Muonekano mpya wa Chidi Benz baada ya kutumia unga

Muonekano mpya wa Chidi Benz baada ya kutumia unga

Unataka msaada gani zaidi ya wewe mwenyewe kuamua tu kuacha unga? Wewe ni mtu mzima na unatambua kilichokufanya uwe hivyo so achana nacho utarudi ktk hali yako maana ss hatuna uwezo wa kuingia kwenye kichwa chako tuki adjust kibadili mwelekeo.
 
huwa hawakubali mkuu! jaman chid benzi mweee nilivyokuwa na mfeeeliiii....chid badilika muda unaooo
 
Life begins from discipline and ends with discipline hapo awaambie waliomlipa pesa za kumtusi lowasa ndio amsaidie
 
jaman chid eeeee...siamini mm jaman natamani ngepata nauli nkamsalimie na kumuombea! chid niliekuwa nakupenda jaman chid sembe si nzuriii!
 
Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa.

Amesema wakati wa kilele chake, alikuwa akifanya show kila siku katika wiki, lakini kwa sasa mambo yamebadilika kabisa.


“Matatizo yangu na stress zangu ambazo niko nazo zinanisababishia mwili wangu unapungua kwasababu siko okay, siko poa, siko sawa yaani,” alisema.

Katika hatua nyingine Chidi alisema pamoja na afya yake kuzorota, hivi karibuni alipiga show kwa masaa mawili hadi mama yake akalia.

“Mama yangu akaniambia mwanangu unafanya show two hours, show kali watu wanapenda unachokifanya lakini sioni mwamko wa watu kutokea kukusaidia, kwahiyo tufanye mpango watu wakusaidie’ na mimi namuambia nataka watu wanisaidie, natamani kusaidiwa, natamani kupata mafanikio anayopata Diamond,” alisisitiza.
View attachment 330955

Maskini imebaki miwani
 
Hapana huyu atakuwa na HIV n addicted n unga tu mmmmh so kwa kukonda huko jaman
 
kwasasa chidi benz hamkuti dogo janja kwa afya,asaidiwe na nani badala ya kujisaidia mwenyewe kwanza kuacha upuuzi.
niliwahi kuwa mvutaji mzuri wa sigara,nikapata kansa ya mapafu nikatibiwa nikapona.daktari siku ananiaga alisisitiza kunywa pombe moshi achana nao.mpaka leo niko poa kwani kweli sijagusa.
Nilikua namkubali sana chid kwa rap zake kwakweli angeendelea angefika mbali sana.nafkiri Nay kidogo anafuatia lakini kwa Chid yuleeee Nay bado sana.
Dogo janja nae anakula Unga?
 
Dah! Siku za Dar es salaam stand up haziwezi kurudi tena, huwa kuna nafasi moja Tu huwa inatokea, Chid yule anafanya show moja ya Kilimanjaro award then T.I Kama msanii mkubwa toka Marekani anaalikwa kwenye utoaji tuzo ule, wakati unafanya show ya nguvu kwa ngoma zako kali Naitwa nani! Babe ft Ray C, T.I ananukuliwa akiwauliza wenyeji wake alokaa nao.... "Huyu Ni nani?"...anaambiwa huyo Ni mwana Hip Hop anayekimbiza bongo, Na baadaye unashinda tuzo, T.I mwenyewe anakupatia tuzo, Na uhakika uliambiwa jinsi T.I alivyouliza kuhusu wewe, Leo kina Diamond wakipata nafasi Kama hizo wanazitumia hapo hapo, Ni vipi ungefanya ngoma Na T.I wakati ule, bila shaka ungekua mbali, all in all madawa yamekupoteza, sidhani Kama utapata msaada kwenye muziki wako tena, Sana Sana makosa yako wacha yatumike Kama funzo kwa vijana wengine, Na wenyewe wasipojifunza kwako! Wacha yawakute Tu, hatuna namna....sorry Chid Benz, fulsa huwa Ni Mara moja Tu!
Mkuu hivi alikua ni TI au ni CASSIDY???
 
Hapana huyu atakuwa na HIV n addicted n unga tu mmmmh so kwa kukonda huko jaman
Sio HIV mkuu mi unga tuu, mbona hata Paul Gascoigne Gazza yy pombe tu zimemfanya hivi hivi kawa kama zombie??akina Lineker wamemsaidia hadi wamechoka wameamua kuacha meli izame tuu.
Too much of everything is Harmfull.. Dunia hii ni shule tosha alitakiwa aisome tu vizuri., aombewe tu ila kwahio picha ni kama jahazi linazama vile.. Tumuombee ndg yetu wajameni!
 
Kwani in lazima afanye mziki. Kama mlango mmoja umefungwa ajaribu mwingine au afungue dirishaa atajikwamuaa tuu
 
Nani anafuatia
1. TID
2. Lamar
3. Young D na demu wake Tunda
4. Ben Pol
5. ...., list iendeler
 
ama kweli maisha hayana formula
Hapana yana formula ambayo hupaswi kwenda nayo kinyume ni formula ya mizania ya haki hasa kwa wale wanaoonewa na wenye nguvu
Chid enzi zake alifanya kufuru nyingi...mojawapo ni kumnyanyasa sana binti aliyekuwa mpenzi wake ....kumbuka God is watching today n always....!!!
 
Safi sana mkuu, ndiyo maneno ya utu uzima. Sio kuonekana we mjanja wakati mwenzako ana shida.
Nishawaona watu wengi waliyowacheka watu ambao walikuwa wamejingiza ktk utumiaji wa madawa ambao na wako wakajikuta wameingia ktk utumiaji huko huo....kuna sababu nyingi ambazo humfanya mtu kujingiza ktk utumiaji wa madawa hayo...
Kikubwa chidy afahamu ya kuwa madawa yanaachika kila kitu kikubwaaa tu aache kwa kutoka moyoni mwake.....yeye kam yeye aamuee kuacha nishaona watu wwngi tu wameacha hi kitu....kitu kikubwa wanachokutana mayo hawa waathirika wa madawa ni kuvunjwa moto kutoka kwa jamii iliyowazunguka.....madawa unaweza acha bila hata kwenda kwenye methadone....ni kuvumiliaa maumivu tu ukatayokutana mayo Lindi unapokuwa ktk prices ya kuacha.....
Chidy na hao wengine wanachopitia nakielewa maana wengine tumekuliaa na tulizungukwa ktk mazingiriaa hayo.....
 
Back
Top Bottom