asmaa80
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 1,562
- 1,754
Na baadhi ya wanasiasa wa Wabongo hawana tofauti na hao wasanii, Ukianza na hao wachadema walituaminisha miaka 8 Lowasa fisadi, waambie wao waombe radhi wa Tanzania kabla ya chidi....Wasanii was bongo ni wanafiki tu..matusi alitukana akombe msamaha usitete ujinga na ww bendera nn..?