Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume pesa tu hata ukiwa na miaka 90 utakua bebiNa wanaume pia.
😁😁😁Ulishawahi kuchoma muhindi kwenye gesi hizi taifa gesi
Haihusiani na maada
Huyu nae akiacha atakuwa vilevile tu, vipi umeshamuona mfalme zumaridi hivi karibuni?View attachment 2279474anakimbizana na ujana
Mazoezi ya ujana ynamsaidiaView attachment 2279474anakimbizana na ujana
Mrema ameoa bint mbichiMwanaume pesa na afya nzuri.
We hujaona vibabu vinapiga vibinti vigori?
Ila mwanamke sasa , kwa mfano hapo luiza anamtongoza nani saizi? labda kama yeye ndio anatongoza vijana wapenda vitonga.
Huyu sio umri, ni athari za kutumia mkorogo.Kweli kila jambo na wakati wake,umri umekwenda sasa ,ameamua kupunguza mambo mengi.View attachment 2279382
Adi apo ni kinyago tuAt her ages , kawa ka kinyago Cha kutishia watotoView attachment 2279396
Mbutu, ndiye alikuwa mme wake huyo.Mwamba akiambiwa afanye tena kama hv sidhan kama atakubali hata kwa fimbo [emoji3][emoji3][emoji3]