Muonekano wa Dudu Baya unasikitisha. Mliomtumia kumchafua Ruge mpeni msaada

Muonekano wa Dudu Baya unasikitisha. Mliomtumia kumchafua Ruge mpeni msaada

Hajapewa mualiko kwenye show za Wasafi festival huyu jamaa dah siyo poa aisee
 
Kama mnavyomuona huyu mwamba, inaonekana ana hali mbaya sana, inamaana wale mliokua mnamtumia amchafue Ruge na Cloudz. Mmemtema au?

Dah msela sio mamba no more kakonda Kawa mjusi.
Tatizo alisomea upadri akaacha ale Bata la Dunia na Kwa wanaolijua Hilo kanisa that was a big mistake,pili kuwa na ushost na Quevo nahisi amemfundisha sembe ,maana mwana tunajua alikuwa mtu wa vikali,Huu mwili unasema more shit than that.
 
Back
Top Bottom