Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo muhimu, sio unapenda sehemu, uhai wa maji utegemee ya Ruvu, mvua zikikata ni kutafutana!
Hata wangewajali ingekuwa kazi Bure,maana machinga huwa wanavamia mpaka inakuwa Haina maana Kwa abiria
Ila hii nchi ina watu wa kulaumulaumu tu aisee, dah!!!Waliojenga hicho kituo, hawakujali abiria juu ya jua na mvua...
Afya za Watanzania kwao siyo Kipaumbele.Waliojenga hicho kituo, hawakujali abiria juu ya jua na mvua...
yaani hivi vituo vya daladala vya huko porini ndio maendeleo ya nchi ? au ndio maana viongozi wanazindua vyoo vya stendi eee !!Utachelewa sana kuelewa, tafuta mdogo wako au mtoto wa jirani anaesoma sekondari akufundishe.
Muombe akufafanulie uhusiano kati ya maendeleo ya nchi na uhusika wa Rais katika maendeleo hayo.
Wategemee uchafu kama kawaida.Hawakosi hao
Lazima wawepo
Ova
Hamna kitu hapo mapicha picha ya mtandaoni usitutishe.
Mbezi mchana kituo cha daladala, usiku ni soko kuu.Wategemee uchafu kama kawaida.
Japo naona Tanroad wamejitahidi kuwaondoa Mbagala na Mbezi
Tembea kidogo mkuu huenda ukabadilisha mawazo, tembea maeneo ya Madale, anzia njia nne kuelekea Wazo, nadhani utabadilisha mawazo ya mapenzi ya sehemu ya kujenga. Sema uwe na mpunga manake maeneo yanauzwa ghali sana.Kinyerezi pazuri sana ni sehemu ya ndoto yangu kuishi uko
Hilo halijakatazwa, ila mchana ndo hawatakiwiMbezi mchana kituo cha daladala, usiku ni soko kuu.
Nimefika huko karibuni nimeona maendeleo makubwa, serekali IIWEKEE LAMI BARABARA YA MVUTI-DONDWE STAND. NI ENEO LINALOKUJA KUWA MOTO SANA,VERY SOON, UKIZINGATIA CHANIKA IMESHAVURUGIKA NA IKO KIHOLELA NASHAURI (KIPANDE CHA MVUTI-DONDWE, VIWANJA VYAKE VIANZIE SQM 600 VYENYE BARABARA PANA.Ndio maana tunataka wilaya ya Ilala igawanywe. Fedha za maendeleo ya wilaya zikipatikana, zinaishia Posta, Upanga na Kariakoo. Wakijitahidi sana watasogea Segerea.
Mara tutapopata wilaya yetu ya Chanika, pesa za maendeleo ya wilaya zitatumika kuendeleza wilaya ya Chanika kwa asilimia mia.
Sasa hivi attention iko huku mjini mjini. Huku pembezoni tunasahaulika.
Kimara na mbezi.Kinyerezi ni sehemu muhimu sana maana inaunganisha maeneo mengi kiurahisi kama goms, gongoni na ubungo.
Yamekukuta yepi? Masela wamebinuwa tips?😅😅😅 Kweli ni sehemu nzuri kuishi hata Mimi nilikuwa napapenda lkn kwa yaliyonitokea huko hata nikipita nasisimka na moyo unakimbia na kujihisi fedheha sana. Pambana viwanja bado vipo utavikuta
Yeah. Ila bora wamalizie kwanza lami kile kipande cha Msongola kuelekea Mbagala.Nimefika huko karibuni nimeona maendeleo makubwa, serekali IIWEKEE LAMI BARABARA YA MVUTI-DONDWE STAND. NI ENEO LINALOKUJA KUWA MOTO SANA,VERY SOON, UKIZINGATIA CHANIKA IMESHAVURUGIKA NA IKO KIHOLELA NASHAURI (KIPANDE CHA MVUTI-DONDWE, VIWANJA VYAKE VIANZIE SQM 600 VYENYE BARABARA PANA.
Bemendazole piganeni mtafanikiwa.
Tembea kidogo mkuu huenda ukabadilisha mawazo, tembea maeneo ya Madale, anzia njia nne kuelekea Wazo, nadhani utabadilisha mawazo ya mapenzi ya sehemu ya kujenga. Sema uwe na mpunga manake maeneo yanauzwa ghali sana.