Mungu Yupo: Majibu kwa Wasioamini

Status
Not open for further replies.

Sitaki imani, nataka kujua.
 
Kiranga tunasubiri ufafanuzi wako kwa swali hili toka kwa Stefano Mtangoo -"Why should things be uniform in random universe where things just run themselves through chance?"
 

Hii hapa chini naona ilikupita. Naomba ufungue thread juu ya hilo. Mada tunayoongelea hapa iko wazi na pwenti zangu ziko wazi.
Kama tatizo lako ni kuwa huielewi biblia au unadhani kuna vitu viko hivi au vile then hicho ni kitu kingine. maswal yako ni marahisi sana lakini sitayajibu kuweka focus kwnye mada husika.

Kwa mara nyingine hujajibu hoja zangu na hivyo ukweli unabaki kuwa Kukana kwenu Mungu ni dini na wala haina uhusiano na sayansi wala mantiki. Mkiri hivyo na mwende kifua mbele kuwa hii ni dini na sio kujificha nyuma ya sayansi na mantiki ambazo hazikubaliani na tamko lenu la imani kuwa "Hakuna Mungu"

 
Kwamba kutokuwepo Mungu ni imani kama Uwepo wa Mwenyezi Mungu.

Hujajieleza vizuri.

Kutokuwepo kwa mungu, kama hayupo kweli, hakuwezi kuwa imani tu.

Labda uweke maneno yako vizuri, maana mambo mengine ni magumu kuyaelezea kwa sababu yanataka discipline kubwa katika maelezo.

Halafu waamini hawajanijibu kuhusu "problem of evil" bado.

Kama mungu mjuzi wa yote, muweza yote na mwenye upendo mkuu kauumba ulimwengu huu.

Kwa nini ameuumba ukiwa na mabaya mengi sana kwa viumbe wake? Kwa nini kakubali ulimwengu uruhusu watoto kuzaliwa na vilema kwa mfano?

Sijapata jibu la swali hili bado.
 
Give it another name, this is not what uniformity is. uniformity is well clarified in my post. So read it again!


Umekosa kitu cha msingi hapa, acha nikusaidie. Upendo una maana ya chaguo. Ukioa (kama bado) utajua kuwa mke wako atakuwa ana chaguo la kufanya chochote, ikiwemo kukuacha wewe. Haya yote yamo ndani ya chaguo. Na akiisha kuchagua, madhara ya chaguo yanafuata. Hivi sio vitisho, ila ni madhara ya kimantiki kabisa ya chaguo husika. akikuacha kuna vitu atapoteza pia kama madhara ya chaguo lake.

Mfano rahisi kabisa huu nakupa. Una chaguo la kuruka toka ghorofa ya 17 PPF towers kama ukiataka au unaweza usiruke. lakini once ukiruka, madhara yake hayakwepeki. Huwezi sema "law of Gravity" inakutishia... la!

Next time usitumie mifano isiyoendana. Mfano uliotoa hauna moral implication a unaulinganisha na kitu ambacho kina moral implications. Absurd example!


Simple! Mungu aliyeona na kujua kabla hayajatokea unayoeleza hapo juu ndiye aliyesema haitatokea. Na kwa kuwa anajua yote, "I rest assured". Wewe kwa upande wako huna cha kuegemea ila kutegemea bahati nasibu. Haua assurance yeyote kwa kuwa utupu hautegemewi.... you are doomed!

What you are talking about is going in circle not uniformity. I cannot believe you do not understand what it is even after writing it in simple manner. Go and read it again!


God who knows all have settled this issue once for all. Amesema hakutakuwa na uove tena baada ya dunia hii na mbingu hizi kupita. So you either trust Him or trust your limited thinking that ends no where. There is no other choice there. Sasa unataka Mungu aandae mpango wa kitu ambacho hakitatokea? What for? God is best at economics 🙂



Mfano wako uko na matatizo lukuki. Nitakuelewesha kitu ambacho aidha hukijui au umefumbia macho. Mungu sio mwalimu wa sanaa,. Mungu ni Mfalme wa Ulimwengu na Hakimu wa Ulimwengu huu. Mungu ni mmiliki halali wa watu wote, mimi wewe na yule.

Akiwa kama mfalme ana haki ya kuamua chochote. Akiwa kama hakimu ana mamlaka ya kuhukumu wote bila kujali anamwamini au la. Na akiwa kama mmiliki ana mamlaka ya kufanya chochote na mali zake. Sheta si mfalme bali mi kiumbe chini ya Mfalme. Shetani si hakimu bali mhalifu, na wafuasi wake ni waasi, wahalifu tu. Shetani hana anachomiliki bali ni mwizi. Kumlinganisha shetani na Mungu ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu sana!



Hapa basically kuna maswali mawili tu: Moja kwa Mungu hakuna kitu kama Wengi wape. Mungu sio Kaisari wa Rumi na mambo ya "vox populi, vox dei". Kwa Mungu hata wote tukaamua dhambi ni sawa kwake itabaki kuwa dhambi na wote tutahukumiwa tu!

Pili, hizo assumption zako sio kitu ambacho Biblia inafundisha. na kwa kuwa ni tatizo la kutafsiri vibaya, sitaendelea zaidi. kama unataka kujua nini hasa Biblia inasema, fungua uzi wake. uzi huu una malengo na sio "one stop" ya mambo yote ya Biblia. Stick to the topic



Waoo! Asante kwa kuhakikisha nilichosema ktk post yangu ya kwanza. Ya kuwa ninyi watu hamna ushahidi wowote wa kupinga uwepo wa Mungu, uwe wa kisayansi au kimantiki. Ila imani katika dini yenu ya "hakuna Mungu". Imani hii imewafanya mshindwe kabisa kufikiri sawasawa kwa hofu ya kukiuka misingi ya dini yenu hii na hivyo kutumia "rhetorics" kama kichaka cha kujificha.

Rudi katika uzi na ujibu hoja za msingi sana hizi. Kumbuka issue kubwa hapa ni kuwa Mungu yupo na kuna implications zake kama utamwamini na zawadi yake ya Wokovu au utamkataa. Kwa hiyo the bottom line is not arguments but consequencces of the choice....choose carefully!
 
The problem of evil remain unanswered.

I need not go further until this problem is solved.
 
Kiranga tunasubiri ufafanuzi wako kwa swali hili toka kwa Stefano Mtangoo -"Why should things be uniform in random universe where things just run themselves through chance?"

What is uniform? Which things are uniform? How big is the universe? How much of it have you observed? How much of it is observable?

Mimi sijajibiwa swali langu pia.

Kama mungu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu uliojaa maovu?

Kwa nini karuhusu viumbe wake wateseke? Watoto wazaliwe na vilema?
 
Halafu waamini hawajanijibu kuhusu "problem of evil" bado
What is evil in the world where there is no standard to differentiate good from evil?
Are you saying you have standards?
What are they?
Who sets them?
By what authority?

Huwezi sema kuhusu mabaya na ilhali katika dini unayoamini ya "hakuna Mungu" hakuna jema wala baya.
Lazima ukubaliane uwepo wa Mungu ndipo uhoji habari ya maovu. Vinginevyo swali lako linakosa mantiki yeyote!

 
The problem of evil remain unanswered.

I need not go further until this problem is solved.
Whooa! Thanks for proving my point, that you atheist do things by faith, blind faith actually!
You have not answered any of posed question and you keep singing problem of evil.

Evil and good have to be differentiated under a basis and the basis must transcend humans if that basis is to be honored and enforced to humans. And that basis must come from a Being, transcendent and Personal. You deny the being and there by you loose the basis and so in your religion of No God there is no such thing as good nor evil.

That being said what is your question?
 
What is evil in the world where there is no standard to differentiate good from evil?
Are you saying you have standards?
What are they?
Who sets them?
By what authority?

For the sake of argument, let's use your very god and his ten commandments.

Anawaambia watu "usiue". Let's say kuua ni an evil thing. Kwa nini yeye kaumba ulimwengu ambao kifo kinawezekana? Kwa nini anampa mama ujauzito halafu mtoto anakufa stillborn? Kwa nini mungu anaruhusu kifo?

Huwezi sema kuhusu mabaya na ilhali katika dini unayoamini ya "hakuna Mungu"

Mimi sitaki kuamini, ndiyo maana nauliza maswali. Ningetaka kuamini nisingeuliza maswali.

hakuna jema wala baya.

Kuna secular humanists wana standards nzuri tu za mema na mabaya. Kuliko za waumini. Wanafanya hata bila kutumaini ahadi ya pepo wala kuogopa moto.

Kuna watu kibao Asia hawaamini kwamba mungu yupo na hilo halisababishi wafanye maovu zaidi.

Na kuna watu wapo na vyeo vikubwa vya kanisa, lakini wanafanya maovu kila siku. Wanalawiti watoto na kukwiba hela.

Kwa hiyo usitake kusema imani ya mungu ndiyo ina monopoly ya kufanya mema.

Lazima ukubaliane uwepo wa Mungu ndipo uhoji habari ya maovu. Vinginevyo swali lako linakosa mantiki yeyote!

Suppose a all powerful, all knowing and all loving god is there, for the sake of argument, why did he create a world with so much evil?

Alikuwa hawezi kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Alikuwa hawezi kuumba ulimwengu ambao mtoto hawezi kuzaliwa na kilema?
 

Which posed questions, can you point to the specific post?

Some questions have been answered umpteen times hapa, labda wewe umekuja jana hujaona majibu.

Nipe exact post number niangalie kama unataka input yangu.

Ukija na maswali ya "argument from design" tulishayararua kitambo hapa.
 
Well well!
My post have claims and I back the claims. Do you agree with me?
If not then you need to refute them! You have not done so.

Here are the claims:
Kifupi katika uzi huu nimelenga kuonesha kuwa:

  1. Wakristo na wasioamini Mungu wa biblia wote wanafanya haya kwa imani
  2. Imani katika Mungu wa Biblia ni "sound and solid" na inakubaliana na sayansi asilimia zote
  3. Imani ya hawa wandugu ni ya upofu, inayopingana na sayansi na mantiki kwa namna zote

So you have the ball in your court, play it (with all who take no God position of course)
 
Stefano Mtangoo,Nungu akubariki sana kwa somo zuri na lenye mafundisho makubwa sana,nimejifunza kitu kwako mkuu

Labda tu kwa tahadhari ni kwamba huyo jamaa ni mbishi tu ana kawaida ya kuimba nyimbo ambazo tayari zimeshajibiwa,tayari hapo juu nimeshaona ameanza mambo yake wakati majibu na maswali ambayo alitakiwa ajibu yapo kwenye mada

Pia kuna wale wengine wanaofuata mkumbo wa huyo jamaa nao hao wana vichekesho vyao
Mtu anakuja na kusema "mtu ameshasema anaamini basi sina swali zaidi,mimi nataka kujua sitaki kuamini" mtu kama huyu sijui utamuweka kundi gani

Ukimuuliza huko kusema "Mungu hayupo" ni nini?
Ujuzi au kitu gani hakujibu,anabaki anazunguka tuu bila kutoa majibu

Wakaaa kuimba wimbo problem of evil bila kujua hata huko kusema evil ni kutokana na utambuzi wao wa evil na ni matokeo ya kuwepo sheria na hata huyo aliyeweka hizo sheria hawamjui,sijui wanakananje kuwa hiyo nayo sio Imani

Mkuu ngoja niwe mtazamaji kwa sasa maana naona hawa unawatosha kabisa

Ubarikiwe kwa baraka za Mungu wetu mwenye upendo usiopimika!
 
Last edited by a moderator:
Kitu gani umejifunza, labda wengine tumekimiss, please do share.

Mkulima,ulishindwa kuchomoka kwenye ile mada nyingine
Unadhani na hii utachomoka?

Zile mbinu zako za kuondoka na kurudi kuuliza maswali yaleyale ambayo yameshajibiwa hapa hazina mashiko
Jibu swali kisha uulize swali

Kazi yangu hapa ni kukukagua tu,ukijidai hamnazo umeisha!
Tunasubiri majibu!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…