Mungu Yupo: Majibu kwa Wasioamini

Status
Not open for further replies.
Nani anayetakiwa kuthibitisha kisichokuwepo? Anayesema kuwa kipo au anayesema kuwa hakipo? Mimi nimesema Juma hayupo, wewe umesema yupo halafu unaniambia niprove kwamba Juma hayupo!..THATS INSANE, kama unajua Juma yupo call him out ili nimwone.

MIMI NASEMA NAJUA WEWE HUNA AKILI KABISA,KAMA WEWE UNASEMA UNAZO LETA UTHIBITISHO WAKO HAPA WATU WAUSOME, Vinginevyo kubaliana nami kwamba ni kweli huna AKILI. nje ya hpo ni INSANITY
 
MIMI NASEMA NAJUA WEWE HUNA AKILI KABISA,KAMA WEWE UNASEMA UNAZO LETA UTHIBITISHO WAKO HAPA WATU WAUSOME, Vinginevyo kubaliana nami kwamba ni kweli huna AKILI. nje ya hpo ni INSANITY

hahaaa, naona unarudia, vp umeishiwa?..tafuta ule uzi mwingine mliouliza hilo swali nikajibu mkafyata!
 

Zee la kukariri unajidhalilisha japo wafuasi wako hawakuoni, kuna swali unasema hakuna anayekujibu, Problem of EVILS ukiulizwa nini maana ya EVILS na nini kipimo chake, unasema rejea Biblia. MZIMA MUKICHWA WEWE ?
 
Duh nikimaliza kusoma hili gazeti la mzalendo mwezi ujao ndo ntakujibu
 

Komputer nayotumia mimi imetengenezwa na binadamu, labda wewe mwenzangu yako imeshushwa kutoka mbinguni; lakini nitashangaa kwa maana yesu akija hapa leo nikamkabidhi hawezi hata kusogeza kipanya....bwahahahahhah!
 

Mungu anaelezeka Logically and scientifically, lakini kwa watu wenye akili, wewe huna akili,umeelezwa kuhusu Mungu huwezi kuelewa kwa kuwa huna akili,kwa sababu huna akili kazi yako ni kuuliza maswali hata ambayo tayari umejibiwa,sababu HUNA AKILI.
KAMA UNAZO AKILI TOA USHAHIDI.
 
Komputer nayotumia mimi imetengenezwa na binadamu, labda wewe mwenzangu yako imeshushwa kutoka mbinguni; lakini nitashangaa kwa maana yesu akija hapa leo nikamkabidhi hawezi hata kusogeza kipanya....bwahahahahhah!
Nilianzisha mjadala huu baada ya ule wa kwanza kuvurugwa.
Tafadhali nawasihi tusiharibu mjadala. Tuabaki na mada husika.
Kama mizaha basi mnaonaje mkaifanya kwenye uzi ule. Tubaki tu kwenye mada.
Pia mnaweza kutofautiana bila kutukanana, hiyo ndiyo maturity!
 
MIMI NASEMA NAJUA WEWE HUNA AKILI KABISA,KAMA WEWE UNASEMA UNAZO LETA UTHIBITISHO WAKO HAPA WATU WAUSOME, Vinginevyo kubaliana nami kwamba ni kweli huna AKILI. nje ya hpo ni INSANITY
H1N1 Please stop these silly rhetorics.
You are killing the thread!
Stick to the topic and respect each other!
 
Last edited by a moderator:

Chanjo iliumbwa na Bill Gates au ? we mzee wa kukariri norma, Chanjo na wachwanjwaji ni mali ya Mungu, hata ufahamu wa watengeneza chanzo wenzio twajua ni mali ya Mungu hata kama wao hawajui, japo najua wao wanajua kwa kuwa wlikuwa creative thinkers, hawakuwa mabingwa wa Kukariri.
 

lmao.sina shaka na wewe kaka...nilikuwa najaribu tu kumtisha mwanafilosofia aliyebobea Kiranga ili kuchangamsha jukwaa.naona "mnakasha" umefika patamu.nawasoma via 3D shade.acha nirejee ktk jukwaa la mashabiki.
 
Last edited by a moderator:
Komputer nayotumia mimi imetengenezwa na binadamu, labda wewe mwenzangu yako imeshushwa kutoka mbinguni; lakini nitashangaa kwa maana yesu akija hapa leo nikamkabidhi hawezi hata kusogeza kipanya....bwahahahahhah!

Kama unaweza kuhoji uwezo wa YESU ambaye aliishi dunia hii ambayo wewe na mimi tunaishi,alifanya mambo ambayo hakuna anayeyapinga kwamba si ya kawaida, YESU ni level nyingine ni binadam mwenye kiwango cha juu sana cha Upumba.vu awezaye kumshusha hadhi kwamba hataweza kusogeza kipanya akipewe PC.Pole mkuu wangu.
 

Sawa mkuu, unajua mtu akija kama uji unaandaa bakuli, akija kama mchuzi unaandaa tonge; back to topic!
 
Mungu yupo naye ni rojo na kwa sababu hiuo haonekani kwa macho haya ya nyama na damu. Kwa hiyo wote wanaotaka kumwabudu hufanya hivyo katika roho na kweli. Napenda vilevile kusema kuwa kwa kuwa haya ni mambo ya rohoni hujulikana na watu wa rohoni. Mwisho kabisa ni kwamba hata kama kuna watu wasioamini haibadilishi cho chote kwa kuwa yeye anadumu wa kuaminiwa na baada ya maisha haya katika miili hii ya nyama na damu jiandae kukutana naye katika mwili wa roho. Naomba Mungu awajalie hekima na ufunuo wa roho.
 
H1N1 Please stop these silly rhetorics.
You are killing the thread!
Stick to the topic and respect each other!

Pole kwa kushindwa kudecode andiko langu, wanasema ''Mungu hayupo'', jukumu la kuthibitisha kwamba yupo ni la yule anayesema yupo, wanataka ushahidi yakinifu, sawa. kwa mantiki hiyo hiyo nasema fulani hana akili, jukumu la kuthibitisha kwamba anazo akili ni la kwake anaesema anazo na atoe ushahidi yakinifu kuthibitisha. Sikumaanisha kutukana kwamba mtu hana akili, bali nataka nijue jinsi ambavyo hawa wataalamu wa Sayasni wanavyuoweza kutoa ushshidi usio shaka kuthibitisha vilivyopo huku havionekani ? tusi liko wapi hapo ?
 

Tunaongea fact! Kama akili yako iko vizuri hebu niambie kama kuna mtu mmoja wa enzi za yesu anayeweza kusogeza kipanya cha pc akitokea duniani leo hii! Nadhani tatizo lako umejikita kusoma kwenye kitabu kimoja, enzi za yesu kulikuwa na wengi wenye kutenda miujiza kama yeye, hata leo hii kuna watu wenye kutembea juu ya maji, unasemaje kuhusu hilo?
Jadili kwa upole acha jazba na matusi, WEWE NI MTU WA "MUNGU"!!
 

decent language. hiyo ndiyo concern yangu ndugu yangu. only that. kumwambia mtu hana akili haisound kiungwana.
 

Yesu yuko mbele sana kwenye technologia iliyopo, ni YEYE YULE,JANA,LEO na HATA MILELE, nani hao wanaotembea juu ya maji mkuu ? Sina jazba,lakini unapoleta hoja zisizo na TBS kwa na kujiweka nawe GT hapo ndipo unafikiri ni jazba wakati unarudishwa kwenye mstari.
 
H1N1 wee mtu mbaya sana,huna huruma hata kidogo na hizi ribs zangu...hayo makonzi ulokuja nayo yamenifanya nicheke sana kiasi shemeji yako ananataka kunipora haka ka smartphone kangu ka mchina.punguza kidogo mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…