Mungu Yupo: Majibu kwa Wasioamini

Mungu Yupo: Majibu kwa Wasioamini

Status
Not open for further replies.
Stephano Mtangoo

Umenikumbusha Story ya mtoto wa Kimarekani ambaye Professor wao asiyeamini kuwa kuna Mungu aliwatia sumu wote kwa mafunzo yake kuwa hakuna Mungu with various supporting arguments anazozijua. Huyu Professor alikuwa na gari zuri sana.

Mwishoni huyu dogo akiwa na Professor kabla hajapanda gari yake yule dogo akamwambia: you know professor hii gari yako iko poa sana. Ila imejitengeneza yenyewe Tyres, Engines, Shape etc etc. Yule Professor akang'aka sana kuwa gari ilitengenezwa na Engineers makini sana aache ujinga wake.

Dogo naye akamjibu kuwa wewe ndo mjinga usiyejua kuwa Design & Engineering ya Binadamu imefanyika kwa umakini wa hali ya juu kuliko gari yako. Kama huamini kuwa gari ilijitengeneza why do u want me to believe kuwa Binadamu aliibuka tu? Professor akagwaya.

Hakika naamini Binadamu aliiumbwa na aliiumbwa na Mungu.

So, Mungu yupo!

Magari, Madege n.k yametengenezwa Viwandani tena Na engineer wazu! Huyu mwanadamu iweje akose Kiwanda tena awe ni kiumbe wa kuibuka tu?
Mungu Yupo na alituumba kwa Mfano wake!
 
Last edited by a moderator:
Mungu yupo,na suala la Kiranga eti kwa nini kuna maovu,Mungu amemuumba mwanadamu then akamwekea
utashi wa kuchagua mema au mabaya,na wala hilo halimfanyi asiwe Mungu eti kwa sababu anao uwezo wa
kuzuia maovu yasiwepo,kwa sababu Yeye ni Mungu hakuna wa kumhoji kwa nini iwe hivi au iwe vile'
Narudia Kiranga kutokuamini kwako hakuwezi kumfanya MUNGU asiwepo na wala asiwe Aliyeumba Mbingu na
nchi na vyote vilivyomo.Nikushauri usisubiri Mungu kujidhirisha kwako kwa namna nyingine'

Kama mungu anapenda kutoa utashi wa binadamu kuchagua mbona hajatupa uchaguzi tuamue tuzaliwe au tusizaliwe, kama tukiamua tuzaliwe tuamue tuzaliwe wapi, lini, vipi etc?

Hii habari ya kusema mungu anapenda tuwe na uchaguzi si kweli. Haiwi supported na evidence.

Habari ya "yeye ni mungu, hakuna wa kumhoji" ni "deus ex machina".

Kama yeye ni mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote mbona anakuwa that inaccessible and illogical?
 
Hapa kuna tofauti kubwa

Kuna tofauti kubwa kati ya jibu na jibu unalolitaka wewe
Pia kuna tofauti kati ya jibu lisilo sahihi na jibu sahihi

Wewe umetaka jibu
Jibu umepewa lakini bado unasema hujajibiwa,hii inamaana hata jibu hulijui
Yaani hujui kama jibu ni jibu

Ni bora ungesema jibu ulilopewa sio sahihi
Hii ingemaanisha kuwa unajua jibu ni kitu gani
Tungeanza kukuhoji kama unajua kama jibu sahihi ni kitu gani
Ili tujue kama una uwezo wa kung'amua kuwa kuna jibu ambalo sio sahihi na sahihi

Lakini umeendelea kudai jibu tu
Kitendo cha wewe kupewa jibu halafu unadai hujapewa ni ishara ya kutokujua ulichouliza achilia mbali kujua kama umejibiwa

Pia inathibitisha kuwa kama huwezi kulijua jibu maana yake huwezi kujua kama ni sahihi ama la!

" Don't flatter yourself " !!!!!!

Hahahaaa.

Umeulizwa mji mkuu wa Nigeria.

Ukasema Dar-es-salaam.

Ukaoneshwa ramani. Kwamba jibu lako si sahihi.

Unakazania "si nishajibu"?

Hatuji JF kujibu mradi tumejibu tu.

Watu wenye kuchekecha mambo wanatafuta majibu sahihi.

Sio majibu yako majibu "mradi kujibu" tu.

Halafu nimenotice you are such a lazy troll. Unanirudishia ninachokuambia with hardly any attempt at thinking.

Nikikwambia "Don't flatter yourself", unani imitate kwa kuniiga back "Don't flatter yourself".

They say imitation is the best form of flattery.

Na wewe una ni imitate.

Apparently I don't need to flatter myself.

You already do it for me.
 
The problem of evil remain unanswered.

I need not go further until this problem is solved.

Using'ang'anie kuuliza kitu ambacho kimeshajibiwa kwenye hoja kuu na Pia tumeshakujibu ata kwenye mada yako Ile.
Huo ni ubishi tu!
 
Huyu mtu ni mzima kweli?

Anatuhumu kitu ambacho hata yeye mwenyewe anakitumia!
Huruma iliyoje?

Umeshawahi kusikia kitu kinaitwa "immanent critique" katika maisha yako?

Labda ulikiwa hukijui. Nimekielezea kirefu na kuweka link.

Hata baada ya kuweka link, bado hujajifunza kitu.

Nani mzima hapa?

Unataka kudandia treni kwa mbele?

Unataka kualitest rocket launcher usoni mwako?
 
Zorrander, na kaburungu:
Kiukweli watu wengi hawana ufahamu huu lakini uko wazi katika Biblia.
Argument zote hizi ziko wazi na wala si mpya. Kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa biblia kumejaa utajiri wa Falsafa, sayansi, Mantiki na kila namna ya mawe ya thamani.

Ashukuriwe Mungu aliyetupa hakika kuwa Yupo na kwamba kuna siku tutakaa nae bila kutengana Milele.
Lazima tufanye juhudi kuwasaidia akina Kiranga, CYBERTEQ na wengineo waujue ukweli kama Neno linavyosema:

"And others save with fear, pulling them out of the fire; hating even the garment spotted by the flesh" - Jude 23

Kumbuka Biblia inatuonya:

"But sanctify the Lord God in your hearts: and be ready always to give an answer to every man that asketh you a reason of the hope that is in you with meekness and fear" - 2Peter 3:15

Mbarikiwe Nyote!


Kweli Mkuu Biblia ina utajiri wa Kila maarifa! Na majibu ya Kila kitu!
Ni wao kusoma kuanzia mwanzo mpaka mwisho!
 
Ni heri anayekuwa mtumwa wa biblia,kuliko mtumwa wa kutokujijua hata nafsi yake mwenyewe,kwa sababu kama
unakana uwepo wa Mungu ni sawa na kujikana uwepo wako mwenyewe,kwani hukujiumba wewe'

Kama complexity ni lazima iumbwe, complexity kubwa inayoumba complexity ndogo nayo ni lazima iumbwe.

Huwezi kusema kiti ni lazima kiumbwe, halafu mwanadamu aliyekiumba kiti awe hajaumbwa sawa?

Same argument.

Mfanye mwanadamu awe kama kiti, na muumbaji wake awe mungu.

Huwezi kusema mwanadamu ni lazima awe ameumbwa, halafu muumbaji wake awe hajaumbwa.

Kama complexity ndogo kama mwanadamu ni lazima iwe imeumbwa, kwa sababu complexity haiwezi kutokea yenyewe bila kuumbwa, basi complexity kubwa zaidi, mungu, ni lazima zaidi iwe imeumbwa.

Kwa hiyo ukishikilia kwamba mwanadamu ni lazima awe ameumbwa, kwa kuwa hawezi kutokea hivi hivi tu, unachoandika bila kujijua ni kwamba mungu naye ni lazima awe ameumbwa. Ndiyo line ya logic ya argument yako.

Of course unaweza kuchomeka any arbitrary "deus ex machina" hapo kati kujitoa katika kamba uliyojifunga wewe mwenyewe. But that would be illogical.

Mungu wenu haelezeki logically.

Kwa sababu hayupo.

Kama yupo toa ushahidi.
 
Wakuu Eiyer, JingalaFalsafa na Mleta mada hii na wachangiaji wote wanaokubali uwepo wa Mungu, Hawa akina Kiranga na wenzake hawana jipya Zaidi ya kubisha kwa hoja zao zilezile!
 
Nizungumzie Kuhusu Uasi tena.
Ukisoma biblia, inaeleza wazi kutokomeza Dhambi/Uasi na Dunia kufanywa mpya isiokua na Mawaa ata kidogo!
Rejea shughuli za Hema takatifu lililokuwepo Hapa duniani likikusudia kua Mfano wa Kafara hails Yesu kuja kutufia Kama Kafara!
Katika shugghuli zile palikua na shughuli za Kila Siku na Mara moja kwa Mwaka!
Katika ile shughuli ya Mara moja kwa Mwaka kulikua baada ya shughuli anaachiwa Mbuzi wa AZAZERI,
Huyu Mbuzi alikua anabeba dhambi/Uasi zote na kwenda kufia huko nyikani; hichi Kitendo kinajulikana km kutokomeza Dhambi/Uasi.
Kwa Maana hiyo basi hizi shughuli zilikua nakala ya Yesu kuja kua Kafara halisi! Tayari Yesu alishakufa msalabani kazi iliyobaki ni Shetani kuangamizwa na Dhambi/Uasi kutokomezwa na Dunia kutengenezwa mpya bila ya kuwepo dhambi na Uasi!
Sasa wewe Uasi unaosema wewe kua waweza kutokea unaujenga kwa misingi gani?

Biblia Iko wazi na mipango ya Mungu Iko wazi yote ni Imani yako tu ndio inayokufanya useme hivyo!
Kwa mujibu wa Biblia Hapo baada ya kufanya nchi mpya kutakua hakuna Dhambi/Uasi tena!
Again, umepiga blaa blaa tu. Swali Kuu hapa ni: IWEJE MUNGU AACHILIE DHAMBI ITOKEE, THEN APANGE MPANGO MGUMU WA UKOMBOZI ULIOGHARIMU MAISHA YA MWANAYE WA PEKEE? UNAJUA SABABU HASA YA MUNGU KURUHUSU DHAMBI IINGIE? JE, KAMA ALIACHIA DHAMBI IINGIE, TUNA UHAKIKA GANI KUWA HAITAJIRUDIA TENA IWAPO NI MUNGU YULE YULE WA KALE, LEO NA HATA MILELE ZOTE? AU KABADILI MAWAZO NA MTAZAMO KUHUSU UHURU ALIOMPATIA MWANADAMU WA KWANZA? Au uhakika wako unaoutoa kwenye huo mkusanyiko wa novels mnaouita BIBLIA?
 
Stephano Mtangoo

Umenikumbusha Story ya mtoto wa Kimarekani ambaye Professor wao asiyeamini kuwa kuna Mungu aliwatia sumu wote kwa mafunzo yake kuwa hakuna Mungu with various supporting arguments anazozijua. Huyu Professor alikuwa na gari zuri sana.

Mwishoni huyu dogo akiwa na Professor kabla hajapanda gari yake yule dogo akamwambia: you know professor hii gari yako iko poa sana. Ila imejitengeneza yenyewe Tyres, Engines, Shape etc etc. Yule Professor akang'aka sana kuwa gari ilitengenezwa na Engineers makini sana aache ujinga wake.

Dogo naye akamjibu kuwa wewe ndo mjinga usiyejua kuwa Design & Engineering ya Binadamu imefanyika kwa umakini wa hali ya juu kuliko gari yako. Kama huamini kuwa gari ilijitengeneza why do u want me to believe kuwa Binadamu aliibuka tu? Professor akagwaya.

Hakika naamini Binadamu aliiumbwa na aliiumbwa na Mungu.

So, Mungu yupo!

Hii story ni made up or fact?

Kama ni fact tunaomba reference. Kama made up sema tujue.

Argument ya kwamba mwanadamu kaumbwa from design nishai debunk hapo juu.

Ukifuatilia logic yako, itahitaji mungu naye aumbwe, na muumba wake aumbwe, na huyo naye aumbwe, na muumbaji wake aumbwe, ad infinitum ad absurdum.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu Eiyer, JingalaFalsafa na Mleta mada hii na wachangiaji wote wanaokubali uwepo wa Mungu, Hawa akina Kiranga na wenzake hawana jipya Zaidi ya kubisha kwa hoja zao zilezile!
Wee mbwiga, ulienda shule kweli hata Darasa la 4? Kama ndiyo, soma basi hapa, utafakari kwa kina kasha uje tena: Kama complexity ni lazima iumbwe, complexity kubwa inayoumba complexity ndogo nayo ni lazima iumbwe.

Huwezi kusema kiti ni lazima kiumbwe, halafu mwanadamu aliyekiumba kiti awe hajaumbwa sawa?

Same argument.

Mfanye mwanadamu awe kama kiti, na muumbaji wake awe mungu.

Huwezi kusema mwanadamu ni lazima awe ameumbwa, halafu muumbaji wake awe hajaumbwa.

Kama complexity ndogo kama mwanadamu ni lazima iwe imeumbwa, kwa sababu complexity haiwezi kutokea yenyewe bila kuumbwa, basi complexity kubwa zaidi, mungu, ni lazima zaidi iwe imeumbwa.

Kwa hiyo ukishikilia kwamba mwanadamu ni lazima awe ameumbwa, kwa kuwa hawezi kutokea hivi hivi tu, unachoandika bila kujijua ni kwamba mungu naye ni lazima awe ameumbwa. Ndiyo line ya logic ya argument yako.

Of course unaweza kuchomeka any arbitrary "deus ex machina" hapo kati kujitoa katika kamba uliyojifunga wewe mwenyewe. But that would be illogical.

Mungu wenu haelezeki logically.

Kwa sababu hayupo.

Kama yupo toa ushahidi.
 
Using'ang'anie kuuliza kitu ambacho kimeshajibiwa kwenye hoja kuu na Pia tumeshakujibu ata kwenye mada yako Ile.
Huo ni ubishi tu!

Jibu liko wapi?

Mmetoa jibu la choice.

Jibu limeleta maswali kuliko majibu.

Nimeuliza kaama mungu anapenda mwanadamu kuwa na choice kweli, mbona mimi hakuniuliza kama ningependa kuzaliwa katika ulimwengu huu?

Sijajibiwa.
 
Kweli Mkuu Biblia ina utajiri wa Kila maarifa! Na majibu ya Kila kitu!
Ni wao kusoma kuanzia mwanzo mpaka mwisho!
JIBU HAPA KWANZA WEWE, usikariri maisha: Kama complexity ni lazima iumbwe, complexity kubwa inayoumba complexity ndogo nayo ni lazima iumbwe.

Huwezi kusema kiti ni lazima kiumbwe, halafu mwanadamu aliyekiumba kiti awe hajaumbwa sawa?

Same argument.

Mfanye mwanadamu awe kama kiti, na muumbaji wake awe mungu.

Huwezi kusema mwanadamu ni lazima awe ameumbwa, halafu muumbaji wake awe hajaumbwa.

Kama complexity ndogo kama mwanadamu ni lazima iwe imeumbwa, kwa sababu complexity haiwezi kutokea yenyewe bila kuumbwa, basi complexity kubwa zaidi, mungu, ni lazima zaidi iwe imeumbwa.

Kwa hiyo ukishikilia kwamba mwanadamu ni lazima awe ameumbwa, kwa kuwa hawezi kutokea hivi hivi tu, unachoandika bila kujijua ni kwamba mungu naye ni lazima awe ameumbwa. Ndiyo line ya logic ya argument yako.

Of course unaweza kuchomeka any arbitrary "deus ex machina" hapo kati kujitoa katika kamba uliyojifunga wewe mwenyewe. But that would be illogical.

Mungu wenu haelezeki logically.

Kwa sababu hayupo.

Kama yupo toa ushahidi.
 
Wakuu Eiyer, JingalaFalsafa na Mleta mada hii na wachangiaji wote wanaokubali uwepo wa Mungu, Hawa akina Kiranga na wenzake hawana jipya Zaidi ya kubisha kwa hoja zao zilezile!

Kwani na nyie waamini mungu mmetoa hoja gani mpya?
 
Hahahaaa.

Umeulizwa mji mkuu wa Nigeria.

Ukasema Dar-es-salaam.

Ukaoneshwa ramani. Kwamba jibu lako si sahihi.

Unakazania "si nishajibu"?

Hatuji JF kujibu mradi tumejibu tu.

Watu wenye kuchekecha mambo wanatafuta majibu sahihi.

Sio majibu yako majibu "mradi kujibu" tu.

Halafu nimenotice you are such a lazy troll. Unanirudishia ninachokuambia with hardly any attempt at thinking.

Nikikwambia "Don't flatter yourself", unani imitate kwa kuniiga back "Don't flatter yourself".

They say imitation is the best form of flattery.

Na wewe una ni imitate.

Apparently I don't need to flatter myself.

You already do it for me.

Let us see if your assumption is true

Umeniambia "sijajibu" hii maana yake sijakujibu yaani hata jibu la uongo sijakupa

Wewe unasema "nimekuuliza mji mkuu wa Nigeria ukasema Dar es salaam" hii kauli yako inaonesha kwa mba nimejibu lakini jibu nililokupa sio sahihi

Sasa kwa kauli zako hizo mbili tayari umeshajivuruga bila wewe kujua
Lakini pia inaonekana hata hujasoma nilichokuambia wewe umeona tu "Don't flatter yourself "

Hapa inathibitika kuwa ninajadiliana na mtu asiyefikiri kabisa na inawezekana hata kufikiri hajui nini maana yake

Mtu anaesema "hujajibu" halafu kwenye jambo lilelile anasema "umejibu" huyu ni mtu wa aina gani?
Nani anae-flatter hapa?

Huyu mtu alisema
Do not flatter yourself.
Wewe ndiye uliyeopgopa kujibu the problem of evil.
Mpaka leo hujatoa jibu.
Kauli hii inamaanisha kuwa SIJATOA JIBU achilia mbali jibu hilo kuwa ni sahihi au laa
Hapa chini tena anasema

Umeulizwa mji mkuu wa Nigeria.
Ukasema Dar-es-salaam.
Ukaoneshwa ramani. Kwamba jibu lako si sahihi.

Mnaweza kuona namna huyu mtu anavyojichanganya mwenyewe
Kipi ni sahihi?
Nimejibu lakini jibu sio sahihi au sijatoa jibu?
Can you imagine the level of insanity of this guy?

Anaonesha namna asivojua hata tofauti ya kujibu na kutokujibu,yaani kwake hayo maneno yana maana sawa
Halafu utegemee ajue jibu sahihi ni lipi?
Utategemea mtu kama huyu ujadili nae masuala muhimu kama Mungu kweli?
Atakuelewa?

Mtu hata jibu hajui ni nini halafu utegemee akuelewe unapomzungumzia Mungu anaehitaji tafakuri kubwa?
Hapa tunawafundisha wengine tu na sio huyu!
 
Let us see if your assumption is true

Umeniambia "sijajibu" hii maana yake sijakujibu yaani hata jibu la uongo sijakupa

Wewe unasema "nimekuuliza mji mkuu wa Nigeria ukasema Dar es salaam" hii kauli yako inaonesha kwa mba nimejibu lakini jibu nililokupa sio sahihi

Sasa kwa kauli zako hizo mbili tayari umeshajivuruga bila wewe kujua
Lakini pia inaonekana hata hujasoma nilichokuambia wewe umeona tu "Don't flatter yourself "

Hapa inathibitika kuwa ninajadiliana na mtu asiyefikiri kabisa na inawezekana hata kufikiri hajui nini maana yake

Mtu anaesema "hujajibu" halafu kwenye jambo lilelile anasema "umejibu" huyu ni mtu wa aina gani?
Nani anae-flatter hapa?

Huyu mtu alisema

Kauli hii inamaanisha kuwa SIJATOA JIBU achilia mbali jibu hilo kuwa ni sahihi au laa
Hapa chini tena anasema



Mnaweza kuona namna huyu mtu anavyojichanganya mwenyewe
Kipi ni sahihi?
Nimejibu lakini jibu sio sahihi au sijatoa jibu?
Can you imagine the level of insanity of this guy?

Anaonesha namna asivojua hata tofauti ya kujibu na kutokujibu,yaani kwake hayo maneno yana maana sawa
Halafu utegemee ajue jibu sahihi ni lipi?
Utategemea mtu kama huyu ujadili nae masuala muhimu kama Mungu kweli?
Atakuelewa?

Mtu hata jibu hajui ni nini halafu utegemee akuelewe unapomzungumzia Mungu anaehitaji tafakuri kubwa?
Hapa tunawafundisha wengine tu na sio huyu!

Kuna kujibu na kubabaisha.

Ukitoa jibu lisilo sahihi hujajibu.

Umebabaisha.
 
Again, umepiga blaa blaa tu. Swali Kuu hapa ni: IWEJE MUNGU AACHILIE DHAMBI ITOKEE, THEN APANGE MPANGO MGUMU WA UKOMBOZI ULIOGHARIMU MAISHA YA MWANAYE WA PEKEE? UNAJUA SABABU HASA YA MUNGU KURUHUSU DHAMBI IINGIE? JE, KAMA ALIACHIA DHAMBI IINGIE, TUNA UHAKIKA GANI KUWA HAITAJIRUDIA TENA IWAPO NI MUNGU YULE YULE WA KALE, LEO NA HATA MILELE ZOTE? AU KABADILI MAWAZO NA MTAZAMO KUHUSU UHURU ALIOMPATIA MWANADAMU WA KWANZA? Au uhakika wako unaoutoa kwenye huo mkusanyiko wa novels mnaouita BIBLIA?

Nilichojibu ni Uasi kujatokea tena!
Sasa Kati ya Mimi na wewe ni nani anaetoa maelezo tu?
 
Wee mbwiga, ulienda shule kweli hata Darasa la 4? Kama ndiyo, soma basi hapa, utafakari kwa kina kasha uje tena: Kama complexity ni lazima iumbwe, complexity kubwa inayoumba complexity ndogo nayo ni lazima iumbwe.
Kabla sijazungumzia chochote kuhusiana na maelezo yako ya ajabu hebu thibitisha kwanza hilo hapo

Unaweza kuwa hujanielewa
Yaani namaanisha utupe ushahidi wa hayo maneno yako hapo juu kuwa "complexity kubwa iliyoumba comlexity ndogo nayo ni lazima iumbwe"
Kisha utupe na njia uliyotumia kufikia hayo majibu yako
Maana inawezekana hata hujui unachoandika hapa!

Na ndipo tutajua mbwiga ni nani kati yako wewe na mkuu uliemquote!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom