Muonekano mpya wa Raymond wa wasafi!

Macho kuvimba mtaisomaa[emoji23]
 
Wanaume wa Dar... Wanakesha Saloon na kwenye Vioo
 
Hapo tunaenda sawa mkuu
 
Hilo jicho kalirembua kaa dem na hzo hereni tena duuu Mkuu Makonda angalia hawaaaaaa
 
Tatizo sio kusuka..tatizo ni hilo pozi aloweka na hayo macho alivyolegeza
Kuna wanaume wanatamani wanaume wenzao...wakimuona hawatomuacha salaama
 
Hebu tumuone na hapa maana yeye ndio alikuwa stelingi wa shughuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…