Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi jamaa si atakuwa kwenye early 50's au?
Oil ChafuKama mnavyomuona huyu mwamba, inaonekana ana hali mbaya sana, inamaana wale mliokua mnamtumia amchafue Ruge na Cloudz. Mmemtema au?
View attachment 2759779
Nikipiga hesabu za umri wangu na jamaa toka nime anza kumsikia atakuwa yupo huko huko kwenye 50'sSina uhakika lakini inawezekana...
Watakuambia photoshopKama mnavyomuona huyu mwamba, inaonekana ana hali mbaya sana, inamaana wale mliokua mnamtumia amchafue Ruge na Cloudz. Mmemtema au?
View attachment 2759779
Mwanangu huna nidhamu, huna nidhamu, nidhamu nidhamu hata kidooogo.Kama mnavyomuona huyu mwamba, inaonekana ana hali mbaya sana, inamaana wale mliokua mnamtumia amchafue Ruge na Cloudz. Mmemtema au?
View attachment 2759779
MAMBAAAKapafona
Amen 🙏Amrudie Yesu atapendeza,...Kwa Yesu ni salama
Amerudi kwenye factory mode?Kama mnavyomuona huyu mwamba, inaonekana ana hali mbaya sana, inamaana wale mliokua mnamtumia amchafue Ruge na Cloudz. Mmemtema au?
Hafiki huko labda kwenye 47 kurudi nyumaSina uhakika lakini inawezekana...
Kama unaweza kumsaidia msaidie tu mkuu... binadamu hukosea.. kukosea isiwe kigezo cha kutomsaidia mtuKama mnavyomuona huyu mwamba, inaonekana ana hali mbaya sana, inamaana wale mliokua mnamtumia amchafue Ruge na Cloudz. Mmemtema au?
Dah msela sio mamba no more kakonda Kawa mjusi.Kama mnavyomuona huyu mwamba, inaonekana ana hali mbaya sana, inamaana wale mliokua mnamtumia amchafue Ruge na Cloudz. Mmemtema au?