Mungu Yupo: Majibu kwa Wasioamini

Mungu Yupo: Majibu kwa Wasioamini

Status
Not open for further replies.
Ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!
@HINI , JingalaFalsafa , String Theorist watu8 njooni huku mtu anaadhibiwa vibaya!

Kwa mara ya kwanza niliuona huu mjadala jana usiku nikiwa naelekea kulala...kwa wakati huo sikupata kusoma vizuri labda leo ngoja nitenge muda nisome kila comment.

Mijadala kama hii ya uwepo wa Mungu (Mungu Muumbaji) imeshaendeshwa sana kwa njia ya majibizano baina ya wanazuoni wa imani na wale wasio na imani.

Katika ufuatiliaji wangu mijadala mingi ya namna hiyo, falsafa wazielezeazo wale wasio na imani mara zote zimekosa mashiko na wamekuwa waiishia kushindwa tu.

Ngoja kama nikifanikiwa kuipata makala fulani kuna mwaka wakati ndio intaneti zinaingia huku kwetu ilipata kuwekwa mtandaoni, nikifanikiwa kuipata nitaweka baadhi ya vipengele tatanishi na majibu yake.

Shukrani.
 
Give it another name, this is not what uniformity is. uniformity is well clarified in my post. So read it again!
I don't have time to read it again as you as well missed what I meant! Umeshindwa kujibu hoja, name nakuambia rejea andiko langu usome tena kwa makini, usipoelewa basi kariri maana nayo ni njia ya kuelewa!


Umekosa kitu cha msingi hapa, acha nikusaidie. Upendo una maana ya chaguo. Ukioa (kama bado) utajua kuwa mke wako atakuwa ana chaguo la kufanya chochote, ikiwemo kukuacha wewe. Haya yote yamo ndani ya chaguo. Na akiisha kuchagua, madhara ya chaguo yanafuata. Hivi sio vitisho, ila ni madhara ya kimantiki kabisa ya chaguo husika. akikuacha kuna vitu atapoteza pia kama madhara ya chaguo lake. Nani anaset hayo madhara? Iweje huyo mungu wenu a-set madhara ya kumchagua yeye na wakati huo huo a-set pia madhara ya kutomchagua yeye? Nani alimpa haya mamlaka endapo tu anadai yeye ni wa Ulimwengu wa Nuru ilhali shetani ni wa ulimwengu wa giza? Simple example, can the Kenyan president set rules and terms to another independent and sovereign state like Tz? Jibu kwanza hili swali, acha kurukaruka eti kwa vile mungu ni mmiliki halali bila kuelezea nani alimpa huo uhalali na ufalme wa kutawala malimwengu tofauti tofauti. Kama huwezi kuelezea basi maana yake unayoyasema ni imani tu, sawa kabisa na imani yangu kuwa hayo unayoyasema SIYO YA KWELI.

Mfano rahisi kabisa huu nakupa. Una chaguo la kuruka toka ghorofa ya 17 PPF towers kama ukiataka au unaweza usiruke. lakini once ukiruka, madhara yake hayakwepeki. Huwezi sema "law of Gravity" inakutishia... la! Refer to my explanations above, it seems you can't understand the logic and philosophy around this!

Next time usitumie mifano isiyoendana. Mfano uliotoa hauna moral implication a unaulinganisha na kitu ambacho kina moral implications. Absurd example!



Simple! Mungu aliyeona na kujua kabla hayajatokea unayoeleza hapo juu ndiye aliyesema haitatokea. Na kwa kuwa anajua yote, "I rest assured". Wewe kwa upande wako huna cha kuegemea ila kutegemea bahati nasibu. Haua assurance yeyote kwa kuwa utupu hautegemewi.... you are doomed! Alisema haitatokea? Swali ni hivi, KWANINI MWANZO ASEME ITATOKEA LAKINI SASA ASEME HAITATOKEA? Issue hapa ni SABABU, siyo matamko! Bahati mbaya sana unashindwa kuelewa kuwa kila tamko lina sababu zake zilizopelekea litolewe. Hata baada ya gharika, Mungu wenu alitoa tamko akasema hataingamiza dunia tena kwa maji. Hivi unaelewa mantiki yake au unakariri tu?


What you are talking about is going in circle not uniformity. I cannot believe you do not understand what it is even after writing it in simple manner. Go and read it again! Can you please revisit your Physics and try to understand Newton's Laws of Motion first before you come back again? It seems you totally misinterpret the meaning of this word "Uniformity"!



God who knows all have settled this issue once for all. Amesema hakutakuwa na uove tena baada ya dunia hii na mbingu hizi kupita. So you either trust Him or trust your limited thinking that ends no where. There is no other choice there. Sasa unataka Mungu aandae mpango wa kitu ambacho hakitatokea? What for? God is best at economics 🙂 Trusting something/someone without having a based reason is full of nonsense and stupidity!



Mfano wako uko na matatizo lukuki. Nitakuelewesha kitu ambacho aidha hukijui au umefumbia macho. Mungu sio mwalimu wa sanaa,. Mungu ni Mfalme wa Ulimwengu na Hakimu wa Ulimwengu huu. Mungu ni mmiliki halali wa watu wote, mimi wewe na yule.

Akiwa kama mfalme ana haki ya kuamua chochote. Akiwa kama hakimu ana mamlaka ya kuhukumu wote bila kujali anamwamini au la. Na akiwa kama mmiliki ana mamlaka ya kufanya chochote na mali zake. Sheta si mfalme bali mi kiumbe chini ya Mfalme. Shetani si hakimu bali mhalifu, na wafuasi wake ni waasi, wahalifu tu. Shetani hana anachomiliki bali ni mwizi. Kumlinganisha shetani na Mungu ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu sana! Nani alikuambia kuwa mungu ndiye mmiliki wa vyote kama siyo imani tu? Nani alimpa hivyo vyeo? Huyo si sawa tu na Idd Amin Dada aliyekuwa akijipandisha vyeo kutoka Koplo hadi Field Marshall wa Jeshi? How comes Mungu wenu awe ndiye everything, mfalme, hakimu, mmiliki, mwokozi, mwalimu, daktari, nurse, engineer, muumbaji, and all that? Una ushahidi gani concrete unaothibitisha pasipo kuacha chembe ya shaka haya yote? Tunachotaka ni USHAHIDI MADHUBUTI, siyo imani inayopelekea kumpatia vyeo lukuki ambavyo hata hamuwezi kufikiria kwa akili zenu hizo ndogo vina implication gani!



Hapa basically kuna maswali mawili tu: Moja kwa Mungu hakuna kitu kama Wengi wape. Mungu sio Kaisari wa Rumi na mambo ya "vox populi, vox dei". Kwa Mungu hata wote tukaamua dhambi ni sawa kwake itabaki kuwa dhambi na wote tutahukumiwa tu!

Pili, hizo assumption zako sio kitu ambacho Biblia inafundisha. na kwa kuwa ni tatizo la kutafsiri vibaya, sitaendelea zaidi. kama unataka kujua nini hasa Biblia inasema, fungua uzi wake. uzi huu una malengo na sio "one stop" ya mambo yote ya Biblia. Stick to the topic. That was an analogy my dear, so you have proved failure to articulate my point and address it accordingly. For that matter, you have either no point at all or you pretend not to understand the concept and logic behind. Either way, that is childish!



Waoo! Asante kwa kuhakikisha nilichosema ktk post yangu ya kwanza. Ya kuwa ninyi watu hamna ushahidi wowote wa kupinga uwepo wa Mungu, uwe wa kisayansi au kimantiki. Ila imani katika dini yenu ya "hakuna Mungu". Imani hii imewafanya mshindwe kabisa kufikiri sawasawa kwa hofu ya kukiuka misingi ya dini yenu hii na hivyo kutumia "rhetorics" kama kichaka cha kujificha. Ni kama ilivyo kwenu, hata nyie hamna ushahidi wowote wa ku-support uwepo wa huyo Mungu wenu, uwe wa kichawi, kisayansi au kimantiki! Hivyo, maswali mliyoshindwa kuyapatia majibu yenye ushahidi wa kutosha mnayageuza kuwa nguzo za imani yenu! What a shame! Yaani binandamu badala ya kutumia akili kidogo ulizo nazo kuhoji, kufikiria na kutafuta majawabu ya changamoto lukuki zinazomkabili yeye anaamua kuzuia uwezo wa akili yake kufikiri na badala yake ana-transform hayo yote into Imani ktk Mungu! Dah, ama kweli tuko tofauti sana!

Rudi katika uzi na ujibu hoja za msingi sana hizi. Kumbuka issue kubwa hapa ni kuwa Mungu yupo na kuna implications zake kama utamwamini na zawadi yake ya Wokovu au utamkataa. Kwa hiyo the bottom line is not arguments but consequencces of the choice....choose carefully!
Nimekuuliza, NANI ANAYE-SET HIZO IMPLICATIONS ZA HIZO CHOICES???????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Give it another name, this is not what uniformity is. uniformity is well clarified in my post. So read it again!

I don't have time to read it again as you as well missed what I meant! Umeshindwa kujibu hoja, name nakuambia rejea andiko langu usome tena kwa makini, usipoelewa basi kariri maana nayo ni njia ya kuelewa!


Umekosa kitu cha msingi hapa, acha nikusaidie. Upendo una maana ya chaguo. Ukioa (kama bado) utajua kuwa mke wako atakuwa ana chaguo la kufanya chochote, ikiwemo kukuacha wewe. Haya yote yamo ndani ya chaguo. Na akiisha kuchagua, madhara ya chaguo yanafuata. Hivi sio vitisho, ila ni madhara ya kimantiki kabisa ya chaguo husika. akikuacha kuna vitu atapoteza pia kama madhara ya chaguo lake.
Nani anaset hayo madhara? Iweje huyo mungu wenu a-set madhara ya kumchagua yeye na wakati huo huo a-set pia madhara ya kutomchagua yeye? Nani alimpa haya mamlaka endapo tu anadai yeye ni wa Ulimwengu wa Nuru ilhali shetani ni wa ulimwengu wa giza? Simple example, can the Kenyan president set rules and terms to another independent and sovereign state like Tz? Jibu kwanza hili swali, acha kurukaruka eti kwa vile mungu ni mmiliki halali bila kuelezea nani alimpa huo uhalali na ufalme wa kutawala malimwengu tofauti tofauti. Kama huwezi kuelezea basi maana yake unayoyasema ni imani tu, sawa kabisa na imani yangu kuwa hayo unayoyasema SIYO YA KWELI.



Simple! Mungu aliyeona na kujua kabla hayajatokea unayoeleza hapo juu ndiye aliyesema haitatokea. Na kwa kuwa anajua yote, "I rest assured". Wewe kwa upande wako huna cha kuegemea ila kutegemea bahati nasibu. Haua assurance yeyote kwa kuwa utupu hautegemewi.... you are doomed!
Alisema haitatokea? Swali ni hivi, KWANINI MWANZO ASEME ITATOKEA LAKINI SASA ASEME HAITATOKEA? Issue hapa ni SABABU, siyo matamko! Bahati mbaya sana unashindwa kuelewa kuwa kila tamko lina sababu zake zilizopelekea litolewe. Hata baada ya gharika, Mungu wenu alitoa tamko akasema hataingamiza dunia tena kwa maji. Hivi unaelewa mantiki yake au unakariri tu?


What you are talking about is going in circle not uniformity. I cannot believe you do not understand what it is even after writing it in simple manner. Go and read it again! Can you please revisit your Physics and try to understand Newton's Laws of Motion first before you come back again? It seems you totally misinterpret the meaning of this word "Uniformity"!



God who knows all have settled this issue once for all. Amesema hakutakuwa na uove tena baada ya dunia hii na mbingu hizi kupita. So you either trust Him or trust your limited thinking that ends no where. There is no other choice there. Sasa unataka Mungu aandae mpango wa kitu ambacho hakitatokea? What for? God is best at economics
clip_image002.png

Trusting something/someone without having a based reason is full of nonsense and stupidity!



Mfano wako uko na matatizo lukuki. Nitakuelewesha kitu ambacho aidha hukijui au umefumbia macho. Mungu sio mwalimu wa sanaa,. Mungu ni Mfalme wa Ulimwengu na Hakimu wa Ulimwengu huu. Mungu ni mmiliki halali wa watu wote, mimi wewe na yule.

Akiwa kama mfalme ana haki ya kuamua chochote. Akiwa kama hakimu ana mamlaka ya kuhukumu wote bila kujali anamwamini au la. Na akiwa kama mmiliki ana mamlaka ya kufanya chochote na mali zake. Sheta si mfalme bali mi kiumbe chini ya Mfalme. Shetani si hakimu bali mhalifu, na wafuasi wake ni waasi, wahalifu tu. Shetani hana anachomiliki bali ni mwizi. Kumlinganisha shetani na Mungu ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu sana!
Nani alikuambia kuwa mungu ndiye mmiliki wa vyote kama siyo imani tu? Nani alimpa hivyo vyeo? Huyo si sawa tu na Idd Amin Dada aliyekuwa akijipandisha vyeo kutoka Koplo hadi Field Marshall wa Jeshi? How comes Mungu wenu awe ndiye everything, mfalme, hakimu, mmiliki, mwokozi, mwalimu, daktari, nurse, engineer, muumbaji, and all that? Una ushahidi gani concrete unaothibitisha pasipo kuacha chembe ya shaka haya yote? Tunachotaka ni USHAHIDI MADHUBUTI, siyo imani inayopelekea kumpatia vyeo lukuki ambavyo hata hamuwezi kufikiria kwa akili zenu hizo ndogo vina implication gani!



Hapa basically kuna maswali mawili tu: Moja kwa Mungu hakuna kitu kama Wengi wape. Mungu sio Kaisari wa Rumi na mambo ya "vox populi, vox dei". Kwa Mungu hata wote tukaamua dhambi ni sawa kwake itabaki kuwa dhambi na wote tutahukumiwa tu!

Pili, hizo assumption zako sio kitu ambacho Biblia inafundisha. na kwa kuwa ni tatizo la kutafsiri vibaya, sitaendelea zaidi. kama unataka kujua nini hasa Biblia inasema, fungua uzi wake. uzi huu una malengo na sio "one stop" ya mambo yote ya Biblia. Stick to the topic.
That was an analogy my dear, so you have proved failure to articulate my point and address it accordingly. For that matter, you have either no point at all or you pretend not to understand the concept and logic behind. Either way, that is childish!



Waoo! Asante kwa kuhakikisha nilichosema ktk post yangu ya kwanza. Ya kuwa ninyi watu hamna ushahidi wowote wa kupinga uwepo wa Mungu, uwe wa kisayansi au kimantiki. Ila imani katika dini yenu ya "hakuna Mungu". Imani hii imewafanya mshindwe kabisa kufikiri sawasawa kwa hofu ya kukiuka misingi ya dini yenu hii na hivyo kutumia "rhetorics" kama kichaka cha kujificha.
Ni kama ilivyo kwenu, hata nyie hamna ushahidi wowote wa ku-support uwepo wa huyo Mungu wenu, uwe wa kichawi, kisayansi au kimantiki! Hivyo, maswali mliyoshindwa kuyapatia majibu yenye ushahidi wa kutosha mnayageuza kuwa nguzo za imani yenu! What a shame! Yaani binandamu badala ya kutumia akili kidogo ulizo nazo kuhoji, kufikiria na kutafuta majawabu ya changamoto lukuki zinazomkabili yeye anaamua kuzuia uwezo wa akili yake kufikiri na badala yake ana-transform hayo yote into Imani ktk Mungu! Dah, ama kweli tuko tofauti sana!

Rudi katika uzi na ujibu hoja za msingi sana hizi. Kumbuka issue kubwa hapa ni kuwa Mungu yupo na kuna implications zake kama utamwamini na zawadi yake ya Wokovu au utamkataa. Kwa hiyo the bottom line is not arguments but consequencces of the choice....choose carefully!
Nimekuuliza, NANI ANAYE-SET HIZO IMPLICATIONS ZA HIZO CHOICES??????????????????????? !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


 
Nitachangia mara moja tu hapa kwa sababu mleta mada kaweka wazi kuwa 'anaamini' juu ya uwepo wa mungu, na kuamini au IMANI (FAITH) ndio key word ya mjadala wake wote.

Katika biblia ambayo sisi Wakristo tunayoifuata na kuamini mafundisho yake, inaweka bayana kuwa msingi wa ujuzi wetu na fahari ya maarifa yetu ni IMANI. Zaidi ni IMANI ndiyo itupayo uhakika wa kusema na kutangaza kuwa Mungu yupo

Waebrania 11:6 Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza(Mungu); kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.

Siwezi kujadili tena kwa sababu hatuwezi kuipima imani ya mtu katika mizani ya mantiki au hizo njia za kisayansi mleta mada kaziorodhesha, kwa sababu maana halisi kabisa ya neno sayansi ni KNOWLEDGE (UJUZI) na sio IMANI, kwa hiyo hatuwezi kutumia njia za kisayansi kuipima imani.

Napata tabu unapoamini kuwa IMANI ya mtu huwa haina kipimo, wakati kwa mizani ya kawaida tu ya kimantiki IMANI ya jambo lolote hupimwa na uthubutu wa kutekeleza kile mtu akiaminicho
Kitendo cha mleta mada kujitokeza hadharani na kuweza kuwakabili wale wote waaminio kuwa hakuna Mungu, pasi na shaka uthubutu huu ni kielelezo tosha cha kupima IMANI ya mtu huyu maana amediriki kuiweka katika MATENDO.(Kaonesha ukiri)

Yakobo 2:26 Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.

Wewe unaamini, mimi nataka kujua, huwezi kunisaidia kwa sababu na wewe haujui kama mimi ila umeamua kuamini kile ambacho wote hatukijui.

Hakuna kujua kusikoanzia na kuamini...ili ndugu yangu wewe upate kujua lazima uanze kujenga fikra za IMANI na lazima ukuze kwanza IMANI yako.

Kila jambo ambalo leo hii linajulikana kama sheria (Kanuni), kuna miiko ya Kiimani iliyojengwa kabla (Nadharia) na baadaye ikathibitishwa na kuthibitika.

Warumi 10:17 Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.
 
Is Uniformity one of the key elements to justify God's existence, siyo? Good, sasa hapo mwanzo biblia yako inatuambia hakukuwa na dhambi. Mungu Aliumba viumbe vyake vyote akiwemo Malaika Mkuu wake Lusifa a.k.a. Shetani wa leo akiwa mkamilifu. Ila ghafla bin vuu bwana mkubwa huyu akaota kiburi na kutaka kujifananisha na Muumba wake! Is this what you refer to be uniformity, one of your poor proof of God's existence? Okay, following the same trend, Mungu Alijua kuwa Ulimwengu aliouumba baadaye ungetumbukia dhambini, sasa akaandaa mpango mkubwa, mgumu, wa gharama kubwa na tena usiofikirika eti wa kumkomboa mwanadamu kutoka dhambini! Sasa two issues here to be addressed, 1. Ikiwa ni kweli kuwa Mungu Alimpa mwanadamu uhuru wa kuchagua mema na mabaya (sawa na Baba unavyoweza kumpa uhuru mwanao aende Mzumbe Secondary au Ikinabushu Secondary), iweje tena Baba huyu aanze kumtishia mwanaye kuwa ukichagua kwenda Ikinabushu Secondary nitakufukuza kwangu tena na kukuchoma moto? Iweje mtu anapo-exercise uhuru wake uliompatia wewe mwenyewe aonekane adui yako kisa tu hakuchagua vile ulivyotaka wewe? Je, katika viwango vya kibinadamu, huo kweli ni uhuru au ni udikteta zaidi ya Idd Amin? By the way, iweje motto wako achague kwenda IkinabushU Secondary halafu wewe uanze njama za kuandaa mpango wa kumuhamisha mara tu atakapokuwa amejiunga na Ikinabushu Secondary? Sasa hapo ulimpa achague kweli anachokitaka yeye mwenyewe au ulikuwa unamfanyia usanii tu? Na hata kama ulitaka asiende Ikinabushu Secondary kwa kuwa ni shule ya kata tena isiyo na vifaa wala walimu wazuri, kwa nini usisubirie hadi atakapoona madhara/matokeo ya uchaguzi wake huo? Badala yake wewe Baba unayependa Mzumbe Secondary unatoka huko uliko na kwenda kumuadhibu mwanao aliyeko Ikinabushu Secondary? Kwa nini usingemuacha tu na wewe ukabaki na chaguo lako, na iwapo una watoto wawili na bahati "nzuri" kwako mmoja amekukubalia chaguo lako basi uwashindanishe wote wawili tena kwa usawa kuliko kumtisha yule wa Ikinabushu kuwa atafeli, utamnyima ada, hela ya matumizi na hutakwenda kumsalimia huko shuleni na mbaya zaidi asije akarudi nyumbani kwako wakati wa likizo???????? Back to Uniformity: Kama mwanadamu naye alikuwa mkamilifu, baadaye akaasi, mpango wa kumuokoa dhambini ukasukwa, sasa tuna uhakika gani kuwa mwanadamu yule yule atakayekuwa ameokolewa dhambini hataasi ktk paradise/akhera/mbingu/dunia ijayo? Na nini mpango wa Mungu endapo tena mwanadamu atakuja kuasi akifika huko mbinguni? Maana hapo mwanzo Mungu Alijua kuwa kiumbe wake mkamilifu angeasi, akajiandaa, lakini this time tunaambiwa kuwa huko mbinguni hakutakuwa na dhambi wa kifo tena (just as it was in the beginning) lakini hatuambiwi nini kitatokea endapo hali ikigeuka kuwa ndivyo sivyo! Au wanadamu watakaokuwepo kule hawatakuwa tena na uchaguzi wa kuamua njia waitakayo kama wale wa awali walivyopewa fursa hiyo? If that is the case, kwa maana hiyo Mungu atakuwa amewafunga, wasiwe na any other choice except him, na kama hivi ndivyo basi huyo Mungu hajiamini, ni dikteta na hajali athari za mabavu yake kwa watoto wake maana kama angelikuwa na upendo basi asingewanyima uhuru wao ule ule! Pili, wewe (Mungu) ni Mwalimu wa Sanaa (Arts), unafundisha wanafunzi, kutunga mitihani, kusahihisha na mwisho kutoa matokeo. Sasa iweje tena wewe huyo huyo ukatoe matokeo ya wanafunzi waliofanya somo la Hisabati ilhali halikuhusu, hukusomea, hukuwafundisha na wala hukutunga mtihani huo? Maana yangu ni kwamba, kwanini Mungu asi-deal na wale wanaofuata sharia zake tu (yaani awalinde, awatunze, awahudumie na hatimaye siku atakayoona inafaa awapeleke anakotaka yeye basi) na badala yake ana-cross over na kuwafuata wale wasiomuamini na kujifanya ndiye Jaji wao? Kwanini wale wasiomuamini (kwa maana nyingine ni wafuasi wa Mzee Mzima Shetani) asiwaache nao walindwe, watunzwe, wahudumiwe na hatimaye wapelekwe kule ambako Master wao atataka wawe? Hayo ya Ngoswe yanamhusu nini yeye huyo Mungu wenu? MWISHO: Eti kuna Mungu au Shetani ni nadharia tu zisizo na mantiki wala mashiko kwa kutumia akili ndogo kabisa za kibinadamu maana hata yasemwayo kuhusu hao wawili hayawezi kuthibitishwa pasipo kuacha chembe ya shaka! So, what for? Leave this Topic alone, don't waste your precious time at all!

Theists are looser bro, watu wanyongefu wasioweza kutatua matatizo yao wenyewe na kuface reality!
 
Stefano Mtangoo asante.

Leo nimejua kumbe wako watu wanaomwamini MUNGU wa Biblia huku wakiwa na uelewa wa hali ya juu wa mambo ya kiimani. Kiukweli toka nimeanza kufatilia haya mabishano nilikuwa naumia sana kwa kuwa hakuna hata mmoja wa sisi waamini aliyekuwa anaelezea vitu kwa ufasaha zaidi ya kumshutumu tu Kiranga kuwa anakariri na kumtisha kwa kutumia mistari ya Bible/Quran ambavyo wao wanaviona kama vitabu vya hadithi.

Inaniuma sana kujua kwamba tunawachungaji wengi humu ndani na bado hawana uelewa wa kutosha juu ya Mungu wanaemwamini wanabaki kuleta hoja nyepesi nyepsi tu huku mtaani tukiwa na kundi kubwa la wachungaji makanjanja kama akina Masanja Mkandamizaji, Dotnata na wengineo wanaotegemewa kuibuka hivi karibuni achilia mbali hao waliopo tayari..... kuna haja ya kuwaepuka hawa ndio watakosababisha badae uelewa wa watu juu ya maswala ya kiimani kupotea kabisa.

Mimi naamini MUNGU yupo na nitaendelea kumwamini Maisha yangu yote lakini pia namshukuru kwa kutupa mtu kama Kiranga na wengine wasio waamini na kuwajalia uwezo wa kumhoji hata yeye mwenyewe. Kuna mengi ya kujifunza kwa hawa watu pia, namna ya kureason, namna wanavyoona wanaweza kufanya mambo bila utegemezi wowote, kupenda kujisomea vitabu mbalimbali na si biblia tu......kutokuwa waoga wa kuhoji.....na mengine mengi.....

Zaidi ya yote Stefano Mtangoo asante kwa uchambuzi wako kwa mara ya kwanza leo nimefarijika.
 
Stefano Mtangoo asante.

Leo nimejua kumbe wako watu wanaomwamini MUNGU wa Biblia huku wakiwa na uelewa wa hali ya juu wa mambo ya kiimani. Kiukweli toka nimeanza kufatilia haya mabishano nilikuwa naumia sana kwa kuwa hakuna hata mmoja wa sisi waamini aliyekuwa anaelezea vitu kwa ufasaha zaidi ya kumshutumu tu Kiranga kuwa anakariri na kumtisha kwa kutumia mistari ya Bible/Quran ambavyo wao wanaviona kama vitabu vya hadithi.

Inaniuma sana kujua kwamba tunawachungaji wengi humu ndani na bado hawana uelewa wa kutosha juu ya Mungu wanaemwamini wanabaki kuleta hoja nyepesi nyepsi tu huku mtaani tukiwa na kundi kubwa la wachungaji makanjanja kama akina Masanja Mkandamizaji, Dotnata na wengineo wanaotegemewa kuibuka hivi karibuni achilia mbali hao waliopo tayari..... kuna haja ya kuwaepuka hawa ndio watakosababisha badae uelewa wa watu juu ya maswala ya kiimani kupotea kabisa.

Mimi naamini MUNGU yupo na nitaendelea kumwamini Maisha yangu yote lakini pia namshukuru kwa kutupa mtu kama Kiranga na wengine wasio waamini na kuwajalia uwezo wa kumhoji hata yeye mwenyewe. Kuna mengi ya kujifunza kwa hawa watu pia, namna ya kureason, namna wanavyoona wanaweza kufanya mambo bila utegemezi wowote, kupenda kujisomea vitabu mbalimbali na si biblia tu......kutokuwa waoga wa kuhoji.....na mengine mengi.....

Zaidi ya yote Stefano Mtangoo asante kwa uchambuzi wako kwa mara ya kwanza leo nimefarijika.


Kweli ndg uko sahihi Stefano Mtangoo amefanya kazi nzuri na anastahili pongezi, lakini Si yeye tu wadau kama Watu8, Eiyer,H1N1, na wengineo mchango wao Si wakupuuzwa. Lakini Kiranga na wale wote wenye dini Yao ya ''Hakuna Mungu'' Nao wanastahili pongezi kwa ujasiri wao wa kuhoji juu ya uwepo wa Mungu muumba mbingu na vyote viijavyavyo, kwamba hayupo, matumaini yangu kuwa iko siku tena yaja upesi watamtambua tu kwamba yeye yupo alieko na aishie milele.
 
Hujajibu swali la "the problem of evil".

Kama kuna mungu mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa nini katengeneza ulimwengu ambao uovu unawezekana?

Hapa umejaribu.



Kwanza hujaelewa suala.Suala si kwamba "kama kungekuwa na mungu kusingelikuwa na magonjwa". Swala ni, kwa nini magonjwa yamewezekana kuwepo. Mawili haya ni tofauti.



Sheria iliyo juu ya wanadamu wote wewe mwanadamu utaijuaje? Na ukiijua kweli itakuwa juu ya wanadamu wote?



Inakuwaje sheria iliyo juu ya wanadamu wote iliyotungwa na mtunga sheria aliye ju ya wanadamu wote iwe na compassion, logic, ethics, responsibility ndogo kuliko sheria za kibinadamu?



Hali sawa kwa nani? Utaweza kumwambia mtoto anayezaliwa kipofu kwamba hii ni "hali sawa" na hakuna zuri au baya?



Kwa vipimo vya ubinadamu, ambavyo vinakataza baba kuwanyima watoto wake chakula kama anacho.

Vipimo vya kibinadamu vina standards za chini kwa sababu binadamu hana uwezo wa juu na upendo wa juu. Mungu ambaye tunamtegemea awe na upendo wa juu kabisa, tulitegemea asiache viumbe vyake vife kwa magonjwa na njaa, visizaliwe na upofu.

Imekuwaje Bill Gates amsaidie kazi mungu kwa kupelekea chanjo watoto masikini Afrika?

Mungu kashindwa kuwapa afya nzuri viumbe wake?



Hujajibu "the problem of evil".

Kama mungu ni mwenye uwezo wote na upendo wote, imekuwaje kaumba ulimwengu mbaya kama huu wenye matetemeko ya ardhi, magonjwa, vilema vya maisha, njaa, vita etc?

Mngesema hana uwezo angalau tungesema alitaka kuumba ulimwengu mzuri zaidi akshindwa, kama yule baba ambaye anataka kuwapa watoto chakula lakini hana kipato. Tungeelewa.

Mngesema ana uwezo ila hana upendo, tungeelewa. Ni kwamba hatujali tu, labda yuko busy na projects zake za kuumba ulimwengu mwingine.

Lakini mmesema ana uwezo wote na upendo wote, tena kaona ulimwengu wote ulivyokuwa kuanzia mwanzo mpaka mwisho wakati akiuumba.

Sasa kama kaumba ulimwengu mbaya kama huu, ni kwa nini?

Haiyumkiniki!

Swali umelikwepa kwa kuweka "deus ex machina" na ku tip toe around it.

Ila hujasema ni kwa nini ulimwengu huu ambao hata mawazo madogo ya kibinadamu yashauona mbaya, unaweza kuwa kazi ya mungu.

Habari ya kusema sijui baya na zuri kwa mungu ni tofauti na hatuwezi kujua mawazo yake ni "deus ex machina" kwa sababu hata kama hatujui, tunategemea mungu awe na standards kubwa kuliko zetu binadamu.

Hivi kweli mungu muumba vyote mwenye uwezo wa yote na mapenzi yote ashindwe kwenye ethics, responsibility na compassion akilinganishwa na kwa mfano, the medical profession?

Inaingia akilini?

Hiyo inayoitwa problem of evil ni santuri ya kufikirika; kwa kuwa umeme unauwa hatuwezi kusema aliyeleta matumizi ya nishati hii muhimu hakuwa na nia njema. Umeme umeletwa huo hapo na unaambiwa usiguse nyaya sasa ni juu yako kusikiliza au kuacha. Huu ulimwengu uliandaliwa kama makazi ya watu safi pekee, watu wanaosikia na kutii; ukiambiwa tunda hili usile, usile kweli kwa kuwa ndiyo salama yako kulingana na viwango vya uumbaji vilivyotumika. Sasa kwa hao wasiosikia na kutii ndio hivyo tena wanaungua kwa mateso mbalimbali, maradhi, nk. vikiwa ni barabara ya kuwaondoa katika dunia wasiyostahili kuwepo.
 
Na wale wanaopinga uwepo wa kile wasichoweza kuthibitisha kutokuwepo kwake tuwaiteje?

Nani anayetakiwa kuthibitisha kisichokuwepo? Anayesema kuwa kipo au anayesema kuwa hakipo? Mimi nimesema Juma hayupo, wewe umesema yupo halafu unaniambia niprove kwamba Juma hayupo!..THATS INSANE, kama unajua Juma yupo call him out ili nimwone.
 
Nani anayetakiwa kuthibitisha kisichokuwepo?
Kisichokuwepo?
Kwa kipimo gani hakipo?
Kwa uchunguzi upi hakipo?
Anayesema kuwa kipo au anayesema kuwa hakipo?
Anaesema hakipo
Mimi nimesema Juma hayupo, wewe umesema yupo halafu unaniambia niprove kwamba Juma hayupo!..THATS INSANE
Really?
Insane ni yule anaepinga uwepo wa jambo au kitu ambacho hata yeye hana ushahidi wa kupinga
, kama unajua Juma yupo call him out ili nimwone.
Kama unajua Juma hayupo nipe ushahidi kuwa hayupo sio kupiga blabla tu hapa

Suala la kudai kuwa kitu kisichokuwepo hakihitaji ushahidi ni kama vile tu mtu ameshindwa kwenda Mtwara kwa sababu hajui njia ya kwenda huko na akaanzisha ajenda ya kukana uwepo wa mji huo
Huo ni zaidi ya uzuzu

Unaambiwa Mtwara ipo na sababu umepewa halafu wewe unasema haipo ukidaiwa ushahidi wa hilo huna!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kama sio kichaa hicho ni nini?
 
Stefano Mtangoo asante.

Leo nimejua kumbe wako watu wanaomwamini MUNGU wa Biblia huku wakiwa na uelewa wa hali ya juu wa mambo ya kiimani. Kiukweli toka nimeanza kufatilia haya mabishano nilikuwa naumia sana kwa kuwa hakuna hata mmoja wa sisi waamini aliyekuwa anaelezea vitu kwa ufasaha zaidi ya kumshutumu tu Kiranga kuwa anakariri na kumtisha kwa kutumia mistari ya Bible/Quran ambavyo wao wanaviona kama vitabu vya hadithi.

Inaniuma sana kujua kwamba tunawachungaji wengi humu ndani na bado hawana uelewa wa kutosha juu ya Mungu wanaemwamini wanabaki kuleta hoja nyepesi nyepsi tu huku mtaani tukiwa na kundi kubwa la wachungaji makanjanja kama akina Masanja Mkandamizaji, Dotnata na wengineo wanaotegemewa kuibuka hivi karibuni achilia mbali hao waliopo tayari..... kuna haja ya kuwaepuka hawa ndio watakosababisha badae uelewa wa watu juu ya maswala ya kiimani kupotea kabisa.

Mimi naamini MUNGU yupo na nitaendelea kumwamini Maisha yangu yote lakini pia namshukuru kwa kutupa mtu kama Kiranga na wengine wasio waamini na kuwajalia uwezo wa kumhoji hata yeye mwenyewe. Kuna mengi ya kujifunza kwa hawa watu pia, namna ya kureason, namna wanavyoona wanaweza kufanya mambo bila utegemezi wowote, kupenda kujisomea vitabu mbalimbali na si biblia tu......kutokuwa waoga wa kuhoji.....na mengine mengi.....

Zaidi ya yote Stefano Mtangoo asante kwa uchambuzi wako kwa mara ya kwanza leo nimefarijika.




Mkuu upo sawa
Pamoja na yote, naomba tuwekane sawa sehemu moja.
Umehukumu!
Kwa kusema wachungaji makanjanja
Umesahau kuwa anaehukumu ni Mungu peke yake! Kwasbb yy ndo anaejua ukweli na ana haki.

Yes biblia, imesema kutakua na manabii wa uongo nyakat za mwisho, lkn still hautakiwi kuhukumu wala kuwasema vibaya,bali kuwaombea ili wapate neema ya kujua kweli iwaweke huru
 
Nimekuuliza, NANI ANAYE-SET HIZO IMPLICATIONS ZA HIZO CHOICES???????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Owner always makes the rules. You own your home you make the rules there.
He owns all thing and makes the rules....So simple!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom