Muogopeni Rostam Aziz kama Corona. Spin Doctors kazini 100%

Nachojiuliza suala la serikali na wananchi wake kuhusu baadhi ya vipengele tata ndani ya mkataba, sasa ROSTAM anajibu kama nani?
Katumwa na nani?

Kwanini anam attack Dr Slaa halafu yeye anajipa Ruksa ya kuongea?

Na hakuna sehemu kanyoshewa kidole kama mwana DP WORLD, ana washwa washwa na nini?
 
A
Acha porojo za kwenye vijiwe vya kahawa wewe tafuta pesa uwe kama ROSTAM AZIZ
 
Pu
Punguza shobo mkuu
 
Usijali Tumia akili kesha aandika huko kwamba JAL 1 is done next is 2 and 3!

Hiyo ishu itazimwa tu ni swala la muda tu!!
FYI..

JAL ni failed mission tayari..

Wale wote waliokuwa wanaleta upatu wa njozi na hadithi wamepoteana maana binadamu ana panga na Muweza ya yote nae anapanga..

JAL.. aliwahi kuumwa akiwa nafasi fulani.. Alalazimishwa kufanya press akiwa na mitungi hewa..

Baadae akapata nafasi.. Okay... Yale matengenezo kwenye Bawa la ndege waliacha kitu.. Ndege ikianguka embe aokote dodo.. Hapo ni kuhusisha makundi na ushawishi ndani ya Chama..

Then what!? Franklin Delano....

Sasa hapo mmoja kawahi kabla ya muda N wakati... The game is back to the drawing table.

Adios
 
Wala JAL sio fdr,wala JAL sio tibazonkiza !

We huoni huyo unaemtaja alipigwa picha juzi na hao dp world!!!

Dp world ndio ita signal next stage ya operation husika!!

Kale ka uzi juzi jamaa kaibuka tena mi nilidhani ameshaaga KUMBE karudi tena sio!!!?
 
At the sideline of President Samia’s visit to the US, Rostam met with the President of the Africa Development Bank (AfDB), Mr Akimwumi Adesina. Rostam has urged the AfDB to shore up adequate financing to transform Tanzanians Tsh $12 billion agriculture sector.

Rostam’s request is intended to help Tanzania become a global food exporter and assist the world in meeting its food requirements. Mr Aziz and AfDB top convened at Washington DC.

Also, while in the US, Tycoon Rostam Aziz signed several investment agreements, including a $1 billion deal between Taifa Group and an American Investment Company, Northern Feed & Company, to produce wheat and Soya.
 
Dogo, sisi wengine ni watu wazima! Rostam na Dr Slaa kuwachanganya umevuruga habari yote. Danganya madogo ...
 
Ndio iko hivyo chief..

Plan imesha fail... Saiv uwanja wa fujo kupoteana tu
 
slaa ameingia choo cha kike mgefungua clips ya reginal mengi na rostam mengi alimsema rostam enzi za mkapa rostam alimpaka mavi mengi mpaka aibu
 
Yaani mzee wa icut ndio awe!!?haiwezekani mkuu!!

Fdr akaa 12 MIAKA madarakani,SASA huyo mbona HAWEZI kaa kwa muda huo wote!!!?

Kuna mtu ataingizwa ashike!!
Dodo ndio ilikuwa ashike nafasi baada ya JAL kupata hitilafu...

Ila Ndio ameondoka kabla...

Sasa nini hapo mzee?
 
Kwamba kambi gani imemuwahi dodo!!?

Ya mama,ya tibazonkiza!?au!!?

Yaani dodo ndio akae 12 years!!?

Fdr lazima awe KWENYE forties au first fifties!!ILI ukijumlisha na 12 update sixty something!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…