokana na ujuzi wa vituSjasema ni ya mungu ila hyo nguvu waliipa jina la Mungu , ni namna tu ya utambulisho.
Asili ndio Mungu tatzo unataka nimzungumzie wa vitabu vya dini wakati mimi sipo huko kbsa, hizo ni imani za watu wala sina shida nazo.So kama hujui nani rais wa samoa islands jibu lake ni Mungu mpaka ujue rais ni nani ndo halitokuwa Mungu, so kazi ya Mungu inapungua kutokana na ujuzi wa vitu
Ndio hata huko kwa wazungu wenye elimu na maendeleo pia wapo wenye kuamini Miujiza,uchawi,malaika na majini.Sio waarabu wote matajiri, Kuna nchi uarabuni Kama Lebanon, Jordan, Yemen, west bank, Libya ni maskini, waarabu sio Dubai tu
Why matukio ya hivi hayawezi kuwa video recorded, ni coz ni illusion na hallucinations za akili, mi Nikisema nimeona tembo anapaa usiku haitamaanisha kuwa kweli hata tukiwa ishirini, Fatima Portugal watu 3000 waliona jua linacheza cheza sijui malaika wanaimba Ila ni kweli Hilo tukio lilitokea, hujiulizi why kitu muone watu wachache katika mazingira fulani halafu wengine wa mazingira mengine yasitokee kabisa. Kuona sio kila kitu, camera Ina accuracy kubwa kuliko macho, recorder Ina accuracy kubwa kuliko maskio coz haviwi affected na psychology mazingira uoga aibu hasira ujinga na pia utamaduni. Ndo maana utaskia story sijui huyu kaona Nini, wazungu Wana camera mpaka barabarani mbona vitu vya ajabu havirekodiwiHayo mambo yapo. Shetani yupo, na Mungu Yupo, lakini Mungu anao uweza wote.
Wanaobisha ni kwa sababu ama hawajahusishwa kukutana na hayo mazingits au wanakusudia kufanya hivyo kwa lengo la kuwapotosha wasio na ufahamu sahihi.
Matukio ya kishirikina na ya Mungu pia yanafahamika kote duniani, kuanzia Afrika, Ulaya, Amerika na Asia, n.k.
Kipindi Magufuli akiwa Rais, alisimulia tukio lililotokea alipokuwa Waziri wa Ujenzi. Kulikuwa na ujenzi wa daraja pande za Sumbawanga ambapo kila daraja liliposetiwa, setting ilibadilika tofauti na ilivyosetiwa. Tukio hilo liliwafanya maingeneer kuogopa kuendelea na kazi maeneo hayo, ikabidi Magufuli na baadhi ya viongozi kwenda kuonana na wazee wa huo ukanda, na baada ya kufuata masharti yao, ndipo zoezi lilipoweza kuendelea.
Ushirikina upo, na Mungu yupo. Ni wazi kuwa kilichokuwa kikiwakwamisha hao mainjinia ni nguvu za giza, na tatizo likatatuliwa kwa nguvu za giza vile vile.
Mwaka fulani, tulienda Singida na timu ya watu kadhaa kwa jambo fulani. Tukiwa tumelala Usiku kwenye chumba tulichokifikia ambapo tulikuwa tukikitumia kama kambi, huku mlango ukiwa umefungwa, nilimshuhudia mtu akiwa ameingia ndani na kuanza kutembea taratibu kuelekea tulikolala. Mlango ulikuwa umefungwa, lakini aliweza kuingia ndani bila mlango kufunguliwa.
Nilinyanyuka na kukaa kitandani kwa muda nikimtazamza, lakini bila hofu hata kidogo. Baada ya muda, nilimpuuzia kwa kusema "SHAURI ZAKE". nikalala kama hakuna kilichotokea.
Muda mfupi baadaye, mmoja wetu alipaza sauti, "KWA JINA LA YESU", kisha karibia wote tukaangua kicheko.
Kumbe nao pia walimwona lakini wakaamua kumpuuzia. Mpaka alipokuwa amekaribia kabisa tulikolala, karibia wote walikuwa wamemwona. Lakini baada ya kutamkiwa, "KATIKA JINA LA YESU", alitoweka.
Sasa mtu mwingine anaweza asiamini kwamba kuna ushirikina kwa vile tu, labda hajakutana na hiyo changamoto. Mtu anawezaje kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa mlango?
Uchawi upo, na nguvu za Mungu zipo, lakini nguvu za Mungu zina nguvu zaidi kuliko nguvu zingine zozote.
Faith is belief in absence of evidence, unaamini bila kuonaKwahiyo hiyo tafsiri ya imani ni kuamini bila uthibitisho umeitoa google? Mimi sijaiona huko google nipe link, halafu nipe na mifano ya kuamini kwa uthibitisho.
Wanasema kuna Mungu wanaamini hivyo inajulikana ni imani, wewe unasema(sio imani) hakuna Mungu na kama yupo tukupe uthibitisho.
Nilidhani Utaniambia bongo watu wanatibiwa maradhi yao sana kwa waganga kuliko na madaktari huko hospitali.Waganga wa kienyeji wapo wengi bongo kuliko ulaya, so huwezi prove chochote
1. Hujawahi panda basi lingine huwezi sema lako tu ndo zuri wakati wengine wamepanda mengine na wamefika.Ulishawahi kusafiri kwa basi toka Dar hadi Mwanza, au kwingineko ambako ilikuwa ni safari ya mbali? Labda ilikuwa ni safari yako ya kwanza kwenye hiyo route, ulipotea kwa vile hujawahi kuipita?
Naamini hukupotea. Na sababu ni kwa vile ulipanda gari sahihi. Haikukusumbuka kufika mkoa ulioulenga kwa vile ulipanda gari linaloenda huko.
Biblia haijakosea hata kitu kimoja. Biblia ni gari la maisha. Ukikaa nje yake hautaelewa kulivyo kwa ndani, wala inakoweza kukufikisha.
Neno la Mungu ni NJIA YA KWELI NA UZIMA. Kila aipitaye hiyo Njia hawezi kupotea.
Kama unataka kuifahamu, ingia ndani. Panda, itakfikisha unakopaswa kufika.
Nimelionja NENO la Mungu, najua lilivyo na ladha nzuri na afya Bora. Hakuna wa kunidanganya kuhusu uhai Wake.
Najua BIBLIA ilikonitoa, najua ilivyonisaidoa na hata sasa inavyonisaidia. Najua ilikonivusha baada ya kila kitu kushindwa, ikiwemo degree yangu na ya walionizidi kwa Elimu.
Sasa kwa nini nikisome kitabu kingine, wakati hiki nilichojiridhisha kuwa kinanisaidia kuliko kitabu kingine chochote nilichowahi kukisoma, bado sijala vya kutosha?
Vingine naweza kuvisoma nikipata muda, lakini acha niendelee kuibugia kwanza Biblia.
Kila kitu unacho kiona kina asili ,mara nyingi chanzo chaweza kuwa asili japo sio kila chanzo ni asili , katika asili ya uhai ipo nguvu ifanyayo uhai uwepo , pia tambua nguvu ina asili yakufanya badiliko la kiumbo kma maji yavyoweza kuganda ,mvuke na kimiminika , tabia hii huwa inajirudia rudia kutegemeana na hali fulani.So kama hujui nani rais wa samoa islands jibu lake ni Mungu mpaka ujue rais ni nani ndo halitokuwa Mungu, so kazi ya Mungu inapungua kutokana na ujuzi wa vitu
So why unaamini Mungu kwa faida ganiAsili ndio Mungu tatzo unataka nimzungumzie wa vitabu vya dini wakati mimi sipo huko kbsa, hizo ni imani za watu wala sina shida nazo.
Sasa mbona ulisema katokea sijui jangwani huko na hajanitokea mimi ikiwa kumbe ni suala la yeyote tu anaweza kuamua kuota ametokewa naye?Coz hayupo ndo maana, Ila ubongo wangu ungeamua kumuota ningesema kanitokea, si ka watu wanaotokewa na Bikra maria chumbani, Kama we sio mkatoliki huwezi tokewa nae why asa, it shows ni mind imeamua kuamini na kutengeneza thoughts za Mungu Ila sio reality
Sipaswi kuamini mkuu napaswa kujua .So why unaamini Mungu kwa faida gani
Wakristo Wana kisingizio ukiamini tu Mungu yupo na story za Yesu na ukatubu unaingia peponi, so uoga wa kwenda Motoni kwa kutoamini story za bibliaSababu sio kutokujua Biology tena?
Uoga upi unazungumzia? Maana kama issue ya moto mbona wanafanya yaliyokatazwa na wanajua kuwa ukifanya hivyo kuna moto? Sasa uoga upi tena?
Suala la mazingira hata huko kwa wasioamini Mungu na uchawi pia linahusika, kama watoto wanakulia malezi ambayo wazazi hawaamini Mungu ni kawaida nao kutoamini Mungu hata kama hawana elimu.
Basi akinitokea nitamwaminiSasa mbona ulisema katokea sijui jangwani huko na hajanitokea mimi ikiwa kumbe ni suala la yeyote tu anaweza kuamua kuota ametokewa naye?
Why unapaswa ujue?Sipaswi kuamini mkuu napaswa kujua .
Kwa sababu nikijua sina sababu ya kuaminishwa,pia sina sababu yakuogopa chochote .Why unapaswa ujue?
Kwani Mimi naogopa Nini mtu asiyeamini Mungu anaogopa niniKwa sababu nikijua sina sababu ya kuaminishwa,pia sina sababu yakuogopa chochote .
Imani hailazimishwi pia nilisema kuna sababu za kuamini, ila wewe unakimbilia uthibitisho kama silaha na kinga kwa dhana ya kwamba huyu nikimwambia uthibitisho hawezi kutoa hivyo inakuwa nachokisema mimi ndio sahihi na yeye hata atoe hoja gani siikubali kwa sababu hawezi kuthibitisha inakuwa ni uongo.Siogopi Mimi, nikikuambia mama Ako kafa lakini we unamwona afu nakuambia we unaona yupo coz huamini Kama hayupo, we si utaniona chizi, lakini comes to God ambae hamna mtu Ashawahi kumwona Ila tunaambiwa yupo
Haya nipe mfano wa kuamini kwa uthibitisho.Faith is belief in absence of evidence, unaamini bila kuona