mtoa mada umeonesha madhaifu mengi na mapungufu japo umejitahidi kuandika mambo mengi.
kwanza kitendo cha kusema mungu wa biblia hapo ushawatenga watu wa madhehebu mengi na ni ubifsi tayari,kuna wahindi wanaabudu ng,ombe na huwaambiei kitu.acha waislam ambao hayamtambui mungu wenu mmoja wapo ,,yesu,,
kutoa vifungu kwenye bible ni kuonesha udhaifu kwamba unajadili kitu kwa refaa maandiko ambayo unajua waz yana mapungufu mengi na kiranga alisha yatoa humu sina haja ya kuyarudi
umeshindwa kutoa ufafanuzi mzuri kuhusu mungu wako huyo,mfano kwa nn anapendelea baadhi ya watu??,mfano hafithi za taifa teule,kuuwawa kwa watu zaidi ya bilion mbili wakati wa safar ya waizrael kutoka misri!!,,
Ile story maarufu ya uumbaji haina mashiko kwa sababu ni hadithi ya kutunga.
sasa naomba ujibu maswali hay
1.kwa nn biblia inaitwa kitabu kitakatifu?utakatifu wake ni upi hasa.??
2.Huoni kwamba uumbaji ni hadithi ya kutunga ambayo baadhi wa wasomi wa zamabi walikaa na kuandika jinsi walivokuwa wanahisi??
3.Ilikuwaje mungu akawaamuru waizrael waue kila kiumbe hata watoto namifugo katika safar yao ya kurudi kwao ??
4,Biblia inamaana gani inaposema na zibalikiwe koo 12 za wana wa izrael??na pia inamaana gan inaposema watu wa mataifa??
5.Una uhakika gani na story ya ufufuo wa yesu ??,huoni kwamba ni hadithi iliyobuniwa na mtume paul baada ya kufikiri kwamba haiwezekani asifufuke??,na kwa nn hadithi yak ufufka yesu haimo katika habar za vitabu vya zaman japo hadithi za yesu zimo na anaelezewa kama mwanaharakati??
6.Nini maana ya dogma katika ukristu,naje unaamini katika dini zingine kama uislam ?,
7asili ya mungu ni nn ??na unauhakika gani na unachokiamini??,na kwa nn dini yako inapinga uvumbuzi na sayansi na kwa nn walitaka kumuua mgunduz aliyesema dunia ni duara??,
8.Huon kwamba biblia inadanganya inaposema joshua akaona jua linazama kwenye matope!!,kisha akamuimva mungu asimamishe jua lisizunguke dunia ili awashinde wafilupino??,na je mungu alipomwambia kain
kwamba na watu wakikuona wasikuuu,na jeyote atakae kulaani nitlaani!!!..ni akina nani hao nakati dunia ilikuwa na watu watatu baada ya abel kufariki??