Muonekano mpya wa Luiza Mbutu baada ya kuacha kutumia mkorogo

😂😂
Wasanii wa bongo ukipata bomba la maji yenye pressure uwamwagilie kwa nguvu usoni hayo matope ya rangi yadondoke utaona sura zao halisi
😂😂 bila hivyo mtaishia kuwaona wife enu wabayaaa
 
na nyie ndio chanzo


mnawakodolea sana weupe chausiku hamumuoni 😂😂
 
kila jambo na wakati wake, huyu bi mkubwa alijua kutupa raha, mgumba sasa amezaa tena kwafujo mapacha watatu wawili warembo kama mama yao na mmoja dume sura ya baba yake copyright eeh[emoji445][emoji441][emoji446][emoji443][emoji449][emoji448][emoji450]
 
Ni Luiza Mbutu au Amina Ngaruma(R.i.p)🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…