PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
nimfikishia ujumbe wko kazitoa izo rastAHuu ndio muonekano mpya wa mtindo wa nywele wa kijana Raymond wa wasafi,kijana anaye hit kwa sasa na ngoma yake ya natafuta kiki kiukweli kwa muonekano huu wa mtindo wa nywele aliouweka naona hajapendeza kabisa ni bora angebaki na muonekano wa kawaida ulikuwa poa sana.View attachment 375670View attachment 375671View attachment 375672View attachment 375673
Namuona gasho kabisa huitaji kuuliza.eeh mola mkumbuke mwanangu na watoto wengine wa kiume.astaghafurulahiHayo ndo mapozi gani tena?
Hadi kurembua na macho?
Lawwwd hammercy!
Angalia body language au we sio mzazi??? Huku kulegeeeea na kurembua macho na kujinyonya lips hata angekua mwanao anafanya hayo lazma alarm ilie.sio kawaida kwa mtoto wa kiumeMh! Jamani mkisikia Msanii mnaelewa vipi?
Mmeshaambiwa "Anatafuta kiki" Wasanii wote wana mambo yasiyo ya kawaida, kujichora, kutoga miili, kusuka, kuweka meno ya bandia wakati ya asili wanayo na ni mazima. Kuwa na maisha feki feki..n.k usanii kazi sana.
pua kama tengo
mmmmmhHizi picha alijipiga akiwa amelewa wala mwenyewe hakutegemea kama zingefika JF, kuna aliyemsaliti.