Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata we utafikika hukoNikipiga hesabu za umri wangu na jamaa toka nime anza kumsikia atakuwa yupo huko huko kwenye 50's
Hata we utafikika huko
Ova
Koooonk koooonk koooonkKama mnavyomuona huyu mwamba, inaonekana ana hali mbaya sana, inamaana wale mliokua mnamtumia amchafue Ruge na Cloudz. Mmemtema au?
Konk konk konk master.....Kama mnavyomuona huyu mwamba, inaonekana ana hali mbaya sana, inamaana wale mliokua mnamtumia amchafue Ruge na Cloudz. Mmemtema au?
Haleluyah mama mchungajiAmrudie Yesu atapendeza,...Kwa Yesu ni salama
Why ?Wasanii wengi wa muziki nchini wakiwemo wale wakongwe, wanapitia kipindi kigumu sana kwa sasa.
Mbona yupo Poa tuKama mnavyomuona huyu mwamba, inaonekana ana hali mbaya sana, inamaana wale mliokua mnamtumia amchafue Ruge na Cloudz. Mmemtema au?
Huo weusi wa mikono ni tattoo au?Kama mnavyomuona huyu mwamba, inaonekana ana hali mbaya sana, inamaana wale mliokua mnamtumia amchafue Ruge na Cloudz. Mmemtema au?
Huwa anajiita Mamba, ngozi ya Mamba lazima iwe na mabakaHuo weusi wa mikono ni tattoo au?
Hizi tattoo nawaambiaga watu ipo siku itafika utajichukia na mwili wako.
Amina ya radii 😍😍Haleluyah mama mchungaji
Nakazia mkuuAmrudie Yesu atapendeza,...Kwa Yesu ni salama