Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Goba tatizo ardhi yake mabonde mabonde Ila ushua mwingiGoba naonaga imekaa kama tabata, napo sjawahi kupaelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goba tatizo ardhi yake mabonde mabonde Ila ushua mwingiGoba naonaga imekaa kama tabata, napo sjawahi kupaelewa
Inashangaza hakuna hata pa kupumzikia abiria. Sijui kama wamekumbuka kujenga vyooWaliojenga hicho kituo, hawakujali abiria juu ya jua na mvua...
Hivi halmashauri hazina maengineer kweli?Nadhan inakosa good planning mkuu
Wana akili za machawaWaliojenga hicho kituo, hawakujali abiria juu ya jua na mvua...
Kuna gongoni dar!?..maana najua gongoni ipo tabora tu!!Kinyerezi ni sehemu muhimu sana maana inaunganisha maeneo mengi kiurahisi kama goms, gongoni na ubungo.
Hakijaisha mbuzi weweHivi halmashauri hazina maengineer kweli?
Hata kwa akili za kawaida tu vitu hivyo viwili (shade na vyoo) ni vya muhimu. Wamewaza mapato tu bila kujali maslahi ya watumiaji huduma.
Sijui tabu nnHivi halmashauri hazina maengineer kweli?
Hata kwa akili za kawaida tu vitu hivyo viwili (shade na vyoo) ni vya muhimu. Wamewaza mapato tu bila kujali maslahi ya watumiaji huduma.
Stupid man! Actually a stupid pig.Hakijaisha mbuzi wewe
Ila hawataki kujua kama kunawatu wanafanya kazi pale zaidi ya masaa 8Yes wana idea nzuri lakini hawamalizii iwe kwa matumizi ya binadamu.
Hapo waliwaza magari kuingia, kuegesha na kuondoka
A pig showing us a stupid pigStupid man! Actually a stupid pig.
Wap mkuu.au mie mgeni nn?Choo kipo mkuu
Kinyerezi pazuri sana ni sehemu ya ndoto yangu kuishi uko
Nimepita Leo pamependeza, Ni kwamba magari ni machache au bado hakijafunguliwa rasmi?
Labda usogee mbele mpaka bonyokwa kuleKumeshajaa...
Huko joto tupu, njoo Goba ufurahie kipupwe
Dah sjawahi kupaelewa knyerez kwa kweli,, labda kwa kuwa sjawahi ishi hapo
Kumeshajaa...