Muonekano wa Dudu Baya unasikitisha. Mliomtumia kumchafua Ruge mpeni msaada

Muonekano wa Dudu Baya unasikitisha. Mliomtumia kumchafua Ruge mpeni msaada

Mtu anajiita dudu baya, oil chafu, mamba ulitegemea muonekano wake uwaje mkuu [emoji2]
 
Nikikumbuka enzi ya dude baya na Mr nice! Walikuwa mafahari wawili wasiokaa chungu kimoja! Kweli, zama, zinapita! Leo hii ni Mond na Kiba, na, wao watapita,
Alikuwepo Sinta na nature, Kanumba na Lulu!
Akaja Wema na Mond! Wema akatambaaaa na "documentary yake" In my shoes"Leo amekuwa zilipendwa!
 
IMG_20230925_123130_821.jpg

Cha muhimu apunguze Pombe na awe karibu na Mungu Sana.
 
Back
Top Bottom