Mbn kama hizi ni old modelKichwa cha treni cha reli ya kisasa - SGR chàwasili
Kichwa hiki cha Mkandarasi kinachotumia nishati ya umeme kimewasili bandarini jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuanza majaribio ya miundombinu ya umeme katika reli ya kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam - Morogoro.View attachment 2126501View attachment 2126502View attachment 2126503View attachment 2126504
[emoji38][emoji38][emoji1][emoji38][emoji38]khaaaa waja jamanAisee kichwa kimepauko mno bora wangekipata mafuta ndio wakipige picha.
Sidhani hata abiria akipanda atakuwa na amani
Mbona maelezo yako wazi kwenye hiyo video? hicho ni kichwa cha mkandarasi kwa ajili ya majaribio wala si cha Serikali! Wanakitumia kujaribia kazi yao km iko Sawa, no Sawa na fundi wiring baada ya kuingiza umeme ndani ya nyumba alete pasi yake kujaribu km umeme uko poa.Kwahiyo tumeamua kununua na kichwa used kabisa..daah hii nchi hii.
#MaendeleoHayanaChama
Du mmembiwa hicho ni cha mkandarasi kwa ajili ya testing na sio mali ya TRC
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu mtumba una sura mbaya kama kichwa cha panzi ndio mama kaamua kuuleta, aache utani na watanzania? Ama kuna asilimia yake hapo maana vichwa hivi si vya kisasa kabisa..
Ninachofahamu mimi lazima kingekuwa branded na logo y TRC lakini haipo hivyo. Pia nimeona video hii
Huu mtumba una sura mbaya kama kichwa cha panzi ndio mama kaamua kuuleta, aache utani na watanzania? Ama kuna asilimia yake hapo maana vichwa hivi si vya kisasa kabisa..
Ila Imechoka Kwa Kweli Tuambizane Ukweli Tu.
Nahisi Ni Model Ya Miaka Ya 80's
Dah!... Watanzania jifunzeni kupongeza mambo mazuri.Nilitaka kusema, asante umeniwahi.
😁😁 NongwaMbona kama chuma chakavu
PPRA wanachekelea sanA wazee wa 10% kwa mgongo wa manunuziAfrika ilishakuwa dampo la vyuma chakavu haiwezekani serikali inayojinasibu ni safi iingie mkataba wa hovyo kiasi hiki kwa kutuletea vyuma chakavu kama hilo dubwashwa hapo juu..
Ukute limepigwa service ndio wakalisafirisha kuja huku kwetu, inasikitisha kwa kweli..
Thubutu !Duh nilidhan kipya
Ustaarabu ndio huo.Kumradhi chief, niliangalia kwa haraka sana.
Kumbe Ni watermark ya trc iyo kwny picha[emoji106][emoji4]
Vijana wa ufipa wanajifanya hawasikii.Du mmembiwa hicho ni cha mkandarasi kwa ajili ya testing na sio mali ya TRC