Muonekano mpya wa Chidi Benz baada ya kutumia unga

...Wasanii was bongo ni wanafiki tu..matusi alitukana akombe msamaha usitete ujinga na ww bendera nn..?
Na baadhi ya wanasiasa wa Wabongo hawana tofauti na hao wasanii, Ukianza na hao wachadema walituaminisha miaka 8 Lowasa fisadi, waambie wao waombe radhi wa Tanzania kabla ya chidi.
 
Mbona alishapewa msaada sana,kuna kipindi alipelekwa kenya kwa ajili ya matibabu na alipona sema hana gust ya kusahau madawa ya kulevya, yeye kama yeye willing to change hana,nina dhani sahivi anaomba msaada ili apate fedha za kununua hayo madawa maana hela sahivi imekata,wasanii wengi wanapaswa kujifunza sana kwa yanayomkabili chidibenzi wasije wakafanya kosa.
 
Kubenea ameshaomba msamaha kupitia magazeti yake. Na ww kamwambie huyo mla unga aombe msamaha
ha ha ha ha Aibu kweli, Kumbe aliomba msamaha lo. Msamaha aombi na msimsaidie, kila jambo mnataka umaarufu lol.
 
Na baadhi ya wanasiasa wa Wabongo hawana tofauti na hao wasanii, Ukianza na hao wachadema walituaminisha miaka 8 Lowasa fisadi, waambie wao waombe radhi wa Tanzania kabla ya chidi.

Hili teja lenu, halifai kuonea huruma, kwanza enzi za uzima wake lilikuwa halina adabu, kazi kuimba matusi tu!
Life tu ili lisiwafundishe vijana wengine tabia chafu!
 
Yaan hawa wasanii cjui vipi niki mbishi sidhan kama atakuja tumia anajielewa ila kuna maneno ya mtaani na kutoka kwa wasanii young d yupo kwny ubora wake wa kutumia izo mambo
Blu kama anaimba hip hop atakua anatumia pia hapo cjamuulizia nyandu tozi lkn je mzee yusufu anatumia au, malikia wa nyuki je, haya masanii ya hip hop michosho tupu hakuna kuyasaidia ili yajue mazara ya ngada, kila siku kwa mo kununua crack tu pumbavu zao.
 
aliambiwa akasema hatumii akakana katakata, hakutosheka akamtukana sana mzee wetu mamvi, mwache apotee walikuwepo kina nyerere ndo iwe yeye, karma is bitch always
 
Tatizo kuiga iga wenzetu mbele wanatumia ila kuna kiwango maalumu
 
Maji yakishamwagika hayazoleki... muda haumsubiri mtu... ndiyo basi tena...
 
Chid hayuko tayari kuacha poda raha ya poda inamburuza akifanya utani aya anayoongea soon yatakua kumbukumbu tu akiwa amefutika kwenye uso wa dunia naona hajatambua yote yamemkuta sababu ya poda ndio maana anaongea kuhusu uchawi na fitna.
Sikukatishi tamaa Chid ila kwa utayari mdogo ulionaonao hakika unalazimisha tufunge turubai pale kwa kwa mama Rashidi na kuonyesha kua hauko tayari hata wenzio wako pembeni maana wanajua wanapoteza muda na acha kuwaza kurudi kimuziki fikiria kwanza kuacha ngada.
 
Hili teja lenu, halifai kuonea huruma, kwanza enzi za uzima wake lilikuwa halina adabu, kazi kuimba matusi tu!
Life tu ili lisiwafundishe vijana wengine tabia chafu!
Kila mtu atakufa ila hii laana itaanza kwako halafu kwake.
 
Na baadhi ya wanasiasa wa Wabongo hawana tofauti na hao wasanii, Ukianza na hao wachadema walituaminisha miaka 8 Lowasa fisadi, waambie wao waombe radhi wa Tanzania kabla ya chidi.
Halafu we kwa kutetea mambo ya ngada hujambo, kuna mtu mmoja ambaye inasemekana ni muingizaji wa ngada, tena ni mtu mzito hapa nchini akiguswa unakuja juu kkama kifaru aliyekoswa risasi
 
Ameona kosa lake hakuna haja ya kuendelea kumsema kikubwa kumsaidia kama unaweza......hata wewe unayemsema kuna mdhambi mengi umefanya na umesamehewa
 
kuna watu hamnazo kweli huyu fisi alikuwa anjifanya mjuaj..... yule aliyemdhamini kwa laki9 baada ya kukamatwa na ngada amemsaidia kuzama kaburini fasta saana...itakuwa ni ccm... aende kwa magu amtibie km rc ljvyotibiwa na jk

si alisema lowasa nimgonjwa?! mamamae zake
 
Halafu we kwa kutetea mambo ya ngada hujambo, kuna mtu mmoja ambaye inasemekana ni muingizaji wa ngada, tena ni mtu mzito hapa nchini akiguswa unakuja juu kkama kifaru aliyekoswa risasi
Halaf wewe umenifanya nimecheka kwa nguvu sana, Sijawahi tetea mtu wa Ngada na pia Sipendi kinachofanywa na hao watu wa NGADA Madhara yake nayajua, kama kuna mtu nimemtetea basi itakuwa alionewa, au wanapenda kumtia sana midomoni ukiacha na hayo huyu chidi sasa kosa lake nini?? kisa kawaimba ukawa ati asisaidiwe hivi Mungu angekuwa anahukumu kwa makosa yetu nani angebaki hapa duniani? yani hata chidi benz mnataka kupatia umaarufu kupitia janga lake??
 
Nyie mnanichekesha sana wangapi tulisema lowassa mgonjwa na hafai kuongoza na mambo yanatuendea vizuri tu, huyo lowassa wenu amekuwa mungu, chidi tatizo unga tu! Lowassa has nothing to do na hali ya chidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…